Udhaifu au kasoro ya mwenzi wa ndoa usiovumilika

Mtokambali

JF-Expert Member
Nov 1, 2010
216
91
Hebu tuwe wawazi wana jamvi wenzangu. Je kuna tabia gani au kasoro yoyote aliyonayo mwenzio wa ndoa uliyenae ambayo kama ungegundua kabla hamjaoana basi usingekubali kufunga pingu na kwa sasa unavumilia tu kwa vile ni mke/mme. Mfano mimi naanza,wa kwangu huyu ni muongo. Yaani anapenda kuongea lile ambalo anahisi mtu au watu alionao muda huo wangependa kusikia. Atamplease mtu kwa uongo hata ule wa hatari wenye madhara. Na akiongea na wewe 50% ni uongo!
 
Aisee. Kazi sana, pole. Wa kwangu ni mtumishi kanisa la jf. Yaani masaa yote yuko kwa pc, hadi hana small house.
Shahidi: Madame B
 
Last edited by a moderator:
Aisee. Kazi sana, pole. Wa kwangu ni mtumishi kanisa la jf. Yaani masaa yote yuko kwa pc, hadi hana small house.
Shahidi: Madame B

Haahahahaaa, umenichekesha. Basi itabidi uishukuru Jf na mitandao inayo mkeep bize hadi anakosa muda wa kuwa na small house....ni bora kumuona around kwenye pc kuliko akilowea kwa nyumba ndogo aise
 
Last edited by a moderator:
Wa kwangu msahaurifu waweza fikili anapuuzia vitu huwa inaniboa sana hii tabia.Na nyingine kuwa hana bujeti japokuwa sio mtu wa starehe yaani anaweza akanunua li kitu ambalo halina mantic muda huo huo kuna kitu cha msingi tumepanga kununua yaani MAHUSIANO HOMA TUPU.
 
Piga ua galagaza - hata kama kuna issue ya muhimu nyumbani - Yeye na mambo ya kanisani! Oh! mara kikao cha wadhamini wa kwaya; oh niko zamu ya usafi kanisani, oh kikao cha wazee wa kanisa - yaani kero tupu
 
Ulimfahamu muda gani kabla ya kuoana nae? Wa kwangu sina tatizo nae, I knew him inside out before marrying him.






Hebu tuwe wawazi wana jamvi wenzangu. Je kuna tabia gani au kasoro yoyote aliyonayo mwenzio wa ndoa uliyenae ambayo kama ungegundua kabla hamjaoana basi usingekubali kufunga pingu na kwa sasa unavumilia tu kwa vile ni mke/mme. Mfano mimi naanza,wa kwangu huyu ni muongo. Yaani anapenda kuongea lile ambalo anahisi mtu au watu alionao muda huo wangependa kusikia. Atamplease mtu kwa uongo hata ule wa hatari wenye madhara. Na akiongea na wewe 50% ni uongo!
 
Kuna vitu vingine ambavyo unaweza kutofikiria sana, yaani haimaanishi najuta kuolewa nae. Sio kama uongo, lakini vitu vinavyoniudhi ni kutafuna kwa sauti! Yaani, nikisikia chakula kinavosagwa mwili wote unafreeze na inabidi ni focus kuitune out! Maybe I'm weird, but I can't stand that sh*t.



Hebu tuwe wawazi wana jamvi wenzangu. Je kuna tabia gani au kasoro yoyote aliyonayo mwenzio wa ndoa uliyenae ambayo kama ungegundua kabla hamjaoana basi usingekubali kufunga pingu na kwa sasa unavumilia tu kwa vile ni mke/mme. Mfano mimi naanza,wa kwangu huyu ni muongo. Yaani anapenda kuongea lile ambalo anahisi mtu au watu alionao muda huo wangependa kusikia. Atamplease mtu kwa uongo hata ule wa hatari wenye madhara. Na akiongea na wewe 50% ni uongo!
 
Hebu tuwe wawazi wana jamvi wenzangu. Je kuna tabia gani au kasoro yoyote aliyonayo mwenzio wa ndoa uliyenae ambayo kama ungegundua kabla hamjaoana basi usingekubali kufunga pingu na kwa sasa unavumilia tu kwa vile ni mke/mme. Mfano mimi naanza,wa kwangu huyu ni muongo. Yaani anapenda kuongea lile ambalo anahisi mtu au watu alionao muda huo wangependa kusikia. Atamplease mtu kwa uongo hata ule wa hatari wenye madhara. Na akiongea na wewe 50% ni uongo!

hii ni kwa wanandoa tu?? au hata mpenzi hahahaa maana mmejipendelea married couples
 
wanawake walio wengi siku hizi ni walevi wa kutupwaaaa....sijui kwa nini!!!

drunk%20lady%20woman%20passed%20out.jpg
 
Wanaagu anapenda kusema uongo na kusingizia jamani anaweza kukuzushia maneno balaa.na anapenda tendo la ndoa kila mda ukimnyima siku mbili atasingizia mwezi mzima basi ni makelele mtaa mzima utasikia.alafu hela za matumizi ya home adi umukwide kwanza.
 
Wa kwangu msahaurifu waweza fikili anapuuzia vitu huwa inaniboa sana hii tabia.Na nyingine kuwa hana bujeti japokuwa sio mtu wa starehe yaani anaweza akanunua li kitu ambalo halina mantic muda huo huo kuna kitu cha msingi tumepanga kununua yaani MAHUSIANO HOMA TUPU.

tena homa kali!
 

Similar Discussions

5 Reactions
Reply
Back
Top Bottom