Nilidhani ni mimi tu mwenye issues na kutafuna kwa sauti!!!! Pole ila tupo wengi hapoKuna vitu vingine ambavyo unaweza kutofikiria sana, yaani haimaanishi najuta kuolewa nae. Sio kama uongo, lakini vitu vinavyoniudhi ni kutafuna kwa sauti! Yaani, nikisikia chakula kinavosagwa mwili wote unafreeze na inabidi ni focus kuitune out! Maybe I'm weird, but I can't stand that sh*t.