Udhaifu wa Azimio la Arusha na Mapokeo Potofu kuhusu Utajiri na Vipato

Ewe Mchungaji nani kasema Watanzania hawapendi utajiri? Walikuwa wanaupenda kabla, wakati na baada ya Azimio la Arusha! Na ndio maana tuliwaletea hilo Azimio ili walau lidhibiti tamaa ya utajiri isiyojali utu! Ni vigumu sana matajiri kuingia kwenye ufalme wa haki na usawa (egalite). Hakika ubepari ni unyama (barbarisme)!

Huu ndio mtazamo chanya na hasi wa muasisi wa Azimio la Arusha kuhusu matajiri na utajiri:

In the individual, as in the society, it is an attitude of mind which distinguishes the socialist from the non-socialist. It has nothing to do with the possession or non-possession of wealth. Destitute people can be potential capitalists--exploiters of their fellow human beings. A millionaire can equally be a socialist; he may value his wealth only because it can be used in the service of his fellow men. But the man who uses wealth for the purpose of dominating any of his fellows is a capitalist. So is the man who would if he could!

I have said that a millionaire can be a good socialist. But a socialist millionaire is a rare phenomenon. Indeed he is almost a contradiction in terms. The appearance of millionaires in any society is no proof of its affluence; they can be produced by very poor countries like Tanganyika just as well as by rich countries like the United States of America. For it is not efficiency of production, nor the amount of wealth in a country, which makes millionaires; it is the uneven distribution of what is produced. The basic difference between a socialist society and a capitalist society does not lie in their methods of producing wealth, but in the way that wealth is distributed. While, therefore, a millionaire could be a good socialist, he could hardly be the product of a socialist society.

Since the appearance of millionaires in a society does not depend on its affluence, sociologists may find it interesting to try and find out why our societies in Africa did not, in fact, produce any millionaires--for we certainly had enough wealth to create a few. I think they would discover that it was because the organization of traditional African society--its distribution of the wealth it produced--was such that there was hardly any room for parasitism. They might also say, of course, that as a result of this Africa could not produce a leisured class of landowners, and therefore there was nobody to produce the works of art or science which capitalist societies can boast. but works of art and the achievements of science are products of the intellect--which, like land, is one of God's gifts to man. And I cannot believe that God is so careless as to have made the use of one of His gifts depend on the misuse of another!

Defenders of capitalism claim that the millionaire's wealth is the just reward for his ability or enterprise. But this claim is not borne out of the facts. The wealth of the millionaire depends as little on the enterprise or abilities of the millionaire himself as the power of a feudal monarch depended on his own efforts, enterprise, or brain. Both are users, exploiters, of the abilities and enterprise of other people. Even when you have an exceptionally intelligent and hard-working millionaire, the difference between his intelligence, his enterprise, his hard work, and those of other members of society, cannot possibly be proportionate to the difference between their "rewards." There must be something wrong in a society where one man. however hard-working or clever he may be, can acquire as great a "reward" as a thousand of his fellows can acquire them.

Acquisitiveness for the purpose of gaining power and prestige is unsocialist. In an acquisitive society wealth tends to corrupt those who possess it. it tends to breed in them a desire to live more comfortably than their fellows, to dress better, and in every way to outdo them. They begin to feel they must climb as far above their neighbors as they can. the visible contrast between their own comfort and the comparative discomfort of the rest of society becomes almost essential to the enjoyment of their wealth, and this sets off the spiral of personal competition--which is then anti-social.

Apart from the anti-social effects of the accumulation of personal wealth, the every desire to accumulate it must be interpreted as a vote of "no confidence" in the social system. For when a society is so organized that it cares about its individuals, then, provided he is willing to work, no individual within that society should worry about what will happen to him tomorrow if he does not hoard wealth today. Society itself should look after him, or his widow, or his orphans. This is exactly what traditional African society in doing. Both the "rich" and the "poor" individual were completely secure in African society.

Source: http://www.nathanielturner.com/ujamaanyerere.htm
 
Zakumi kwani Wabarabaig sio ndugu zako? Au ndio chuki binafsi dhidi ya Azimio inakufanya hata usikubali kukiri 'Binadamu wote ni ndugu zangu' na 'Binadamu wote ni sawa'? Hivi wamekukusea nini ndugu zetu wafugaji?

Nimeshasisitiza, kama alivyosisitiza muasisi wake, kuwa Azimio la Arusha halikutekelezwa. Kama lilitekelezwa basi ni kidogo kati ya 1967 na 1977. Hivyo hilo suala la Wabarabaig sio matokeo ya Azimio - ni matokeo ya sheria mbovu mlizorithi kwa wakoloni na kuziongezea makali ya kiimla na kuzitumia kule Hanang mkishirikiana na ndugu zenu kutoka Canada/CIDA!


Companero:

Undugu huko pande mbili. Mila zao zinadai wao kuwa ni superior kuliko wengine. Na ng'ombe wote duniani ni mali zao.

Azimio la Arusha lilitekelezwa na yeye mwenyewe alilifanyia review katika vipindi mbalimbali.

Na kwenye kikao cha chama 1982, mwasisi alisema nchi itakabiliana na matatizo yake kwa sababu kuna viongozi wazuri na miongozo mizuri (Azimio la Arusha likiwemo). Kama mwasisi anasema Azimio halikutekelezwa, therefore we should calmly assume that he didn't know what he was doing.
 
Ewe Mchungaji nani kasema Watanzania hawapendi utajiri? Walikuwa wanaupenda kabla, wakati na baada ya Azimio la Arusha! Na ndio maana tuliwaletea hilo Azimio ili walau lidhibiti tamaa ya utajiri isiyojali utu! Ni vigumu sana matajiri kuingia kwenye ufalme wa haki na usawa (egalite). Hakika ubepari ni unyama (barbarisme)!

Huu ndio mtazamo chanya na hasi wa muasisi wa Azimio la Arusha kuhusu matajiri na utajiri:

In the individual, as in the society, it is an attitude of mind which distinguishes the socialist from the non-socialist. It has nothing to do with the possession or non-possession of wealth. Destitute people can be potential capitalists--exploiters of their fellow human beings. A millionaire can equally be a socialist; he may value his wealth only because it can be used in the service of his fellow men. But the man who uses wealth for the purpose of dominating any of his fellows is a capitalist. So is the man who would if he could!

I have said that a millionaire can be a good socialist. But a socialist millionaire is a rare phenomenon. Indeed he is almost a contradiction in terms. The appearance of millionaires in any society is no proof of its affluence; they can be produced by very poor countries like Tanganyika just as well as by rich countries like the United States of America. For it is not efficiency of production, nor the amount of wealth in a country, which makes millionaires; it is the uneven distribution of what is produced. The basic difference between a socialist society and a capitalist society does not lie in their methods of producing wealth, but in the way that wealth is distributed. While, therefore, a millionaire could be a good socialist, he could hardly be the product of a socialist society.

Since the appearance of millionaires in a society does not depend on its affluence, sociologists may find it interesting to try and find out why our societies in Africa did not, in fact, produce any millionaires--for we certainly had enough wealth to create a few. I think they would discover that it was because the organization of traditional African society--its distribution of the wealth it produced--was such that there was hardly any room for parasitism. They might also say, of course, that as a result of this Africa could not produce a leisured class of landowners, and therefore there was nobody to produce the works of art or science which capitalist societies can boast. but works of art and the achievements of science are products of the intellect--which, like land, is one of God's gifts to man. And I cannot believe that God is so careless as to have made the use of one of His gifts depend on the misuse of another!

Defenders of capitalism claim that the millionaire's wealth is the just reward for his ability or enterprise. But this claim is not borne out of the facts. The wealth of the millionaire depends as little on the enterprise or abilities of the millionaire himself as the power of a feudal monarch depended on his own efforts, enterprise, or brain. Both are users, exploiters, of the abilities and enterprise of other people. Even when you have an exceptionally intelligent and hard-working millionaire, the difference between his intelligence, his enterprise, his hard work, and those of other members of society, cannot possibly be proportionate to the difference between their "rewards." There must be something wrong in a society where one man. however hard-working or clever he may be, can acquire as great a "reward" as a thousand of his fellows can acquire them.

Acquisitiveness for the purpose of gaining power and prestige is unsocialist. In an acquisitive society wealth tends to corrupt those who possess it. it tends to breed in them a desire to live more comfortably than their fellows, to dress better, and in every way to outdo them. They begin to feel they must climb as far above their neighbors as they can. the visible contrast between their own comfort and the comparative discomfort of the rest of society becomes almost essential to the enjoyment of their wealth, and this sets off the spiral of personal competition--which is then anti-social.

Apart from the anti-social effects of the accumulation of personal wealth, the every desire to accumulate it must be interpreted as a vote of "no confidence" in the social system. For when a society is so organized that it cares about its individuals, then, provided he is willing to work, no individual within that society should worry about what will happen to him tomorrow if he does not hoard wealth today. Society itself should look after him, or his widow, or his orphans. This is exactly what traditional African society in doing. Both the "rich" and the "poor" individual were completely secure in African society.

