Udhaifu wa hoja kwamba Hamza alitekeleza mauaji kwa sababu alidhulumiwa na polisi

Watanzania wengi wana utindio wa ubongo wa asili mtu ana video enzi za uhai wake ambazo alikua kashka bastola huku akiimba nasheed za Isis na kabla ya kuuwawa moja kat ya watu waliokuwepo kwenye ile daladala alimrecord akijipiga kifua huku akisema mwambien siro anauwa waislam ila sisi vijana wa kiisam tuko tayar kufa kwaajili ya Allah.watu wakasema video ime tengezwa siyo ya kweli lakin muda huo huo hakuna ushahid wowte juu ya maongez ya kudai kutapeliwa madin yake, hata konda wa ile daladala alikir akimsikia akiyasema maneno hayo juu uislam.

Inawezekana alikua akitaman siku moja afanye vitendo vya kigaidi akiamin ni jihad pengine tu hakua na connection ya kujiunga na vikund vya kigadi akaamua aanze na bastola yake aliyomilikishwa kihalali kwakua alionekana mwema kumbe moyon ana mambo mazito.

Uislam unachafuliwa na wapuuzi Kama kina Hamza ambao wanafanya mauji kwa iman ya jihad lakin hakuna jihad yoyote zaid ugaid, din inatumika tu kulisha watu sumu kwakua huko ndo rahisi kuwajengea watu visas lakin lengo siyo kuupigania uislam japo vijana wapuuuzi Kama kina Hamza wanaamin wamekufa kwaajili ya kuupigania uislam.
Mwenyezi Mungu amjaalie Moto wa jahannam inshaallah (kwakua Quran imekataza kutoa nafsi zisizo na hatia)
Ni waislam wachache Sana wako kama wewe..wengi wamejikita kumtetea,kumsifu Na kupondea polisi
 
Okay,, definition imetolewa kwenye Oxford dictionary.. An authentic source..

Wewe definition yako ni ipi ?
Hamna defn ya Oxford inayosema terrorism is only for civilians...maybe especially but not limited to
Hii link terrorism
Dictionary of law by Oxford university:
The calculated use of violence or threat of violence to inculcate fear. Terrorism is intended to coerce or intimidate governments or societies in the pursuit of goals that are generally political, religious, or ideological.
 
Kuna watu mitandaoni wanadai ya kwamba Hamza alifanya alicho kifanya kwa sababu ya kulipa kisasi baada ya kudhulumiwa madini yenye thamani kubwa siku Chache kabla ya tukio...


Kwa wafanya biashara ya madini wanajua kwamba mfanya biashara ya madini anapo enda kuuza madini yenye thamani kubwa iwe ni kwenye soko halali au kwenye black market huwa anakuwaga heaveily armed au at least anakuwa armed..

So kwa vyovyote vile Kama Hamza alienda kuuza hayo madini kweli maana yake na yeye alikuwa na silaha .

Sasa basi hivi kwa ukakamavu na ujasiri alio uonyesha Hamza siku ya tukio unadhani angeweza kukubali kudhulumiwa madini yake kiboya kweli?

Mtu mwenye ujasiri wa kuwafuata Askari POLISI kwenye kibanda Chao na kuwaua kwa risasi Kisha kuchukua silaha zao na kuendelea kutamba nazo huku akitafuta Askari wengine , unadhani anaweza kupeleka madini yake mahali kuuza akadhulumiwa halafu eti aondoke bila kufanya Jambo lolote wakati ana silaha ya Moto?

Nope isinge wezekana hata kidogo. Angekufa na watu wengi siku hiyo hiyo na kila kitu kingekuwa wazi.

Nilicho gundua kuhusu watanzania wengi ni kwamba you people are a poor judges of character.

Kusema kwamba eti Hamza ALIDHULUMIWA madini yake siku kadhaa kabla ya tukio ni kumkosea heshima Hamza.

Kwa ujasiri alio uonyesha siku ya tukio isingewezekana hata kidogo kudhulumiwa bila yeye kufa na watu saa hiyo hiyo wakati ana dhulumiwa.

Kusema Hamza ALIDHULUMIWA madini siku Chache kabla ya tukio ni kumdhalilisha Hamza.

Nadharia ya Kamanda Siro na jeshi la POLISI kwamba Hamza alifanya alicho kifanya kwa sababu za kigaidi Ina make a lot of sense.


Oooh alikuwa mtu mzuri alikuwa anatoa misaada.. kwani nani alikwambia gaidi huwa anajionyesha mtaani ?

Hawa magaidi huwa wanaishi double life. Hata Osama Bin Laden alikuwa mtu mzuri Sana katika jamii inayo mzunguka tena alikuwa shabiki mzuri Sana wa Arsenal.

