The Assassin
JF-Expert Member
- Oct 30, 2018
- 4,355
- 17,320
- Thread starter
- #41
Mkuu, kama ulivyosema mwenyewe gas ni more expensive, reliable ila sustainability yake iko quetionable kwa sababu hiyo gesi sio renewable energy, tukianza kuitumia extensively and exclusively miaka 10 tu inaisha, halafu tunaenda wapi?Mkuu Hakimu Mfawidhi , kwanza asante sana kwa facts ulizoweka humu, umetuelimisha sana.
Kwa vile heading ni udalali wa Zitto, na wewe ni mtu wa facts, nilitegemea una facts za jinsi Zitto anavyo dalalia hiyo gesi.
Hakuna mtu yoyote anayebisha kuwa umeme wa Hydro power ndio the cheapest but the most unreliable and not sustainable kutokana na kutegemea mvua, na kufuatia mabadiliko ya tabia nchi, umeme wa maji sio umeme wa uhakika.
Umeme nyingine zote ni more expensive but more reliable and sustainable.
Kwa vile Tanzania tuna gesi bwerere ya kutupatia umeme wa uhakika, sikuona ni kwanini twende kwenye unreliable source na huku we have reliable sources?.
P
Hiyo investment tunayokua tumeweka hapo ya trillions of money tunaipeleka wapi?. Gas inaweza kutupatia umeme wa uhakika kwa muda flani ila sio na sio kwa muda mrefu. Maji yanaweza kutupatia umeme kwa muda mrefu zaidi, hakuna siku maji yataisha Duniani ama mvua haitanyesha mwaka ama miama 2, haipo. Maji yanawwza kusababisha upungufu wa umeme miezi 2, 3, 4 ama 6 lakini sio muda wote
Halafu tunapozungumzia mabadiliko ya tabia ya nchi huku kwetu tunaelekea upande wa kukosa mvua tu, sio kweli. Mabadiliko yanaweza pia kupelekea mvua zisizo na kikomo hivyo kupelekea maji ya kutosha kwa muda mrefu lakini pia kwa hydro tunakua tumedhibiti mafuriko hayo maeneo ambayo tumejenga plants hizo.
Kumbuka Mtera ilijengwa kuzuia mafuriko na kisha ndio wakaweka plant ya umeme, mtera umewahi kusikia mafuriko tena?
Mkuu udalali wa zitto uko wazi, huhitaji jicho la tatu kuona udalali wa Zitto uko wapi. It is pretty obvious Zitto anapigia debe gesi kwa sababu zilizo wazi kwamba ana maslahi binafsi nayo.