Source: [URL="http://www.nathanielturner.com/ujamaanyerere.htm"]http://www.nathanielturner.com/ujamaanyerere.htm[/URL]


Utopian theoretician at work.
 
Unajua Nyani Ngabu aka Julius anaposema Miafrika Ndivyo Ilivyo, inabidi tukubaliane naye kuwa fikra zetu zimepagwawa na kulishwa yamini kuwa kuwa masikini na mnyonge ndio njia pekee ya kuwa sahihi na ya kuleta usawa.

Mfano, nikiamua kunywa Safari Lager pale Kempiski, kwa shilingi elfu tatu badala ya Banana Bar pale Vingunguti kwa shilingi elfu moja mia tatu, kwa nini uamuzi wangu uonewe inda?

Kama kipato ni cha halali na kutokana na jasho langu, kwa nini gari ninaloendesha na nyumba ninayoishi iwe kero kwa wengine? Iweje mnigeuze kuwa mtu fidhuli?

Nyerere alisema kupanga ni kuchagua, hivyo mimi kunywa Safari Kempiski na si Chicha la Chibuku, ni haki yangu.

Sasa tutakapofika hatua ya kuheshimu uamuzi wa watu, ambao wanavuna na kula walichokipanda wka jasho lao na kwa uhalali, basi fikra za kusema Utajiri ni sumu, tutaondokana nazo na hata ile mantiki ya sisi kuamini tulilaaniwa na Nuhu kuwa tutakuwa watumwa wa kaka zetu na ndugu zetu zitaondoka katika fikra zetu.
 
Unajua Nyani Ngabu aka Julius anaposema Miafrika Ndivyo Ilivyo, inabidi tukubaliane naye kuwa fikra zetu zimepagwawa na kulishwa yamini kuwa kuwa masikini na mnyonge ndio njia pekee ya kuwa sahihi na ya kuleta usawa.

Mfano, nikiamua kunywa Safari Lager pale Kempiski, kwa shilingi elfu tatu badala ya Banana Bar pale Vingunguti kwa shilingi elfu moja mia tatu, kwa nini uamuzi wangu uonewe inda?

Kama kipato ni cha halali na kutokana na jasho langu, kwa nini gari ninaloendesha na nyumba ninayoishi iwe kero kwa wengine? Iweje mnigeuze kuwa mtu fidhuli?

Nyerere alisema kupanga ni kuchagua, hivyo mimi kunywa Safari Kempiski na si Chicha la Chibuku, ni haki yangu.

Sasa tutakapofika hatua ya kuheshimu uamuzi wa watu, ambao wanavuna na kula walichokipanda wka jasho lao na kwa uhalali, basi fikra za kusema Utajiri ni sumu, tutaondokana nazo na hata ile mantiki ya sisi kuamini tulilaaniwa na Nuhu kuwa tutakuwa watumwa wa kaka zetu na ndugu zetu zitaondoka katika fikra zetu.

Rev. Kishoka:

Kwa umbali ndio unaleta sababu ya watu kuandamana kuunga mkono Azimio la Arusha.

Masikini na wanyonge siku zote watakuunga mkono iwapo sera unazotoa zinawaumiza walionacho kwa sababu they have got nothing to lose. Lakini kukuunga mkono kwao hakuna maana kuwa wanaelewa unachosema au wako tayari kuchukua majukumu yao pale watakapotakiwa kuwajibika.
 
Unajua Nyani Ngabu aka Julius anaposema Miafrika Ndivyo Ilivyo, inabidi tukubaliane naye kuwa fikra zetu zimepagwawa na kulishwa yamini kuwa kuwa masikini na mnyonge ndio njia pekee ya kuwa sahihi na ya kuleta usawa.

Mfano, nikiamua kunywa Safari Lager pale Kempiski, kwa shilingi elfu tatu badala ya Banana Bar pale Vingunguti kwa shilingi elfu moja mia tatu, kwa nini uamuzi wangu uonewe inda?

Kama kipato ni cha halali na kutokana na jasho langu, kwa nini gari ninaloendesha na nyumba ninayoishi iwe kero kwa wengine? Iweje mnigeuze kuwa mtu fidhuli?

Nyerere alisema kupanga ni kuchagua, hivyo mimi kunywa Safari Kempiski na si Chicha la Chibuku, ni haki yangu.

Sasa tutakapofika hatua ya kuheshimu uamuzi wa watu, ambao wanavuna na kula walichokipanda wka jasho lao na kwa uhalali, basi fikra za kusema Utajiri ni sumu, tutaondokana nazo na hata ile mantiki ya sisi kuamini tulilaaniwa na Nuhu kuwa tutakuwa watumwa wa kaka zetu na ndugu zetu zitaondoka katika fikra zetu.

Kwa mantiki yako hakuna haya ya kuwa na inda na kupanga/kuchagua huku:

1. JK kubembea bembea Jamaica
2. Chenge kuwa na vijisenti Jersey
3. Nyumba ya Ndulu kukarabatiwa
4. Liyumba kununua magari mengi
5. Mkapa kujenga hekalu Lushoto

Tuwaache tu, hili si jasho lao - matokeo ya posho wanazostahili kama viongozi!
 
Kwa mantiki yako hakuna haya ya kuwa na inda na kupanga/kuchagua huku:

1. JK kubembea bembea Jamaica
2. Chenge kuwa na vijisenti Jersey
3. Nyumba ya Ndulu kukarabatiwa
4. Liyumba kununua magari mengi
5. Mkapa kujenga hekalu Lushoto

Tuwaache tu, hili si jasho lao - matokeo ya posho wanazostahili kama viongozi!

Companero,

Usichanganye maneno kwa kuweka chumvi. Nimesema awali na narudia tena, mtu anayefanya kazi na kupata kipato halali bila ukiukwaji wa sheria au kanuni, anastahili kujifanyia analotaka midhali havunji sheria au kukiuka kanuni.

Chenge kahujumu, Liyumba na Mkapa wamekiuka kanuni na kuhujumu. Kikwete ni mtumiaji hovyo wa fedha na so is Ndulu.'

Hao uliowataja walichofanya si entitlement, or earned lawfully, bali malicously, hivyo hawako kwenye upande ninaouzungumzia mimi!
 
Companero,

Usichanganye maneno kwa kuweka chumvi. Nimesema awali na narudia tena, mtu anayefanya kazi na kupata kipato halali bila ukiukwaji wa sheria au kanuni, anastahili kujifanyia analotaka midhali havunji sheria au kukiuka kanuni.

Naona umeanza kubugis dhana za uliberali hasa ule msingi wake mkuu wa 'kulinda mali binafsi' za wateule wachache! Unaongea kana kwamba 'kujifanyia lolote' bila 'kuvunja sheria' za 'kiliberali' ni sahihi tu! Kama sheria inasema kima cha chini ni shilingi 1,000 na cha juu ni shilingi 1000,000 hakika nitamlipa mtumishi wangu 1,000 aendelee kufa na njaa ilhali milionea mimi nakunywa Soda ya shilingi 1,000 bila kuvunja sheria za nchi!

Sheria inapaswa kuwa sheria ya haki na usawa - haiwezekani kabisa wavuja jasho tuwaangalie tu wanyonya jasho mkilindwa na sheria onezi!
 
Basi ni vema tukalirudia Azimio kwa kunyoosha udhaifu na mapokeo potofu ambayo yametudumaza si kifikra tuu bali hata kwa vitendo na kutufikisha hapa tulipo.

Reverend.. vizuri kuleta hapa mada hii nami nitoe mchango wangu kidogo nikiwa mjamaa nisiyejuta. Naombe nichukue vifungu viwili ulivyonukuu na kuonesha tafsiri yako juu ya vifungu hiyo siyo sahihi.

Kwanza umedai hivi:

Kama Azimio lisingepiga vita Utajiri na badala yake likajijenga kwa kupiga vita vitendo vya kidhalimu na udhulumu, leo hii tungekuwa tumepiga hatua ya kuondokana na Umasikini.

"Kama azimio"; kauli yako hii mchungaji inaonesha kuwa unalibebesha Azimio la Arusha mzigo wa lawama ya kwanini Tanzania ni maskini. Kwamba kama Azimio "lisingepiga vita" basi "tungekuwa tumepiga hatua ya kuondokana na umaskini". Sasa katika utafiti wa kisayansi tuna upande wa kile kinachojaribiwa na kile ambacho kinabakia kama kilivyo na hutumika kulinganisha.

Sasa Tanzania ilikuwa na Azimio la Arusha kuanzia 1967-1990 hivi na katika kipindi hiki kuna mafanikio kadhaa yamewahi kufanyika chini ya roho ya Ujamaa. Baadhi ya mafanikio ya Azimio la Arusha ni uwezekanaji wa kupatikana kwa elimu ya msingi, kisomo cha watu wazima, elimu ya juu, afya kwa wote, kupambana na njaa na magonjwa mbalimbali na uendelezo wa miundo mbinu ya aina mbalimbali. Ilikuwa ni chini ya roho ya Azimio ndipo tuliweza kufanya mabadiliko makubwa ikiwemo uanzishaji wa makampuni mbalimbali yaliyomilikiwa na umma. Tuliweza kuanzisha viwanda vingi na vilivyozalisha bidhaa tulizotumia sisi wenyewe na vile vile Azimio lilitoa uhuru kwa watu binafsi kuanzisha viwanda vyao ambavyo vilikuwepo vile vile.

