Azimio Jipya
JF-Expert Member
- Nov 27, 2007
- 3,362
- 1,130
... Kujilimbikizia mali kwa sababu ya kujipatia mamlaka au hadhi si mawazo ya Ujamaa.
....Katika nchi ya namna hiyo mali inawaharibu mioyo wale wanaoipata.
....Mali inawapa hamu ya kuishi kwa raha zaidi kuliko wenzao, kuvaa mavazi bora zaidi, na kuwazidi kwa kila njia.
....Wanaanza kutamani kupanda ngazi juu zaidi iwezekanavyo kuwashinda wenzao.
....Ili waifaidi mali yao, lazima tofauti baina ya starehe zao na shida za wenzao nchini zionekane: na hivyo basi huanza mashindano ya kutaka kutajirika na jambo hilo ni kinyume cha Ujamaa.
Source? ... https://www.jamiiforums.com/attachment.php?attachmentid=44705&d=1325749616
....Katika nchi ya namna hiyo mali inawaharibu mioyo wale wanaoipata.
....Mali inawapa hamu ya kuishi kwa raha zaidi kuliko wenzao, kuvaa mavazi bora zaidi, na kuwazidi kwa kila njia.
....Wanaanza kutamani kupanda ngazi juu zaidi iwezekanavyo kuwashinda wenzao.
....Ili waifaidi mali yao, lazima tofauti baina ya starehe zao na shida za wenzao nchini zionekane: na hivyo basi huanza mashindano ya kutaka kutajirika na jambo hilo ni kinyume cha Ujamaa.
Source? ... https://www.jamiiforums.com/attachment.php?attachmentid=44705&d=1325749616