KHM 1995
JF-Expert Member
- Sep 28, 2020
- 326
- 454
Siasa, Dini, harakati za maisha, ni vigumu sana kuvitenganisha.
Siasa na dini, hivi ni vitu viwili tofauti lakini viko katika package moja, ni ukweluliomc mchungu siasa na dini zikitumika vibaya mpasuko mkubwa wa kitaifa utatokea, naomba niachane na hapa, naomba nizungumzie mienendo ya Siasa ya taifa la Tanzania
Ukweli uliomchungu siasa ya nchi hii imejaa usaliti, unafiki, chuki, majivuno, ujinga, wehu, upumbafu, ubinafsi na kushindwa kutunza akiba ya maneno
Muda ni mwalimu mzuri wa kila tukio.
Itaendelea.
Siasa na dini, hivi ni vitu viwili tofauti lakini viko katika package moja, ni ukweluliomc mchungu siasa na dini zikitumika vibaya mpasuko mkubwa wa kitaifa utatokea, naomba niachane na hapa, naomba nizungumzie mienendo ya Siasa ya taifa la Tanzania
Ukweli uliomchungu siasa ya nchi hii imejaa usaliti, unafiki, chuki, majivuno, ujinga, wehu, upumbafu, ubinafsi na kushindwa kutunza akiba ya maneno
Muda ni mwalimu mzuri wa kila tukio.
Itaendelea.