Ningeweza kurejea mafanikio mbalimbali ya kiuchumi na kimaisha chini ya Azimio la Arusha. Hata hivyo nchi za Kenya, Uganda, Congo, DRC, Msumbiji, Nigeria, Ghana n.k hazikuwa na Azimio la Arusha au kitu kama hicho, je nchi hizo umaskini wake unaelezewaje?

Yawezekana sababu zinazoelezea umaskini katika nchi nyingine za Kiafrika zaweza kuelezea umaskini wa Kitanzania?

Umejenga hoja ifuatayo vile vile:

Azimio lilizungumzia pato la haki, lakini pato la haki kutokana na kazi bado halijaweza kupatikana kwa Mtanzania kutokana na Serikali na Chama kuingilia kati mfumo wa Uzalishaji mali kwa kisingizio cha kujenga Ujamaa, bila kutafakari kuwa Serikali haiwezi kuwa mzalishaji mali, mtunga sheria, mdhibiti sheria na mkusanyaji wa mapato.

Serikali inaweza kuwa mzalishaji mali, mtunga sheria, ,msimamiaji wa sheria hiyo na mkusanyaji wa mapato endapo kuna utaratibu unaotengenezwa kuwezesha mambo hayo yote. Mfano mzuri ni China, Vietnam, Laos na huku tunakokwenda Venezuela n.k
Kingine kibaya zaidi ni kile cha kuondoa ushindani katika sekta za uzalilshaji mali kwa kuhakikisha kuwa kila kitu kinadhibitiwa na Serikali badala ya kuhakikisha kuwa sheria na Kanuni ambazo zingemlinda kila mtu, kuanzia mtumia bidhaa, mzalishaji wa idhaa, mwajiriwa na mwajiri vinakuwa bayana na haki inatumika katika kuhakikisha hakuna uonevu na dhuluma.

Haya yote unayoyasema yanawezekana kabisa katika nchi ya kijamaa na si kinyume na mfumo wa kijamaa.

Naomba basi niangalie vifungu viwili ulivyonukuu:


Nchi yenye Ujamaa kamili ni nchi ya wafanyakazi: haina
ubepari wala ukabaila. Haina tabaka mbii za watu: tabaka ya
chini ya watu wanaoishi kwa kufanya kazi, na tabaka ya juu ya
watu wanaoishi kwa kufanyiwa kazi. Katika nchi ya Ujamaa
kamili
mtu hamnyonyi mtu, bali kila awezaye kufanya kazi
hufanya kazi, na kila mfanya kazi hupata pato la haki kwa kazi
aifanyayo na wala mapato ya wafanyakazi mbali mbali​
hayapitani mno.
Katika nchi ya Ujamaa kamili watu peke yao ambao huishi
kwa jasho la wenzao, na ni haki yao kuishi kwa jasho la wenzao
ni watoto wadogo, wazee wasiojiweza, vilema na wale ambao,
kwa muda, Jumuiya imeshindwa kuwapatia kazi yo yote ya
kujipatia riziki kwa nguvu zao wenyewe.
Nchi yetu ni nchi ya Wakulima na Wafanya kazi, lakini sin
chi ya Ujamaa kamili. Ina misingi ya ubepari na ukabaila na
vishawishi vyake. Misingi hii ya ubepari na ukabaila yaweza​
ikapanuka na kuenea.

Nimetilia mkazo maneno hayo "Ujamaa kamili" ili tuweze kuelewa nadharia ambayo AR inajenga. Tanzania haijawahi kuwa nchi ya Ujamaa kamili na hadi hivi sasa hakuna nchi yenye ujamaa kamili. Azimio lilikuwa linarudia zile nadharia za mfumo wa ujamaa kamili ambao ni ukomonisti. Kutokana na nadharia za mifumo ya kisiasa ukomonisti ndio ulikuwa ni mfumo wa juu kabisa mahusiano kati ya watawala na watawaliwa na ndilo lengo hatimaye la nchi zote za kijamaa kufikia.

Na ndio maana azimio linasema "nchi yetu ni nchi ya Wakulima na Wafanyakazi lakini "SI NCHI YA UJAMAA KAMILI". Kwa maneno mengine, mapungufu yaliyotokea wakati wa Azimio la Arusha yanaelezeka.

Namna ya pekee ya kujenga na kudumisha ujamaa ni
kuthibitisha kuwa njia kuu zote za uchumi wa nchi yetu
zinatawaliwa na kumilikiwa na Wakulima na Wafanyakazi
wenyewe kwa kutumia vyombo vya Serikali yao na Vyama
vyao vya Ushirika. Pia ni lazima kuthibitisha kuwa Chama​
kinachotawala ni Chama cha wakulima na wafanyakazi.
Njia kuu za Uchumi ni:​
kama vile ardhi, misitu, madini,
maji, mafuta na nguvu za umeme; njia za habari, njia za
usafirishaji; mabenki, na bima; biashara na nchi za kigeni na
biashara za jumla; viwanda vya chuma, mashini, silaha, magari,
simenti, mboleo; nguo, na kiwanda cho chote kikubwa
ambacho kinategemewa na sehemu kubwa ya watu katika
kupata riziki zao au kinachotegemewa na viwanda vingine;
mashamba makubwa na hasa yale yanayotoa mazao ya lazima
katika viwanda vikubwa.​

Katika kifungu cha pili ulichonukuu kuna mambo mawili ambayo ni muhimu kuyatenganisha; mambo ambayo naamini wakati Azimio linaandikwa hayakufikiriwa kwa umbali wake na umantiki wake na yawezekana ndiko kulikosababisha kwa kiasi chake kulegalega kwa ujenzi wa ujamaa. Jambo la kwanza ni umiliki na utawala wa njia za uzalishaji mali na pili ni njia gani hizo na kwa kwa kiasi gani utawala huo uwe.

a. Umiliki wa Njia Kuu za Uzalishaji mali.
Mojawapo ya mambo ambayo AR lilikuwa mbele sana ya wakati wake (karibu miaka 45) ni suala la kuelewa kuwa huwezi kama taifa kuacha njia kuu za uzalishaji mali ziendeshwe kibinafsi bila serikali kutawala au kumiliki kwa namna fulani. Wakati hili linapendekezwa na Mwalimu na hata kabla yake kina Marx, Engel na Lenin lilionekana kama tishio kubwa zaidi la mfumo wa Ubepari.

Lakini Mwalimu alikuwa sahihi kwani historia leo imemhukumu vizuri kweli na kuthibitisha kuwa serikali ni lazima kwa namna moja ishiriki katika umiliki wa njia za uzalishaji mali na hata viwanda na hasa vile " kinategemewa na sehemu kubwa ya watu katika kupata riziki zao au kinachotegemewa na viwanda vingine"

Hili linanikumbusha jinsi gani serikali za nchi zilizoendelea zilipokurupuka na kuokoa mabenki yao, viwanda vya magari na hata sekta nyingine kwa sababu vilikuwa "too big to fail". Walichelewa kutambua kile ambacho AR lilitambua. Ni katika hili basi serikali duniani zimefikia mahali pa kutaifisha au kujipa hisa kwenye makampuni na kujiingiza katika sekta mbalimbali.

B. Njia kuu za uzalishaji mali ni zipi?
Naamini mapungufu makubwa ya AR ilikuwa ni katika upana wa maana ya "njia kuu za uzalishaji mali. Azimio la Arusha linataja kuwa njia KUU za uzalishaji mali ni "
ardhi, misitu, madini, maji, mafuta na nguvu za umeme; njia za habari, njia za usafirishaji; mabenki, na bima; biashara na nchi za kigeni na biashara za jumla; viwanda vya chuma, mashini, silaha, magari, simenti, mboleo; nguo". Hapa ndipo lilipokuwa tatizo. Ukiniuliza leo hii nitasema kuwa yapo maeneo yasiyozidi manne tu au matano ambayo serikali lazima isimamie na kuwa na utawala; ARDHI, NISHATI, MAJI, na MADINI. Lakini katika haya ningeweka kwa namna fulani AFYA NA ELIMU kama maeneo ambayo serikali yoyote duniani lazima iwe na maslahi rasmi ya kuwezesha sekta hizo kwani ni msingi mkubwa wa hayo maeneo manne.

Ningeyaacha mambo ya nguo, simenti, habari, usafiri (isipokuwa mambo ya usalama wake), mbolea, magari n.k kuwa mikononi mwa watu binafsi isipokuwa kuwa na usimamizi wa viwango, utaratibu, usalama, na taratibu mbalimbali. Katika ujamaa wa kileo (modern socialism) serikali inaingilia kati katika kumlinda mlaji na mzalishaji.

c. Kwa kiasi gani serikali ijihusishe?
Binafsi ninaamini kuna maeneo ambayo serikali (wananchi) ni lazima wawe na udhibiti wa mdau mkuu (major shareholder). Nayo ni maeneo hayo manne hapo juu aidha kwa kuwekeza wenyewe au kwa kuwa na strategic shares kama wanavyofanya UK kwenye BAE systems. Lakini wakati huo huo kuwa na mfumo ambao ungehakikisha kuwa wananchi bado wanapata umiliki katika makampuni mbalimbali na hivyo kujitengenezea utajiri.

