Citizen B
JF-Expert Member
- May 13, 2019
- 6,677
- 9,034
Ni waislam wachache Sana wako kama wewe..wengi wamejikita kumtetea,kumsifu Na kupondea polisiWatanzania wengi wana utindio wa ubongo wa asili mtu ana video enzi za uhai wake ambazo alikua kashka bastola huku akiimba nasheed za Isis na kabla ya kuuwawa moja kat ya watu waliokuwepo kwenye ile daladala alimrecord akijipiga kifua huku akisema mwambien siro anauwa waislam ila sisi vijana wa kiisam tuko tayar kufa kwaajili ya Allah.watu wakasema video ime tengezwa siyo ya kweli lakin muda huo huo hakuna ushahid wowte juu ya maongez ya kudai kutapeliwa madin yake, hata konda wa ile daladala alikir akimsikia akiyasema maneno hayo juu uislam.
Inawezekana alikua akitaman siku moja afanye vitendo vya kigaidi akiamin ni jihad pengine tu hakua na connection ya kujiunga na vikund vya kigadi akaamua aanze na bastola yake aliyomilikishwa kihalali kwakua alionekana mwema kumbe moyon ana mambo mazito.
Uislam unachafuliwa na wapuuzi Kama kina Hamza ambao wanafanya mauji kwa iman ya jihad lakin hakuna jihad yoyote zaid ugaid, din inatumika tu kulisha watu sumu kwakua huko ndo rahisi kuwajengea watu visas lakin lengo siyo kuupigania uislam japo vijana wapuuuzi Kama kina Hamza wanaamin wamekufa kwaajili ya kuupigania uislam.
Mwenyezi Mungu amjaalie Moto wa jahannam inshaallah (kwakua Quran imekataza kutoa nafsi zisizo na hatia)