UDASA Wagomea JAKAYA Kutunukiwa PHD ya HESHIMA

Si useme tu aliyekataa ni Dr Kitila Mkumbo mshauri wa Chadema na makamu mwenyekiti wa UDASA!
 
Sina uhakika sana UDSM wanatumia vigezo gani kutoa hiyo PHD lakini kwa mtazamo wangu ni kwamba:
Walitakiwa waangalie malengo yake wakati anaingia madarakani [yaani waangalie manifesto ya chama chake]. kisha waangalie ametekeleza mangapi na mangapi ameshindwa. baada ya hapo waangeangalia amelinda vipi katiba ya nchi ndani na nje kama mtendaji mkuu wa taifa. Ukiangalia kwenye hiyo mipaka ndipo utapata uhalali na uharamu wa hiyo PHD. Kwa maoni yangu Professor Ibrahim lipumba na Dr. Wilbroad Slaa ndiyo wangepata tuzo za aina hiyo kwa haya yafuatayo:
1. Lipumba:- Alifanikisha kujenga dhana na hoja zilizopelekea kufutwa kwa kodi ya kichwa ingawa ccm waliiteka hoja yake.
2. Dr. Slaaa:- Amefanikiwa kujenga chama cha siasa bila kuathiri umaarufu wa mtu mmoja mmoja [hivi leo mtu yeyote aweza kugombea kupitia chadema bila kuangalia umaarufu wake na akakisumbua chama tawala] Pia ameweza kukuza hamasa miongoni mwa watz


Katika kuadhimisha miaka 50 Ya Uhuru wa Tanganyika , utawala na uongozi wa Chuo Kikuu cha Dar es salaam umepanga kumtunuku Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mh. Jakaya Mrisho Kikwete, mzaliwa wa Msoga Mkoa wa Pwani Shahada ya Uzamivu/PHD ya Heshima.

Sasa katika hali isiyotabilrika wasomi wa chuo hicho kupitia UDASA wamekua wakigomea kutunukiwa kwa huyu bwana kwa madai kuwa hastahili kupewa Heshima hiyo kwakua hakuna la maana alilolifanya kustahili Tuzo na hakika wametoa wito kwa Utawala wa chuo kujitenga na propaganda za ajabu ili tu kuupumbaza Umma kuwa anakubalika na kuheshimika sana miongoni mwa wasomi katika Tanzania hii.


(.Note..................................habari hii nimeipata pale ofisi za UDASA kwa Mkufunzi aliegoma kunitajia jina.)
 
Katibu wa UDASA yumo humu JF, tusubiri atujulishe hali ya huko ndani
 
Wakati TZ wanafyatua PHD holders, wengine wanawaandaaa
kazi zao zinaonekana na zimethibitishwa
inawezekana JK anapewa ya kusafiri nje ya nchi maana anaonekana amevunja rekodi


Mkuu labda tumuulize Mkandara atupatie basis za kumpatia hiyo PHD. Kama vigezo ni kama ifuatavayo basi apewe

1.Mwassisi ugawaji wa madini yetu kwa Anglo Ashanti na Barrick na kugeuka kumsakizia mtangulizi wake Mkapa
2.Mwasisi wa ubaguzi kati ya wanamtandao na wasio wanamtandao
3. Rais aishiye kufanya maamuzi kwa kusoma executive summary kuliko ripoti apewazo
4.mdini na mbaguzi wa dini
5.Anayejipendekeza ili aonekane anajua kuliko waliomtangulia
6.Muuaji wa strategies za waliomtangulia
7. Mwasisi wa shule zinazoitwa sekondari kwa majina
 
Huyu jamaa angekuwa amepunguza au kuondoa kabisa matatizo yafuatayo ningekubaliana na hii idea:

1. Umeme
2. Kuendeleza elimu
3. Kuboresha hali za maisha ya watanzania
4. Kupunguza magonjwa kama malaria, ukimwi n.k. Nadhani watu wa zanzibar wangepewa hii heshima kwa kupunguza malaria
5. Kuondoa au kupunguza tatizo la maji
6. Kuboresha kilimo
7. n,k

Kwasababu naona mambo yote hapo juu yanazidi kuwa katika halli mbaya.
 
Kama kuna habar hii,,,,mjue kabisa hata UDASA wakatae jamaa atapewa,,,,,,,siku zote udasa hawampen mkandala,,,kuna msuguano sana lakin MKANDALA ANALIPA FADHWILA WADAU,,,,,TUSUBIRI
 
Katika kuadhimisha miaka 50 Ya Uhuru wa Tanganyika , utawala na uongozi wa Chuo Kikuu cha Dar es salaam umepanga kumtunuku Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mh. Jakaya Mrisho Kikwete, mzaliwa wa Msoga Mkoa wa Pwani Shahada ya Uzamivu/PHD ya Heshima.

Sasa katika hali isiyotabilrika wasomi wa chuo hicho kupitia UDASA wamekua wakigomea kutunukiwa kwa huyu bwana kwa madai kuwa hastahili kupewa Heshima hiyo kwakua hakuna la maana alilolifanya kustahili Tuzo na hakika wametoa wito kwa Utawala wa chuo kujitenga na propaganda za ajabu ili tu kuupumbaza Umma kuwa anakubalika na kuheshimika sana miongoni mwa wasomi katika Tanzania hii.