Katika hili naamini kosa jingine la AR lilitokea. AR halikutoa nafasi kwa mtu wa kawaida kununua hisa kwenye makampuni ya umma. Hata leo hii ni bado tunahangaika sana. Binafsi naamini kabisa mashirika kama ATCL na TRL yangeuza hisa zake kwa umma na kuwekwa chini ya usimamizi wa wananchi moja kwa moja yangeweza kuokolewa bila kuwaremburia macho wawekezaji wa kigeni. Lakini watawala wanaogopa sana nguvu hii ya wananchi.

Katika ujamaa wa kisasa, wananchi wanashirikishwa katika umiliki wa uchumi wao siyo kwa "kutumia vyombo vya serikali na vyama vya ushirika" tu kama ilivyoanishwa katika AR bali kwa umiliki wa ununuzi, uundwaji wa bodi na usimamizi wa moja kwa moja wa mashirika hayo.

Hivyo, bado naamini roho ya AR bado iko hai na kama Mwalimu mwenyewe alivyotabiri kwa usahihi tukiliangalia tena AR tunaweza kubadilisha lugha hapa na pale lakini ile spirit yake bado inasimama katika ukweli na hatimaye tutalirudia.. naamini tuko mbioni kufanya hivyo.
 
Reverend.. vizuri kuleta hapa mada hii nami nitoe mchango wangu kidogo nikiwa mjamaa nisiyejuta. Naombe nichukue vifungu viwili ulivyonukuu na kuonesha tafsiri yako juu ya vifungu hiyo siyo sahihi.

Kwanza umedai hivi:



"Kama azimio"; kauli yako hii mchungaji inaonesha kuwa unalibebesha Azimio la Arusha mzigo wa lawama ya kwanini Tanzania ni maskini. Kwamba kama Azimio "lisingepiga vita" basi "tungekuwa tumepiga hatua ya kuondokana na umaskini". Sasa katika utafiti wa kisayansi tuna upande wa kile kinachojaribiwa na kile ambacho kinabakia kama kilivyo na hutumika kulinganisha.

Sasa Tanzania ilikuwa na Azimio la Arusha kuanzia 1967-1990 hivi na katika kipindi hiki kuna mafanikio kadhaa yamewahi kufanyika chini ya roho ya Ujamaa. Baadhi ya mafanikio ya Azimio la Arusha ni uwezekanaji wa kupatikana kwa elimu ya msingi, kisomo cha watu wazima, elimu ya juu, afya kwa wote, kupambana na njaa na magonjwa mbalimbali na uendelezo wa miundo mbinu ya aina mbalimbali. Ilikuwa ni chini ya roho ya Azimio ndipo tuliweza kufanya mabadiliko makubwa ikiwemo uanzishaji wa makampuni mbalimbali yaliyomilikiwa na umma. Tuliweza kuanzisha viwanda vingi na vilivyozalisha bidhaa tulizotumia sisi wenyewe na vile vile Azimio lilitoa uhuru kwa watu binafsi kuanzisha viwanda vyao ambavyo vilikuwepo vile vile.

Ningeweza kurejea mafanikio mbalimbali ya kiuchumi na kimaisha chini ya Azimio la Arusha. Hata hivyo nchi za Kenya, Uganda, Congo, DRC, Msumbiji, Nigeria, Ghana n.k hazikuwa na Azimio la Arusha au kitu kama hicho, je nchi hizo umaskini wake unaelezewaje?

Yawezekana sababu zinazoelezea umaskini katika nchi nyingine za Kiafrika zaweza kuelezea umaskini wa Kitanzania?

Umejenga hoja ifuatayo vile vile:



Serikali inaweza kuwa mzalishaji mali, mtunga sheria, ,msimamiaji wa sheria hiyo na mkusanyaji wa mapato endapo kuna utaratibu unaotengenezwa kuwezesha mambo hayo yote. Mfano mzuri ni China, Vietnam, Laos na huku tunakokwenda Venezuela n.k


Haya yote unayoyasema yanawezekana kabisa katika nchi ya kijamaa na si kinyume na mfumo wa kijamaa.

Naomba basi niangalie vifungu viwili ulivyonukuu:




Nimetilia mkazo maneno hayo "Ujamaa kamili" ili tuweze kuelewa nadharia ambayo AR inajenga. Tanzania haijawahi kuwa nchi ya Ujamaa kamili na hadi hivi sasa hakuna nchi yenye ujamaa kamili. Azimio lilikuwa linarudia zile nadharia za mfumo wa ujamaa kamili ambao ni ukomonisti. Kutokana na nadharia za mifumo ya kisiasa ukomonisti ndio ulikuwa ni mfumo wa juu kabisa mahusiano kati ya watawala na watawaliwa na ndilo lengo hatimaye la nchi zote za kijamaa kufikia.

Na ndio maana azimio linasema "nchi yetu ni nchi ya Wakulima na Wafanyakazi lakini "SI NCHI YA UJAMAA KAMILI". Kwa maneno mengine, mapungufu yaliyotokea wakati wa Azimio la Arusha yanaelezeka.



Katika kifungu cha pili ulichonukuu kuna mambo mawili ambayo ni muhimu kuyatenganisha; mambo ambayo naamini wakati Azimio linaandikwa hayakufikiriwa kwa umbali wake na umantiki wake na yawezekana ndiko kulikosababisha kwa kiasi chake kulegalega kwa ujenzi wa ujamaa. Jambo la kwanza ni umiliki na utawala wa njia za uzalishaji mali na pili ni njia gani hizo na kwa kwa kiasi gani utawala huo uwe.

a. Umiliki wa Njia Kuu za Uzalishaji mali.
Mojawapo ya mambo ambayo AR lilikuwa mbele sana ya wakati wake (karibu miaka 45) ni suala la kuelewa kuwa huwezi kama taifa kuacha njia kuu za uzalishaji mali ziendeshwe kibinafsi bila serikali kutawala au kumiliki kwa namna fulani. Wakati hili linapendekezwa na Mwalimu na hata kabla yake kina Marx, Engel na Lenin lilionekana kama tishio kubwa zaidi la mfumo wa Ubepari.

Lakini Mwalimu alikuwa sahihi kwani historia leo imemhukumu vizuri kweli na kuthibitisha kuwa serikali ni lazima kwa namna moja ishiriki katika umiliki wa njia za uzalishaji mali na hata viwanda na hasa vile "kinategemewa na sehemu kubwa ya watu katika kupata riziki zao au kinachotegemewa na viwanda vingine"

Hili linanikumbusha jinsi gani serikali za nchi zilizoendelea zilipokurupuka na kuokoa mabenki yao, viwanda vya magari na hata sekta nyingine kwa sababu vilikuwa "too big to fail". Walichelewa kutambua kile ambacho AR lilitambua. Ni katika hili basi serikali duniani zimefikia mahali pa kutaifisha au kujipa hisa kwenye makampuni na kujiingiza katika sekta mbalimbali.

B. Njia kuu za uzalishaji mali ni zipi?
Naamini mapungufu makubwa ya AR ilikuwa ni katika upana wa maana ya "njia kuu za uzalishaji mali. Azimio la Arusha linataja kuwa njia KUU za uzalishaji mali ni "
ardhi, misitu, madini, maji, mafuta na nguvu za umeme; njia za habari, njia za usafirishaji; mabenki, na bima; biashara na nchi za kigeni na biashara za jumla; viwanda vya chuma, mashini, silaha, magari, simenti, mboleo; nguo". Hapa ndipo lilipokuwa tatizo. Ukiniuliza leo hii nitasema kuwa yapo maeneo yasiyozidi manne tu au matano ambayo serikali lazima isimamie na kuwa na utawala; ARDHI, NISHATI, MAJI, na MADINI. Lakini katika haya ningeweka kwa namna fulani AFYA NA ELIMU kama maeneo ambayo serikali yoyote duniani lazima iwe na maslahi rasmi ya kuwezesha sekta hizo kwani ni msingi mkubwa wa hayo maeneo manne.

Ningeyaacha mambo ya nguo, simenti, habari, usafiri (isipokuwa mambo ya usalama wake), mbolea, magari n.k kuwa mikononi mwa watu binafsi isipokuwa kuwa na usimamizi wa viwango, utaratibu, usalama, na taratibu mbalimbali. Katika ujamaa wa kileo (modern socialism) serikali inaingilia kati katika kumlinda mlaji na mzalishaji.

c. Kwa kiasi gani serikali ijihusishe?
Binafsi ninaamini kuna maeneo ambayo serikali (wananchi) ni lazima wawe na udhibiti wa mdau mkuu (major shareholder). Nayo ni maeneo hayo manne hapo juu aidha kwa kuwekeza wenyewe au kwa kuwa na strategic shares kama wanavyofanya UK kwenye BAE systems. Lakini wakati huo huo kuwa na mfumo ambao ungehakikisha kuwa wananchi bado wanapata umiliki katika makampuni mbalimbali na hivyo kujitengenezea utajiri.

