natamani kusomea udaktari wa mifugo Veternary Medicine, najua chuo ni kimoja tu hapa kwetu nifahamisheni changamoto nyingine na matumaini kama yapo kuhusu kada hii;
<br />We dogo pga hyo k2,i hv my brother aliisoma hyo pale sua,leo yeye ndo ananifanya mie niishi mjini..afu ni rahc kupata scolarshp ya kuruka nje 4 further studies bt msuli wake utataman ujifiche uvunguni.
<br />usipopata taarifa zozote zakueleweka unaweza kusomea huu udaktari maana pia unalipa mjini hapa dogo<br />
<img src="http://a5.sphotos.ak.fbcdn.net/hphotos-ak-snc6/40729_450325470807_717930807_5810315_6789791_n.jpg" border="0" alt="" />
<br /><br /><br />
<br /><br />
Dah mkuu tunatishana namna hiyo,maana na mimi nimechaguliwa kozi hiyo hiyo.
<br />Hautishwi!ni maramianane udokta wa binaadam!wa wanyama kazi iko,we kakaze msuli maana wenzio hua wanaamua kuacha chuo kwa ugumu wa hlo dude,alaf kibaya zaidi hautokubaliwa kubadili hyo coz!!?braaah....<br /><br />
<br />
<br />asante kwa kunipa moyo but ninahitaji kuongea nawe privately kama upo SUA,naomba unielekeze njia ya kupata contacts zako
<br /><br /><br />
<br /><br />
Una uhakika na unachokinena?vipi kuhusu wale fisi,simba,mbweha,kalungulyeye,nyati pamoja na chui?unadhani ni rahisi,sisi ni wamoja mkuu,tushirikiane.
<br />Rattus rattus pia!<img src="/images/styles/JamiiForums/smilies/smile.png" border="0" alt="" title="Smile" smilieid="307" class="inlineimg" /><br /><br />
<br />