UNIVERSITY OF DAR ES SALAAM
[FONT=Times New Roman,Times New Roman][FONT=Times New Roman,Times New Roman]Academic Staff Assembly
[/FONT][/FONT][FONT=Times New Roman,Times New Roman][FONT=Times New Roman,Times New Roman]Mwaliko kwenye Kongamano la Chuo Kikuu cha Dar es Salaam 8/12/2013
[/FONT][/FONT][FONT=Times New Roman,Times New Roman][FONT=Times New Roman,Times New Roman]Kwa niaba ya Uongozi wa Jumuiya ya Wanataaluma wa Chuo Kikuu cha Dar es Salaam, napenda kuwakaribisha watanzania wote wenye mapenzi mema kwenye kongamano la kujadili mchango wa rasilimali zetu kwa maendeleo ya taifa letu. Kongamano hilo litafanyika tarehe 8 Desemba 2013 ndani ya ukumbi wa Nkrumah wa Chuo Kikuu cha Dar es Salaam kuanzia saa 7.30 mchana hadi saa 12 jioni. Kongamano hilo litarushwa moja kwa moja na ITV na Radio one.
Mada kuu ya kongamano hilo ni, [/FONT][/FONT][FONT=Times New Roman,Times New Roman][FONT=Times New Roman,Times New Roman]"Mchango wa Rasilimali zetu katika maendeleo ya Taifa na Nafasi ya Mtanzania Kumiliki Rasilimali hizo"[/FONT][/FONT][FONT=Times New Roman,Times New Roman][FONT=Times New Roman,Times New Roman].
Tunapenda kuchukua fursa hii kwa heshima kubwa kuwaomba wote wenye uchungu na rasilimali zetu na wadau wote wenye uelewa mpana kuhusiana na masuala ya usimamizi wa rasilimali kufika ukumbini ili wawe miongoni mwa watanzania wenye nafasi kubwa ya kutoa mchango wao mkubwa katika kutoa elimu kwa watanzania juu ya nafasi yao kama watanzania katika kumiliki rasilimali zetu na mchango wake katika maendeleo ya taifa letu.
Tutanguliza shukrani zetu za dhati kwa ushiriki wenu kwenye kongamano hili.
Ndimi
Wazungumzaji Wakuu Watakuwa:
1. Prof Mng'ong'o wa IRA-UDSM
2. Prof Kauzeni wa IRA -UDSM
Wazungumzaji Waalikwa:
1. Dr Reginald Mengi - Mwenyekiti TPSF
2. John Mnyika- Waziri Kivuli wa Nishati na Madini
3. Prof Muhongo Waziri wa Nishati na Madini atakuwa mgeni rasmi
Mr. Faraja Kristomus
[/FONT][/FONT][FONT=Times New Roman,Times New Roman][FONT=Times New Roman,Times New Roman](Katibu UDASA)
[/FONT][/FONT][FONT=Times New Roman,Times New Roman][FONT=Times New Roman,Times New Roman]0787525396 / 0717086135
[/FONT][/FONT][FONT=Times New Roman,Times New Roman][FONT=Times New Roman,Times New Roman](2/12/2013)
[/FONT][/FONT]
[FONT=Times New Roman,Times New Roman][FONT=Times New Roman,Times New Roman]Academic Staff Assembly
[/FONT][/FONT][FONT=Times New Roman,Times New Roman][FONT=Times New Roman,Times New Roman]Mwaliko kwenye Kongamano la Chuo Kikuu cha Dar es Salaam 8/12/2013
[/FONT][/FONT][FONT=Times New Roman,Times New Roman][FONT=Times New Roman,Times New Roman]Kwa niaba ya Uongozi wa Jumuiya ya Wanataaluma wa Chuo Kikuu cha Dar es Salaam, napenda kuwakaribisha watanzania wote wenye mapenzi mema kwenye kongamano la kujadili mchango wa rasilimali zetu kwa maendeleo ya taifa letu. Kongamano hilo litafanyika tarehe 8 Desemba 2013 ndani ya ukumbi wa Nkrumah wa Chuo Kikuu cha Dar es Salaam kuanzia saa 7.30 mchana hadi saa 12 jioni. Kongamano hilo litarushwa moja kwa moja na ITV na Radio one.
Mada kuu ya kongamano hilo ni, [/FONT][/FONT][FONT=Times New Roman,Times New Roman][FONT=Times New Roman,Times New Roman]"Mchango wa Rasilimali zetu katika maendeleo ya Taifa na Nafasi ya Mtanzania Kumiliki Rasilimali hizo"[/FONT][/FONT][FONT=Times New Roman,Times New Roman][FONT=Times New Roman,Times New Roman].
Tunapenda kuchukua fursa hii kwa heshima kubwa kuwaomba wote wenye uchungu na rasilimali zetu na wadau wote wenye uelewa mpana kuhusiana na masuala ya usimamizi wa rasilimali kufika ukumbini ili wawe miongoni mwa watanzania wenye nafasi kubwa ya kutoa mchango wao mkubwa katika kutoa elimu kwa watanzania juu ya nafasi yao kama watanzania katika kumiliki rasilimali zetu na mchango wake katika maendeleo ya taifa letu.
Tutanguliza shukrani zetu za dhati kwa ushiriki wenu kwenye kongamano hili.
Ndimi
Wazungumzaji Wakuu Watakuwa:
1. Prof Mng'ong'o wa IRA-UDSM
2. Prof Kauzeni wa IRA -UDSM
Wazungumzaji Waalikwa:
1. Dr Reginald Mengi - Mwenyekiti TPSF
2. John Mnyika- Waziri Kivuli wa Nishati na Madini
3. Prof Muhongo Waziri wa Nishati na Madini atakuwa mgeni rasmi
Mr. Faraja Kristomus
[/FONT][/FONT][FONT=Times New Roman,Times New Roman][FONT=Times New Roman,Times New Roman](Katibu UDASA)
[/FONT][/FONT][FONT=Times New Roman,Times New Roman][FONT=Times New Roman,Times New Roman]0787525396 / 0717086135
[/FONT][/FONT][FONT=Times New Roman,Times New Roman][FONT=Times New Roman,Times New Roman](2/12/2013)
[/FONT][/FONT]