Katika hili naamini kosa jingine la AR lilitokea. AR halikutoa nafasi kwa mtu wa kawaida kununua hisa kwenye makampuni ya umma. Hata leo hii ni bado tunahangaika sana. Binafsi naamini kabisa mashirika kama ATCL na TRL yangeuza hisa zake kwa umma na kuwekwa chini ya usimamizi wa wananchi moja kwa moja yangeweza kuokolewa bila kuwaremburia macho wawekezaji wa kigeni. Lakini watawala wanaogopa sana nguvu hii ya wananchi.

Katika ujamaa wa kisasa, wananchi wanashirikishwa katika umiliki wa uchumi wao siyo kwa "kutumia vyombo vya serikali na vyama vya ushirika" tu kama ilivyoanishwa katika AR bali kwa umiliki wa ununuzi, uundwaji wa bodi na usimamizi wa moja kwa moja wa mashirika hayo.

Hivyo, bado naamini roho ya AR bado iko hai na kama Mwalimu mwenyewe alivyotabiri kwa usahihi tukiliangalia tena AR tunaweza kubadilisha lugha hapa na pale lakini ile spirit yake bado inasimama katika ukweli na hatimaye tutalirudia.. naamini tuko mbioni kufanya hivyo.

MKJJ mwalimu alijua kuwa just by himself asingeweza kufanikwa,lakini kutokana na kwamba mkoloni hakuondoka kwa kupenda,mazingira ya kisiasa bado hayakuwa mazuri since mkoloni bado alikuwa na mamluki wake wenye kuwa "civilized" ambao mawazo yao yalionekana kama usaliti kwa utu wa mwafrika pamoja na utamaduni wake na uwezo wa kujiamulia mambo,kama mkoloni hakuacha mzingira "mema" kwa mwafrika,viongozi walioyaona hayo kama kina Lumumba,Kwameh,na mwalimu hawakuwa na mtaji zadi ya wananchi masikini na wasiokuwa na elimu zaidi ya dini za watawala,tamaduni zao nk....

Na kama kweli unawapenda wananchi wako,basi cha kwanza ni elimu na uelewa wa mazingira,na pia kama mwalimu alivyotoa msisitizo kwenye kujenga mentality ya kujiamini na kujitegemea,tatizo ambalo viongozi walioelimika ama civilized hawakuliona,ama walilifumbia mcho kwasababu ya ubinafsi...Mwalimu alikuwa hapambani na waafrika wenzake,bali mkoloni,na hata sasa bado ni mkoloni tunapambana naye,sema amepata support ya mamluki ambao walikuwepo toka mwanzo sema walibanwa na siasa za mwalimu....Hadi hivi majuzi walipokuja na kudai kuwa maadili ya uongozi yalipewa "Kipaumbele" kwenye AR.

Ubepari ni "Utapeli" wa kimawazo,kwa mfano mashabiki wa ubepari wanasema serikali haina mamlaka juu ya uhuru wa biashara,na kwamba corporate iwe "huru" lakini ukiangalia kwa makini,kama serikali isipokuwa na influence,basi kunakuwa na vaccum na hapo mabepari ndio wanakuwa waamuzi wa issue za kitaifa na hivyo basi serikali siyo kwamba haipo,bali inakuwa kama kibaraka wa mabepari hao.

Na ndio maana Uchumi umefikia hapo ulipo,hata hivyo jitihada zozote za kuipa serikali nguvu ya udhibiti dhidi ya mabepari ambao wengi wanajali mali na pesa zaidi ya utu,zinapewa jina la socialism ama communism,ni majina ambayo yamejengewa fikra mbaya kwenye jamii ya mzungu kutokana na manipulation nk,corporate ama mabepari wanapokuwa wana run nchi,basi interest si lazima ziwe za kitaifa,licha ya kwamba zinapewa hadhi ya kitaifa,kwa mfano mafuta ya Bush kupewa sababu kama ugaidi nk.

Kuna mtu kaazisha thread na kudai tunahitaji "Mkombozi" Kamwe hatutaweza kupata mkombozi,bali kiongozi atakayechangia kwenye jitihada za uongozi,historia inatuonyesha hivyo kwani hata wamarekani wana viongozi wengi lakini hawakubadili msingi ya ujenzi wa Taifa lao,walifanya marekebisho flani flani tu,no mater how the original idea was,ndio maana wamarekani wameweza kubadilisha mambo kidogo lakini wakiheshimu ideas za founders wao,hata zile za kibaguzi zilifanyiwa marekebisho taratibu.

Sisi Azimio tumelitupa moja kwa moja,halafu cha ajabu ni kwamba hata Azimo la Zanzibar sijawahi kuliona,zaidi ya hotuba ya Mwinyi ambaye na yeye alidai kuwa Azimio la Zanzibar alijabadilisha chochote kwenye azimio la Arusha zaidi ya marekebisho ya hapa na pale,je hilo ni kweli?

Halafu baada ya wananchi kuhoji sana kuhusu mwelekeo wa Taifa,wakaanza kutupiana mpira,mwishowe Mkapa akaja akazidi kutoa maudhi na kutufanya wananchi "wajinga" kama anavyoamini(Tofauti kati yake na mwalimu wake ni kwamba mwalimu wake alijaribu kulitafutia "fufumbuzi" suala hilo kutokana na mapenzi yake kwa Taifa na wananchi kwa ujumla) LAKINI YEYE akaamuwa kuwatukana wananchi na kuiuza nchi.
Kama kuna mwenye nakala ya azimio la zanzibar ningefurahi kama angeiweka hapa.
 
Reverend.. vizuri kuleta hapa mada hii nami nitoe mchango wangu kidogo nikiwa mjamaa nisiyejuta. Naombe nichukue vifungu viwili ulivyonukuu na kuonesha tafsiri yako juu ya vifungu hiyo siyo sahihi.

Kwanza umedai hivi:



"Kama azimio"; kauli yako hii mchungaji inaonesha kuwa unalibebesha Azimio la Arusha mzigo wa lawama ya kwanini Tanzania ni maskini. Kwamba kama Azimio "lisingepiga vita" basi "tungekuwa tumepiga hatua ya kuondokana na umaskini". Sasa katika utafiti wa kisayansi tuna upande wa kile kinachojaribiwa na kile ambacho kinabakia kama kilivyo na hutumika kulinganisha.

Sasa Tanzania ilikuwa na Azimio la Arusha kuanzia 1967-1990 hivi na katika kipindi hiki kuna mafanikio kadhaa yamewahi kufanyika chini ya roho ya Ujamaa. Baadhi ya mafanikio ya Azimio la Arusha ni uwezekanaji wa kupatikana kwa elimu ya msingi, kisomo cha watu wazima, elimu ya juu, afya kwa wote, kupambana na njaa na magonjwa mbalimbali na uendelezo wa miundo mbinu ya aina mbalimbali. Ilikuwa ni chini ya roho ya Azimio ndipo tuliweza kufanya mabadiliko makubwa ikiwemo uanzishaji wa makampuni mbalimbali yaliyomilikiwa na umma. Tuliweza kuanzisha viwanda vingi na vilivyozalisha bidhaa tulizotumia sisi wenyewe na vile vile Azimio lilitoa uhuru kwa watu binafsi kuanzisha viwanda vyao ambavyo vilikuwepo vile vile.

Ningeweza kurejea mafanikio mbalimbali ya kiuchumi na kimaisha chini ya Azimio la Arusha. Hata hivyo nchi za Kenya, Uganda, Congo, DRC, Msumbiji, Nigeria, Ghana n.k hazikuwa na Azimio la Arusha au kitu kama hicho, je nchi hizo umaskini wake unaelezewaje?

Yawezekana sababu zinazoelezea umaskini katika nchi nyingine za Kiafrika zaweza kuelezea umaskini wa Kitanzania?

Umejenga hoja ifuatayo vile vile:



Serikali inaweza kuwa mzalishaji mali, mtunga sheria, ,msimamiaji wa sheria hiyo na mkusanyaji wa mapato endapo kuna utaratibu unaotengenezwa kuwezesha mambo hayo yote. Mfano mzuri ni China, Vietnam, Laos na huku tunakokwenda Venezuela n.k


Haya yote unayoyasema yanawezekana kabisa katika nchi ya kijamaa na si kinyume na mfumo wa kijamaa.

Naomba basi niangalie vifungu viwili ulivyonukuu:




Nimetilia mkazo maneno hayo "Ujamaa kamili" ili tuweze kuelewa nadharia ambayo AR inajenga. Tanzania haijawahi kuwa nchi ya Ujamaa kamili na hadi hivi sasa hakuna nchi yenye ujamaa kamili. Azimio lilikuwa linarudia zile nadharia za mfumo wa ujamaa kamili ambao ni ukomonisti. Kutokana na nadharia za mifumo ya kisiasa ukomonisti ndio ulikuwa ni mfumo wa juu kabisa mahusiano kati ya watawala na watawaliwa na ndilo lengo hatimaye la nchi zote za kijamaa kufikia.

