Mtokambali
JF-Expert Member
- Nov 1, 2010
- 216
- 91
- Thread starter
- #21
na akiendelea kukubania, ndude zenu zitapotea kabisaa
sosi: law of use and disuse
hahahahaaaa! Mbavu zangu!
na akiendelea kukubania, ndude zenu zitapotea kabisaa
sosi: law of use and disuse
na akiendelea kukubania, ndude zenu zitapotea kabisaa
sosi: law of use and disuse
unashauri nini sasa mkuu
hii ni kwa wanandoa tu?? au hata mpenzi hahahaa maana mmejipendelea married couples
Kuna vitu vingine ambavyo unaweza kutofikiria sana, yaani haimaanishi najuta kuolewa nae. Sio kama uongo, lakini vitu vinavyoniudhi ni kutafuna kwa sauti! Yaani, nikisikia chakula kinavosagwa mwili wote unafreeze na inabidi ni focus kuitune out! Maybe I'm weird, but I can't stand that sh*t.
Huyu anastahili pongezi,maana hali ya uchumi ya sasa inahitaji belt tighteningwakwangu kila saa huwa anapenda kukomba masufuria
Huyu anastahili pongezi,maana hali ya uchumi ya sasa inahitaji belt tightening
wanawake walio wengi siku hizi ni walevi wa kutupwaaaa....sijui kwa nini!!!
Kuna vitu vingine ambavyo unaweza kutofikiria sana, yaani haimaanishi najuta kuolewa nae. Sio kama uongo, lakini vitu vinavyoniudhi ni kutafuna kwa sauti! Yaani, nikisikia chakula kinavosagwa mwili wote unafreeze na inabidi ni focus kuitune out! Maybe I'm weird, but I can't stand that sh*t.
Haahahahaaa, umenichekesha. Basi itabidi uishukuru Jf na mitandao inayo mkeep bize hadi anakosa muda wa kuwa na small house....ni bora kumuona around kwenye pc kuliko akilowea kwa nyumba ndogo aise
Wanaagu anapenda kusema uongo na kusingizia jamani anaweza kukuzushia maneno balaa.na anapenda tendo la ndoa kila mda ukimnyima siku mbili atasingizia mwezi mzima basi ni makelele mtaa mzima utasikia.alafu hela za matumizi ya home adi umukwide kwanza.