Ugaidi ni ideology sio personality.

Mtu anaweza kuwa mwema kabisa katika mambo mengine lakini ndani yake ana agenda ya ugaidi.

Oooh alikuwa mfanya biashara wa madini anamiliki mgodi ...

Hivi Alie kwambia magaidi wanakuwaga masikini wasio na shughuli za kufanya nani?

Ma expert wa anti terrorism duniani kote wanajua kwamba magaidi huwa na mitandao mikubwa na huwa na watu wanao wafadhili kipesa nk.

Hivi unadhani Osama na Al Qaeda walikuwa wanapata wapi pesa za kufanya operations zao?

Acheni kuwaza Kama watoto wadogo.
Nimejitahidi sana kuzuia mdomo wangu juu ya kadhia ya bwana hamza kwa sababu ina sintofahamu kubwa sana ambayo kila upande wa wanaodai lao wanazo hoja zao.
 
Sijajua umri wako lakini ningependa kujua kwamba je uliwahi kusikia sakata la wauza madini wa Morogoro na kesi maarufu ya afande Zombe, Bageni na wenzake? Unafahamu tume maalumu ya jaji kipenka ilisemaje? Ukijibu haya machache nitaendelea...
 
Ni kweli uliona yale maneno yametoka kwenye kinywa chake ?? Au kwasababu umesikia sauti tu ndo unahitimisha kuwa ndo ametamka yeye ? Vp ikiwa sauti imewekwa tu ?

Unaweza kuthibitisha kuwa kweli alitamka yale maneno kutoka kinywani kwake ?
Tukienda Hivi tunapoteza Muda sheikh Sisi SIO watoto
Ni Sawa Na gwajima kusema Ile video imeeditiwa.
Mashahidi wamekiri + video imeonesha bado unabisha.
Kwa kubisha kwa style yako siwezi kuprove hata jua lipo.
Tusipoteze Muda bye
 
Mimi niko nayo kwenye laptop yangu na hata hapa kwenye simu yangu niko nayo.

Mimi hua sio mtu wa kuamini tu jambo bila kulifanyia uchunguzi wangu binafsi kutokana na ujuzi wangu.

Hi video niliifanyia digital enhancement kujiridhisha iwapo ni staged ama ni un staged, nikajirishisha kabisa kwamba ile video ni real na yule mtu alisema yale maneno mwenyewe, yanatoka kinywani mwake huku akijipiga piga kifua na kunyoosha mikono juu.

Hao wanaopiga kelele kwamba alidhulumiwa ni kikundi cha kigaidi wenzake na gaidi hamza. Hii kampeni ilikua inaenda kufanikiwa tushukuru kupatikana kwa hii video ya awali ndio ilikuja kuhitimisha kwamba jamaa ni gaidi.
Kama ingekua plan ya magaid kueneza kua kazulumiwa Dhahabu why amza aongee vile na asiongee kua kadhulumiwa dhahabu ili iwe kweli?
 
Ninapokuwa naona watu wanakufa kwenye muvi kwa risasi nilikuwa naona ni uigizaji tu lakini baada ya hamza kuwatwisha risasi wale jamaa nimebadilisha mtazamo kumbe risasi zinatwaa uhai
 
Mimi niko nayo kwenye laptop yangu na hata hapa kwenye simu yangu niko nayo.

Mimi hua sio mtu wa kuamini tu jambo bila kulifanyia uchunguzi wangu binafsi kutokana na ujuzi wangu.

Hi video niliifanyia digital enhancement kujiridhisha iwapo ni staged ama ni un staged, nikajirishisha kabisa kwamba ile video ni real na yule mtu alisema yale maneno mwenyewe, yanatoka kinywani mwake huku akijipiga piga kifua na kunyoosha mikono juu.

Hao wanaopiga kelele kwamba alidhulumiwa ni kikundi cha kigaidi wenzake na gaidi hamza. Hii kampeni ilikua inaenda kufanikiwa tushukuru kupatikana kwa hii video ya awali ndio ilikuja kuhitimisha kwamba jamaa ni gaidi.
Kwa hiyo utafiti uliofanya wewe peke yako ndo unalazimisha sisi tuuamini? Na sisi tunautafiti wetu ndg.
 