Na ndio maana azimio linasema "nchi yetu ni nchi ya Wakulima na Wafanyakazi lakini "SI NCHI YA UJAMAA KAMILI". Kwa maneno mengine, mapungufu yaliyotokea wakati wa Azimio la Arusha yanaelezeka.



Katika kifungu cha pili ulichonukuu kuna mambo mawili ambayo ni muhimu kuyatenganisha; mambo ambayo naamini wakati Azimio linaandikwa hayakufikiriwa kwa umbali wake na umantiki wake na yawezekana ndiko kulikosababisha kwa kiasi chake kulegalega kwa ujenzi wa ujamaa. Jambo la kwanza ni umiliki na utawala wa njia za uzalishaji mali na pili ni njia gani hizo na kwa kwa kiasi gani utawala huo uwe.

a. Umiliki wa Njia Kuu za Uzalishaji mali.
Mojawapo ya mambo ambayo AR lilikuwa mbele sana ya wakati wake (karibu miaka 45) ni suala la kuelewa kuwa huwezi kama taifa kuacha njia kuu za uzalishaji mali ziendeshwe kibinafsi bila serikali kutawala au kumiliki kwa namna fulani. Wakati hili linapendekezwa na Mwalimu na hata kabla yake kina Marx, Engel na Lenin lilionekana kama tishio kubwa zaidi la mfumo wa Ubepari.

Lakini Mwalimu alikuwa sahihi kwani historia leo imemhukumu vizuri kweli na kuthibitisha kuwa serikali ni lazima kwa namna moja ishiriki katika umiliki wa njia za uzalishaji mali na hata viwanda na hasa vile "kinategemewa na sehemu kubwa ya watu katika kupata riziki zao au kinachotegemewa na viwanda vingine"

Hili linanikumbusha jinsi gani serikali za nchi zilizoendelea zilipokurupuka na kuokoa mabenki yao, viwanda vya magari na hata sekta nyingine kwa sababu vilikuwa "too big to fail". Walichelewa kutambua kile ambacho AR lilitambua. Ni katika hili basi serikali duniani zimefikia mahali pa kutaifisha au kujipa hisa kwenye makampuni na kujiingiza katika sekta mbalimbali.

B. Njia kuu za uzalishaji mali ni zipi?
Naamini mapungufu makubwa ya AR ilikuwa ni katika upana wa maana ya "njia kuu za uzalishaji mali. Azimio la Arusha linataja kuwa njia KUU za uzalishaji mali ni "
ardhi, misitu, madini, maji, mafuta na nguvu za umeme; njia za habari, njia za usafirishaji; mabenki, na bima; biashara na nchi za kigeni na biashara za jumla; viwanda vya chuma, mashini, silaha, magari, simenti, mboleo; nguo". Hapa ndipo lilipokuwa tatizo. Ukiniuliza leo hii nitasema kuwa yapo maeneo yasiyozidi manne tu au matano ambayo serikali lazima isimamie na kuwa na utawala; ARDHI, NISHATI, MAJI, na MADINI. Lakini katika haya ningeweka kwa namna fulani AFYA NA ELIMU kama maeneo ambayo serikali yoyote duniani lazima iwe na maslahi rasmi ya kuwezesha sekta hizo kwani ni msingi mkubwa wa hayo maeneo manne.

Ningeyaacha mambo ya nguo, simenti, habari, usafiri (isipokuwa mambo ya usalama wake), mbolea, magari n.k kuwa mikononi mwa watu binafsi isipokuwa kuwa na usimamizi wa viwango, utaratibu, usalama, na taratibu mbalimbali. Katika ujamaa wa kileo (modern socialism) serikali inaingilia kati katika kumlinda mlaji na mzalishaji.

c. Kwa kiasi gani serikali ijihusishe?
Binafsi ninaamini kuna maeneo ambayo serikali (wananchi) ni lazima wawe na udhibiti wa mdau mkuu (major shareholder). Nayo ni maeneo hayo manne hapo juu aidha kwa kuwekeza wenyewe au kwa kuwa na strategic shares kama wanavyofanya UK kwenye BAE systems. Lakini wakati huo huo kuwa na mfumo ambao ungehakikisha kuwa wananchi bado wanapata umiliki katika makampuni mbalimbali na hivyo kujitengenezea utajiri.

Katika hili naamini kosa jingine la AR lilitokea. AR halikutoa nafasi kwa mtu wa kawaida kununua hisa kwenye makampuni ya umma. Hata leo hii ni bado tunahangaika sana. Binafsi naamini kabisa mashirika kama ATCL na TRL yangeuza hisa zake kwa umma na kuwekwa chini ya usimamizi wa wananchi moja kwa moja yangeweza kuokolewa bila kuwaremburia macho wawekezaji wa kigeni. Lakini watawala wanaogopa sana nguvu hii ya wananchi.

Katika ujamaa wa kisasa, wananchi wanashirikishwa katika umiliki wa uchumi wao siyo kwa "kutumia vyombo vya serikali na vyama vya ushirika" tu kama ilivyoanishwa katika AR bali kwa umiliki wa ununuzi, uundwaji wa bodi na usimamizi wa moja kwa moja wa mashirika hayo.

Hivyo, bado naamini roho ya AR bado iko hai na kama Mwalimu mwenyewe alivyotabiri kwa usahihi tukiliangalia tena AR tunaweza kubadilisha lugha hapa na pale lakini ile spirit yake bado inasimama katika ukweli na hatimaye tutalirudia.. naamini tuko mbioni kufanya hivyo.

Mwanakijiji:

Happy Xmas. Mafanikio ya Elimu, Afya, Maji na huduma zingine zilizotokea kipindi cha 1967-1980 yalikuwa sio matokeo ya Azimio la Arusha. Nchi zilizoendelea, bank ya dunia na mashirika mengine yalitoa mchango mkubwa katika mafanikio hayo.

Hata nchi ambazo hazikuwa na Azimio la Arusha na ambazo viongozi wao walitumia misaada kwa manufaa ya wananchi wao ziliendeleza sekta hizo.

Azimio la Arusha lilichukua viwanda, mashamba, mabenki na mambo mengine kuwa mikononi mwa umma. Viwanda, mashamba na mabenki haya kama yangeweza kutoa mapato ambayo yangewezenya serikali ku-sustain huduma za umma kweli ningekubaliana nawe.

Lakini kwa sababu mafanikio yalitokana na misaada ambayo mingi ilitoka katika nchi au vyombo vya KIBEPARI, mafanikio ya Azimio la Arusha ni MYTH tu.
 
MKJJ mwalimu alijua kuwa just by himself asingeweza kufanikwa,lakini kutokana na kwamba mkoloni hakuondoka kwa kupenda,mazingira ya kisiasa bado hayakuwa mazuri since mkoloni bado alkuwa na mamluki wake wenye kuwa "civilized" ambao mawazo yao yalionekana kama usaliti kwa utu wa mwafrika pamoja na utamaduni wake na uwezo wa kujiamulia mambo,kama mkoloni hakuacha mzingira "mema" kwa mwafrika,viongozi walioyaona hayo kama kina Lumumba,Kwameh,na mwalimu hawakuwa na mtaji zadi ya wananchi masikini na wasiokuwa na elimu zaidi ya dini za watawala,tamduni zao nk....

Na kama kweli unawapenda wananchi wako,basi cha kwanza ni elimu na uelewa wa mazingira,na pia kama mwalimu alivyotoa msisitizo kwenye kujenga mentality ya kujiamini na kujitegema,tatizo ambalo viongozi walioelimika ama civilized hawakuliona,ama walilifumbia mcho kwasabau ya ubinafsi...Mwalimu alikuwa hapambani na waafrika wenzake,bali mkoloni,na hata sasa bado ni mkoloni tunapambane naye,sema amepata support ya mamluki ambao walikuwepo toka mwanzo sema walibanwa na sias za mwalimu.

Ubepari ni "Utapeli" wa kimawazo,kwa mfano mashabiki wa ubepari wanasema serikali haina mamlaka juu ya uhuru wa biashara,na kwamba corporate iwe "huru" lakini ukiangalia kwa makini,kama serikali isipokuwa na influence,basi kuan vaccum na hapo mabepari ndio wanakuwa waamuzi wa issue za kitaifa na hivyo basi serikali siyo kwamba haipo,bali inakuwa kama kibaraka wa mabepari hao.

Na ndio maana Uchumi umefikia hapo ulipo,hata hivyo jitaihada zozoye za kuipa serikali nguvu ya udhbiti dhidi ya mabepari ambao wengi wanajali mali na pesa zaidi ya utu,zinapewa jina la socialism ama communism,ni majina ambayo yamejengewa fikra mbaya kwenye jamii ya mzungu kutokana na manipulation nk,corporate ama mabepari wanapokuwa wana run nchi,basi interest si lazima ziwe za kitaifa,licha ya kwamba zinapewa hadhi ya kitaifa,kwa mfano mafuta ya Bush kupewa sababu kama ugaidi nk.
Kuna mtu kaazisha thread na kudai tunahitaji "Mkombozi" Kamwe hatutawza kupata mkombozi,bali kiongozi tayechangia kwenye jitihada za uongozi,historia inatuonyrdha hviyo kwani haya wamerakani wana viongozi wengi lakini hawakubadili msingi ya ujenzi wa Taifa lao,walifanya marekebisho flani flani tu,no mater how the original idea was,ndio maana wamarekani wameweza kubadilisha mambo kidogo lakini wakiheshimu ideas za founders wao,hata zile za kibaguzi zilifanyiwa marekebisho taratibu.

