Mtemi mpambalioto
JF-Expert Member
- Aug 23, 2015
- 3,261
- 7,395
Tumekuwa tunapgwa danadana kuhusu uletaji wa kadi zingne kwa ajili ya mwendokasi
Habari kutoka insider zinasema wakileta kadi wanakosa mapato ya watu wa MBEZI kwenda mjini kwa kuwa mtu akitumia kadi analipa 800 ila asiye na kadi analipa 1,050
Huu uhuni kuna watu tena itakuwa ndani ya serikali wanafaidika na kinachofanywa!
Kwa kweli mateso ya kupanga folen kupata vikaratasi ni makubwa na wananchi wanateseka sana! sielewi DART ambao ndo serikali wanafanya kazi gani zaid ya kula hela za bure!
Majipu mengne yapo usoni sijui kwa nin yanafumbiwa macho
Habari kutoka insider zinasema wakileta kadi wanakosa mapato ya watu wa MBEZI kwenda mjini kwa kuwa mtu akitumia kadi analipa 800 ila asiye na kadi analipa 1,050
Huu uhuni kuna watu tena itakuwa ndani ya serikali wanafaidika na kinachofanywa!
Kwa kweli mateso ya kupanga folen kupata vikaratasi ni makubwa na wananchi wanateseka sana! sielewi DART ambao ndo serikali wanafanya kazi gani zaid ya kula hela za bure!
Majipu mengne yapo usoni sijui kwa nin yanafumbiwa macho