(.Note..................................habari hii nimeipata pale ofisi za UDASA kwa Mkufunzi aliegoma kunitajia jina.)

Hafai kupewa hiyo Tuzo.
 
Kazi moja tu, wanafunzi vyuo vikuu vyote hapa nchini washirikiane na wenzao katika kupinga TUNUKU hiyo, ikiwezekana waitishe maandamano nchi nzima. Ikiwa wakufunzi watang'ang'ania na azima yao hiyo Watanzania wote tunasusia sherehe hizo.
 
Maana ya shule/elimu inaendelea kupotea kwa kasi. c tu kwa kuwa na shule nyingi (za kata) zisizo walimu, vifaa vya kufundishia na kusomea bali kwa kuanza kugawa gawa shahada hovyo namna hii! ndo yale yale ya kuvisha watoto wa nursery majoho
 
Kazi moja tu, wanafunzi vyuo vikuu vyote hapa nchini washirikiane na wenzao katika kupinga TUNUKU hiyo, ikiwezekana waitishe maandamano nchi nzima. Ikiwa wakufunzi watang'ang'ania na azima yao hiyo Watanzania wote tunasusia sherehe hizo.
Kwa taarifa yenu PhD hizi za heshima zinaandaliwa kwa viongozi wakuu wote wa kisiasa waliosoma pale UDSM akina muuaji Museveni, JS Warioba, Jakaya Kikwete,......Hawa wanaonekana ni sehemu ya mafanikio ya chuo hiki kwa miaka 50 iliyopita!
 
..Hawa wafuatao ndio so far wamewahi kutunukiwa Shahada za Heshima za Chuo Kikuu cha Dar es Salaam





S/N
NAME
DEGREE
DATE/YEAR
Degrees of the University E. A (Dar es salaam)

1
Prof. Karl Worth Bigelow
Doctor of Literature(honoris causa)
1970
2
Hon. Solomon Nkya Eliufoo
Doctor of Laws(honoris causa)
1970
3
Edward Walter Russell
Doctor of Science(honoris causa)
1970

Degrees Awarded by UDSM
4
Hon. Justine Philip Telford
Doctor of Laws(LL.D)
1973
5
Hon. Abdulkarim Yusufali Alibair Karimjee
Doctor of Laws(LL.D)
1973
6
Hon. Aboud Jumbe Mwinyi
Doctor of Laws(LL.D)
1976
7
Hon. Adam Sapi Mkwawa
Doctor of Laws(LL.D)
1980
8
Hon. Amir H Jamal
Doctor of Literature(D. Litt)
1980
9
Dr. W K Chagula
Doctor of Science(honoris causa)
1981
10
Dr. Basil Risbridger Davidson
Doctor of Literature(D. Litt)
1985
11
Mwalimu Julius Kambarage Nyerere
Doctor of Literature(D. Litt)
1986
12
Dr. G .L Monekosso
Honorary Doctor Of Science(honoris causa)
1989
13
Prof. Tormod Forland
Honorary Doctor Of Science(honoris causa)
1990
14
Ambassador Amon James Nsekela
Doctor of Literature(D. Litt)
1990
15
Professor Dr. Ir.Godfried D.Vogels
Honorary Doctor Of Science(honoris causa)
1998
16
Ambassador J.V Mwapachu
Doctor of Literature(honoris causa)
2005
17
Hon B.W Mkapa
Doctor of Literature(honoris causa)
2006
18
Prof. Sven Erick Jorgensen
Doctor of Science(honoris causa)
2007
 
Katika kuadhimisha miaka 50 Ya Uhuru wa Tanganyika , utawala na uongozi wa Chuo Kikuu cha Dar es salaam umepanga kumtunuku Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mh. Jakaya Mrisho Kikwete, mzaliwa wa Msoga Mkoa wa Pwani Shahada ya Uzamivu/PHD ya Heshima.

Sasa katika hali isiyotabilrika wasomi wa chuo hicho kupitia UDASA wamekua wakigomea kutunukiwa kwa huyu bwana kwa madai kuwa hastahili kupewa Heshima hiyo kwakua hakuna la maana alilolifanya kustahili Tuzo na hakika wametoa wito kwa Utawala wa chuo kujitenga na propaganda za ajabu ili tu kuupumbaza Umma kuwa anakubalika na kuheshimika sana miongoni mwa wasomi katika Tanzania hii.


(.Note..................................habari hii nimeipata pale ofisi za UDASA kwa Mkufunzi aliegoma kunitajia jina.)
Invisible alinishauri nisitukane jukwaani, kwa hili Jk kutunukiwa PHD naomba nisichangie maana nimechoka na BAN
 
..you can see Mtangulizi wa Kikwete, Rais Mstaafu Mkapa nae yupo.
 
Afanye nini jk ikiwa nchi imemshinda! kilichobaki ni kujaribu kujenga cheap popularity kwa stahili hiyo.....uchumi vululu vululu...siasa 'uchwara'...maadili ya jamii ndiyo hivyo tena...shule zimemshinda......hawezi kutafuta umaarufu huko kwani ni kugumu...amefika mwisho wa kuwaza. udsm waache u-shoga huo.
 
Invisible alinishauri nisitukane jukwaani, kwa hili Jk kutunukiwa PHD naomba nisichangie maana nimechoka na BAN

Avatar yako inanifanya nicheke

avatar51954_1.gif
 
Back
Top Bottom