Sisi Azimio tumelitupa moja kwa moja,halafu cha ajabu ni kwamba hata Azimo la Zanzibar sijawahi kuliona,zaidi ya hotuba ya Mwinyi ambaye na yeye alidai kuwa Azimio la Zanzibar alijabadilisha chochote kwenye azimio la Arusha zaidi a marekebisho ya hapa na pale,je hilo ni kweli?
Halafu baada ya wananchi kuhoji sana kuhusu mwlekeo wa Taifa,wakaanza kutupiana mpira,mwishowe Mkapa akaja akazidi kutoa maudhi na kutufanya wananchi "wajinga" kama anavyoamini(Tofauti kati yake na mwalimu wake ni kwamba mwalimu wake alijaribu kulitafutia "fufumbuzi" suala hilo kutokana na mapenzi yake kwa Taifa na wananchi kwa ujumla) LAKINI YEYE akaamuwa kuwatukana wananchi na kuiuza nchi.
Kam kuna mwenye nakala ya azimio la zanzibar ningefurahi kama angeliweka hapa.

Jmushi1:

Mkoloni aliondoka kwa kupenda. Mpaka kufikia 1950s alishaona kuendelea kuwepo kwake kulikuwa hakuna faida yoyote hile.

Uchumi wa Afrika ni 2% ya uchumi wa dunia. Hivyo kulikuwa hakuna sababu zozote za kiuchumi au kijamii za kubaki Afrika.
 
Jmushi1:

Mkoloni aliondoka kwa kupenda. Mpaka kufikia 1950s alishaona kuendelea kuwepo kwake kulikuwa hakuna faida yoyote hile.

Uchumi wa Afrika ni 2% ya uchumi wa dunia. Hivyo kulikuwa hakuna sababu zozote za kiuchumi au kijamii za kubaki Afrika.

Zakumi;Utakuwa umepotoka kama una amini mkoloni aliondoka kwa kupenda,naomba utoe ufafanuzi zaidi kuwa ni kivipi mkoloni aliondoka kwa kupenda.

Na wakati ukijibu hilo,ni muhimu pia uzingatie kuwa kulikuwa na wapigania uhuru,kwa maana kwamba kulikuwa na struggles kati ya freedom fighters dhidi ya mkoloni kwenye process ya kumwondoa....Na kwahiyo basi,minus freedom fighters,then tunaweza kuwa na "wakoloni walioondoka kwa kupenda"

Pia hizo faida unazodai kuwa zilikuwa zimekwisha ama hakuna ni zipi hizo?
Je si kweli kwamba bado walikuwa na interests zao kwenye makoloni,na basi wakajipanga ili kuweze kuendelea kunufaika bila ya wao ku physically occupy? Je nini maana ya neo colonialism?
 
Naona umeanza kubugis dhana za uliberali hasa ule msingi wake mkuu wa 'kulinda mali binafsi' za wateule wachache! Unaongea kana kwamba 'kujifanyia lolote' bila 'kuvunja sheria' za 'kiliberali' ni sahihi tu! Kama sheria inasema kima cha chini ni shilingi 1,000 na cha juu ni shilingi 1000,000 hakika nitamlipa mtumishi wangu 1,000 aendelee kufa na njaa ilhali milionea mimi nakunywa Soda ya shilingi 1,000 bila kuvunja sheria za nchi!

Sheria inapaswa kuwa sheria ya haki na usawa - haiwezekani kabisa wavuja jasho tuwaangalie tu wanyonya jasho mkilindwa na sheria onezi!

Companero,

Nalichangua Azimio kwa vitu viwili tuu, tunapozungumzia kipato na utajiri. Sizungumzii kumiliki njia kuu, maadili au lingine lile lililonenwa.

Nina sababu ya kulenga kwenye hivi vitu viwili kwa kuwa si swala la kanuni au sheria, bali ni hisia na kuridhika kwa watu kuona kuwa ni haki yake kulipwa mshahara mdogo, kwa kuwa akipata mshahara mkubwa ayakuwa mnyonyaji, kuwa ni haki na utu kuendelea kuwa katika hali ya umasikini, kutokana na kuwa akianza kuneemeka hataeleweka!

Ndiyo maana nikatoa hata hiyo mifano ya Biblia na kueleza kuwa mapokeo yetu kwa Azimio liliposema linapinga Ubepari, je lilikuwa linapinga Utajiri kwa mantikiya kupinga watu kuneemeka?

Nimeleta mifano ya Tabaka la viongozi kupewa nyumba, magari na huduma nyingine za ziada mahali fulani kwenye hoja moja, lakini Wananchi wa kawaida hawakupata huduma hizo, je huu haukuwa ubaguzi?

Sasa kama kila aliyena cheo cha namna fulani Tanzania alipewa nyumba ya kukaa, gari, na vikorombwezo vingine ambavyo tullivipa jina la marupupu, na hivyo mtu huyu kuweza kuinunua soda ya Shilingi 1000 na kumlipa Shamba boy 1000 huku mshahara wake ni Shilingi 5000, je hatujiulizi ni vipi mtu huyu alifanikiwa kujijenga kimaisha?

Nikilenga kwenye mishahara midogo, Watanzania tumedhulumiwa kwa muda mrefu kulipwa ujira halali. Hata leo hii tunaendelea kulipwa ujira uchwara, na si kutokana na mfumo mbovu wa uchumi, bali ni kutokana na kukosekana utashi wa kusema kuwa mishahara ya Watanzania walio wengi iwiane na gharama za maisha na hasa pale panapokuwa na tabaka lisiloneemeka wka kupewa marupurupu.

Nakumbuka kusikia hadithi fulani nikiwa mdogo ambapo mashirika na Taasisi yalitaka kuongeza mishahara ya Wafanyakazi wao, lakini Serikali ikaingilia kisiasa na kudai eti wafanyakazi wa mashirika hawastahili kulipwa zaidi ya Wabunge au Wanasiasa. Sasa labda hili liliwezekana kutokana na tafsiri potofu ya Siasa ya Ujamaa na Azimio la Arusha.

Lakini ukija leo hii, jiulize, Wanasiasa wameongeza mishahara yao marudufu na kujiongezea marupurupu tena makubwa mno, lakini mtu wa kawaida kabakia pale pale na anaridhika kwa kuwa alikwisha iva kiimani kuwa mishahara mikubwa ni ubwanyenye.

Ndio maana nasema, kulikuwa na mapokeo potofu kuhusu Utajiri na Vipato, kwa kuwa vimewafanya watu wadumae na kuridhika kifikra na kivitendo kuwa mahali walipo ndipo wanastahili na si vinginevyo!
 
Reverend.. vizuri kuleta hapa mada hii nami nitoe mchango wangu kidogo nikiwa mjamaa nisiyejuta. Naombe nichukue vifungu viwili ulivyonukuu na kuonesha tafsiri yako juu ya vifungu hiyo siyo sahihi.

Kwanza umedai hivi:



"Kama azimio"; kauli yako hii mchungaji inaonesha kuwa unalibebesha Azimio la Arusha mzigo wa lawama ya kwanini Tanzania ni maskini. Kwamba kama Azimio "lisingepiga vita" basi "tungekuwa tumepiga hatua ya kuondokana na umaskini". Sasa katika utafiti wa kisayansi tuna upande wa kile kinachojaribiwa na kile ambacho kinabakia kama kilivyo na hutumika kulinganisha.

Haya yote unayoyasema yanawezekana kabisa katika nchi ya kijamaa na si kinyume na mfumo wa kijamaa.

Naomba basi niangalie vifungu viwili ulivyonukuu:




Mzee Mwanakijiji,

Nafikiri nawe umeingia katika tope aliloingia Companero!

Ninacholaumu ni mapokeo potofu ya Azimio la Arusha kwa kuwangalia watu na mazingira.

Weye na mimi tumeshaliongelea hili jambo la kusema kuwa ni lazima tumbadilishe Mtanzania fikra zake asiendelee kujiona ni mnyonge au hawezi. Hili ndilo chimbuko la Umasikini na Unyonge.

Kama unakumbuka, tumeshajiuliza mimi na wewe mara kadhaa ni vipi Mpemba na Mchaga ukimpeleka Jangwani atafanikiwa, lakini wakazi asili wa hapo Jangwani wala hawatathubutu kujigusa na kuendelea kumshangaa Mpemba na Mchaga wanavyonawiri.