Maono yangu juu ya inshu hii ni kama ifuatavyo,
Sipingani na kilichosemwa na viongozi wetu juu ya ugaidi wa jamaa. Ila hizi silaa wengi wanajifunza YouTube kila kitu kuanzia kufungua mpaka matumizi.
Hisia zangu zinanambia jamaa ni mtumiaji mzuri wa mirungi acheni mas'hara hawa wasomali ulaji wao wa miraa ni tofauti, usishangae kukuta akijisifia kutokulala wiki 2. Vile vile katika hizi majiris nyingi za gomba story nyingi huwa ni za kipuuzi puuzi tu, mara nyingi walevi hawa asubuhi baada ya mikesha hutumia vidonge vya action, AMA mukolin hii dawa ya kikohozi chupa moja pamoja na energy drink za azam.
Tukubali tukatae kuchanganyikiwa kupo huyu kafanya hili mmelifaham lakini upuuzi mwingi unafanyika huku mitaani kmyakmya.
Jaribu kuulizia watumiaji wa mirungi hasira inayoletwa na hiki kilevi haielezeki wenyewe huita kisirani. Na huja bila sababu za msingi, wengi watasema mengi ila huyu chizi nahisi alisukumwa na kisirani cha gomba.Ahsante.
 
Kuna watu mitandaoni wanadai ya kwamba Hamza alifanya alicho kifanya kwa sababu ya kulipa kisasi baada ya kudhulumiwa madini yenye thamani kubwa siku Chache kabla ya tukio...


Kwa wafanya biashara ya madini wanajua kwamba mfanya biashara ya madini anapo enda kuuza madini yenye thamani kubwa iwe ni kwenye soko halali au kwenye black market huwa anakuwaga heaveily armed au at least anakuwa armed..

So kwa vyovyote vile Kama Hamza alienda kuuza hayo madini kweli maana yake na yeye alikuwa na silaha .

Sasa basi hivi kwa ukakamavu na ujasiri alio uonyesha Hamza siku ya tukio unadhani angeweza kukubali kudhulumiwa madini yake kiboya kweli?

Mtu mwenye ujasiri wa kuwafuata Askari POLISI kwenye kibanda Chao na kuwaua kwa risasi Kisha kuchukua silaha zao na kuendelea kutamba nazo huku akitafuta Askari wengine , unadhani anaweza kupeleka madini yake mahali kuuza akadhulumiwa halafu eti aondoke bila kufanya Jambo lolote wakati ana silaha ya Moto?

Nope isinge wezekana hata kidogo. Angekufa na watu wengi siku hiyo hiyo na kila kitu kingekuwa wazi.

Nilicho gundua kuhusu watanzania wengi ni kwamba you people are a poor judges of character.

Kusema kwamba eti Hamza ALIDHULUMIWA madini yake siku kadhaa kabla ya tukio ni kumkosea heshima Hamza.

Kwa ujasiri alio uonyesha siku ya tukio isingewezekana hata kidogo kudhulumiwa bila yeye kufa na watu saa hiyo hiyo wakati ana dhulumiwa.

Kusema Hamza ALIDHULUMIWA madini siku Chache kabla ya tukio ni kumdhalilisha Hamza.

Nadharia ya Kamanda Siro na jeshi la POLISI kwamba Hamza alifanya alicho kifanya kwa sababu za kigaidi Ina make a lot of sense.


Oooh alikuwa mtu mzuri alikuwa anatoa misaada.. kwani nani alikwambia gaidi huwa anajionyesha mtaani ?

Hawa magaidi huwa wanaishi double life. Hata Osama Bin Laden alikuwa mtu mzuri Sana katika jamii inayo mzunguka tena alikuwa shabiki mzuri Sana wa Arsenal.

Ugaidi ni ideology sio personality.

Mtu anaweza kuwa mwema kabisa katika mambo mengine lakini ndani yake ana agenda ya ugaidi.

Oooh alikuwa mfanya biashara wa madini anamiliki mgodi ...

Hivi Alie kwambia magaidi wanakuwaga masikini wasio na shughuli za kufanya nani?

Ma expert wa anti terrorism duniani kote wanajua kwamba magaidi huwa na mitandao mikubwa na huwa na watu wanao wafadhili kipesa nk.

Hivi unadhani Osama na Al Qaeda walikuwa wanapata wapi pesa za kufanya operations zao?

Acheni kuwaza Kama watoto wadogo.
Kupigana kwa silaha ni timing tu.Je unajuaje Kama Siku ya kudhulumiwa walimuwahi wakampokonya siraha yake na kwa kuwa kibonge yule bila silaha asingeweza kufurukuta mbele ya polisi basi ilibidi akajipange aje siku nyingine na silaha nyingine? hivyo wewe pia unapaswa kufikiri nje ya box. Unakumbuka Yale mauaji ya wale wafanyabiashara wa madini wa mahenge Kule msitu wa Pande? Kiufupi linapokuja swala la mpunga usije ukawaamini hao
 
Back
Top Bottom