Mapokeo haya potofu si Wananchi pekee, bali hata kundi kubwa la Viongozi walilipokea Azimio kwa upotofu ama kwa makusudi au kutokana na upumbavu na ndio maana leo hii, unaweza kuona kauli za kuanzia Kikwete, Mkapa, Mwinyi na hata majuzi Chikawe, zikiashiria kuwa wao kama Viongozi, ama hawakulielewa Azimio au hawakuwa na uwezo au ni a ya kuliuza kwa usahihi kwa Wananchi ili kujenga nchi iliyo na uchumi imara.

Dont'e get me wrong, silaumu Azimio la Arusha kwa Umasikini wa Mtanzania leo, bali nahoji jinsi lilivyopokewa na jinsi lilivyojieleza kama lilileta kitendawili machoni mwa Wananchi na Watekelezaji na katika kufumbua kitendawili, tukafumbua visivyo.
 
Mwanakijiji:

Happy Xmas. Mafanikio ya Elimu, Afya, Maji na huduma zingine zilizotokea kipindi cha 1967-1980 yalikuwa sio matokeo ya Azimio la Arusha. Nchi zilizoendelea, bank ya dunia na mashirika mengine yalitoa mchango mkubwa katika mafanikio hayo.

Hili si kweli; mchango wao hauwezo kulinganishwa na juhudi za Watanzania wenyewe; IMF hawakujenga nyumba za matofali ya kuchoma na kuezeka kwa bati kule Mkongo, RUvuma katika operesheni ya "nyumba bora" Watanzania walifanya hivyo; Benki ya Dunia hawakuja kufundisha Elimu ya Watu wazima Watanzania wenyewe walifanya hivyo hadi kufikisha uwezo wa kusoma wa asilimia 90 (leo hii pamoja na misaada ya mashirika hayo hayo literacy level ni asilimia 70!);

Kilimo cha kujitegemea kilifanywa na Watanzania wenyewe; usafi, chakula bora, afya bora, kampeni za kilimo cha kisasa n.k kiliendeshwa na Watanzania wenyewe. Ndio kulikuwa na misaada lakini misaada hiyo haikusababisha Watanzania waamke na kujiletea maendeleo; ingekuwa misaada peke yake inatosha kufanya watu waamke basi Tanzania ya leo ingekuwa mbali sana katika kujitegemea.


Usipuuzie mchango wa azimio la arusha na roho ya kujitegema iliyokuja nayo.

Hata nchi ambazo hazikuwa na Azimio la Arusha na ambazo viongozi wao walitumia misaada kwa manufaa ya wananchi wao ziliendeleza sekta hizo.

Inabidi urudi na kusoma vizuri jinsi gani misaada ya kigeni iliingia Tanzania na mchango wake; Hili laweza kuwa ni somo la wakati mwingine lakini ukweli unabakia kuwa mwamko wa uhuru ulisababisha Watanzania kushirikiana zaidio na kufanya kazi kwa pamoja na kwa umoja na kujiletea maendeleo wao wenyewe. Nchi gani zilizopokea misaada na kuitumia kwa manufaa ya wananchi wao zilifikia kiwango cha Tanzania? nipe mifano angalau miwili tuilinganishe.


Azimio la Arusha lilichukua viwanda, mashamba, mabenki na mambo mengine kuwa mikononi mwa umma. Viwanda, mashamba na mabenki haya kama yangeweza kutoa mapato ambayo yangewezenya serikali ku-sustain huduma za umma kweli ningekubaliana nawe.

Hili ni rahisi kulisema hivyo lakini bila kuweka mambo ya kihistoria katika historia yake ni rahisi kupotosha. Uchumi wa dunia haukuwa mikononi mwa Tanzania kama vile leo hii tunavyoona kuwa licha ya sera ya kibepari tunayoifuata na misaada tunayopata bado hatuna uamuzi wa mwisho wa mazao ya mashamba, viwanda na juhudi zetu. Azimio la Arusha si la kulaumiwa kwa kutokupiga hatua za haraka za kiuchumi bila kuangalia hali ya kihistoria. Huwezi kuangalia mambo nje ya historia yake.

Lakini kwa sababu mafanikio yalitokana na misaada ambayo mingi ilitoka katika nchi au vyombo vya KIBEPARI, mafanikio ya Azimio la Arusha ni MYTH tu.

Hili si kweli; mwanzoni mwa uhuru hadi katikati ya miaka ya sabini hatukupokea misaada per capita kama tunavyopokea leo na kama nilivyoonesha hapo juu hakuna msaada wowote uliowafanya watu waamke na kujiletea maendeleo au kushiriki katika ujenzi wa taifa lao. JKT, Mashamba ya kijiji, hata kushinda njaa ya 1974 kwa kiasi kikubwa ilikuwa ni juhudi za viongozi na Watanzania wenyewe. Misaada yote haielezei mwamko wa kisiasa na kujituma uliokuwepo wakati huo. No sir haiwezi kuelezea.
 
Jmushi1:

Mkoloni aliondoka kwa kupenda. Mpaka kufikia 1950s alishaona kuendelea kuwepo kwake kulikuwa hakuna faida yoyote hile.

Uchumi wa Afrika ni 2% ya uchumi wa dunia. Hivyo kulikuwa hakuna sababu zozote za kiuchumi au kijamii za kubaki Afrika.

Ndugu yangu mkoloni aliondoka kweli? Hapana; mkoloni alibadilika tu jinsi gani anaendeleza utawala wa uchumi wa makoloni yake. Na hapana hakuondoka kwa kupenda kwani koloni lilikuwa zuri kwao. Unaposema uchumi wa Afrika ni 2% ya uchumi wa dunia unaangalia kwa takwimu za sasa lakini ndani ya miaka ile ya 40 na hamsini huko mchango wa Afrika katika uchumi na mafanikio ya nchi za kimagharibi ulikuwa mkubwa na wa maana. Usidhani hata kidogo kuwa wakoloni walipojikuta wanaachilia India, Ghana, n.k walikuwa wanacheka cheka na kufurahia kuondoka.

Ingekuwa hilo ni kweli kuwa uchumi wa Africa is irrelevant (as you imply) basi hawa wakoloni mamboleo wasingehangaika na Afrika at all.. Africa inabakia kama wealth reserve of the world na miaka inavyokwenda ndivyo wakoloni wanavyozidi kurudi na kuanza kudai haki "zao" tena na wakati mwingine hata kuanza kuzitetea kwa silaha.
 
Zakumi;Utakuwa umepotoka kama una amini mkoloni aliondoka kwa kupenda,naomba utoe ufafanuzi zaidi kuwa ni kivipi mkoloni aliondoka kwa kupenda.

Na wakati ukijibu hilo,ni muhimu pia uzingatie kuwa kulikuwa na wapigania uhuru,kwa maana kwamba kulikuwa na struggles kati ya freedom fighters dhidi ya mkoloni kwenye process ya kumwondoa....Na kwahiyo basi,minus freedom fighters,then tunaweza kuwa na "wakoloni walioondoka kwa kupenda"

Pia hizo faida unazodai kuwa zilikuwa zimekwisha ama hakuna ni zipi hizo?
Je si kweli kwamba bado walikuwa na interests zao kwenye makoloni,na basi wakajipanga ili kuweze kuendelea kunufaika bila ya wao ku physically occupy? Je nini maana ya neo colonialism?

Jmushi1:

Historia inaandikwa na mshindi. Mtazamo wako ni wa historia kama ilivyoandikwa na wenzetu baada ya kupata uhuru.

Lakini ukiwa open-minded na kuangalia sources zingine, ukweli wa mambo utaonyesha kuwa nchi chache sana za kiAfrika zilizokuwa na faida za kiuchumi kwa watawala kama makoloni.

Na katika nchi hizo chache Tanzania au nchi za Afrika mashariki na ya kati hazipo. Hivyo kupigania uhuru kwa nchi hizi hakukuwa na maana kuwa wakoloni walikuwa wanapata faida.

Self-determination ni sababu kubwa ya watu kupigania uhuru. Kuwalipisha watu kodi za maendeleo kwa nguvu ilikuwa sababu kubwa ya kudai uhuru.

Merchants au mabepari walizisukuma nchi zao kutafuta makoloni. Lakini watu hawa walikuwa ni sehemu ndogo sana ya idadi ya watu katika nchi zao. Lakini influence ya watu hawa ilianza kupungua pale vyama vya kijamaa na vya wafanyakazi vilipoanza kupamba moto. Hivyo mijadala ya kupatia uhuru makoloni ilipamba moto.

Pamoja na msukumo wa ndani wa kutoa uhuru kwa makoloni, vita vya pili vya dunia viliwafanya waMarekani waliwaambie nchi za Ulaya kuwa lazima watoe uhuru kwa makoloni yao.

Wangetupa uhuru mapema lakini kukawa na matatizo. Nchi nyingi zilikuwa zimeundwa na makabila ambayo hayajawahi kuishi pamoja na mengine yalikuwa na uhasama baina yao. Vilevile kulikuwa hakuna wenyeji wenye uzoefu wa kuongoza taifa huru (technocrats). Na vilevile kulikuwa na walowezi wazungu waliokuwa katika nchi hizi ambao walihofia utawala wa wazawa.
 
Back
Top Bottom