Udaktari wa Mifugo Tanzania

Ndebile

JF-Expert Member
Sep 14, 2011
7,237
9,867
natamani kusomea udaktari wa mifugo Veternary Medicine, najua chuo ni kimoja tu hapa kwetu nifahamisheni changamoto nyingine na matumaini kama yapo kuhusu kada hii;
 
Ni coz nzuri,we piga ukimalza ukiona gvt ya jk haikuthamin,unakwea pipa 2 botswana.
 
usipopata taarifa zozote zakueleweka unaweza kusomea huu udaktari maana pia unalipa mjini hapa dogo
40729_450325470807_717930807_5810315_6789791_n.jpg
 
Nguvumali EEEEEEEEEEH nini tena?Mwaya Jaribu pia Tengeru ARUSHA kunachuo cha kilimo na mifugo
 
dogo<br />
Nguvumali hebu kuwa serious kidogo ninashida mdugu yangu!
 
thanx senetor,nafikiria hata Makerere tatizo ni hii bodi ya mikopo sijuhi kama wana-consider hivyo vyuo vya nje!
 
kwa dunia tuliokuwa nayo kwa sas hata mimi nakushauri uende ukasome hiyo kozi hapo SUA, But kwa kifupi masomo yake yanahitaji effort kubwa sana kutokana na Anatomy, Phsiology na Parasitology.Kwa upande wa maisha yako ya baaadae ni nzuri zaidi kwani unaweza kujiajiri popote pale ulipo no matter ni bush au town kwani kila sehemu huwa kuna mifugo yote uijuayo wewe, So kama hiyo nafasi umeipata kweli naomba usiichezee ni nzuri sana. KARIBU SANA SUA
 
We dogo pga hyo k2,i hv my brother aliisoma hyo pale sua,leo yeye ndo ananifanya mie niishi mjini..afu ni rahc kupata scolarshp ya kuruka nje 4 further studies bt msuli wake utataman ujifiche uvunguni.
 
natamani kusomea udaktari wa mifugo Veternary Medicine, najua chuo ni kimoja tu hapa kwetu nifahamisheni changamoto nyingine na matumaini kama yapo kuhusu kada hii;

Ningekuwa wewe ningefikiria mara mbili mbili...Usijekuwa kama dogo wangu aliyekuwa anatamani kuwa doctor kwa sababu madaktari wanavaa makoti meupe!!!
 
We dogo pga hyo k2,i hv my brother aliisoma hyo pale sua,leo yeye ndo ananifanya mie niishi mjini..afu ni rahc kupata scolarshp ya kuruka nje 4 further studies bt msuli wake utataman ujifiche uvunguni.
<br />
<br />
Dah mkuu tunatishana namna hiyo,maana na mimi nimechaguliwa kozi hiyo hiyo.
 
Ze komedi
usipopata taarifa zozote zakueleweka unaweza kusomea huu udaktari maana pia unalipa mjini hapa dogo<br />
<img src="http://a5.sphotos.ak.fbcdn.net/hphotos-ak-snc6/40729_450325470807_717930807_5810315_6789791_n.jpg" border="0" alt="" />
<br />
<br />
 
Hautishwi!ni maramianane udokta wa binaadam!wa wanyama kazi iko,we kakaze msuli maana wenzio hua wanaamua kuacha chuo kwa ugumu wa hlo dude,alaf kibaya zaidi hautokubaliwa kubadili hyo coz!!?braaah....
&lt;br /&gt;<br />
&lt;br /&gt;<br />
Dah mkuu tunatishana namna hiyo,maana na mimi nimechaguliwa kozi hiyo hiyo.
<br />
<br />
 
Hautishwi!ni maramianane udokta wa binaadam!wa wanyama kazi iko,we kakaze msuli maana wenzio hua wanaamua kuacha chuo kwa ugumu wa hlo dude,alaf kibaya zaidi hautokubaliwa kubadili hyo coz!!?braaah....&lt;br /&gt;<br />
&lt;br /&gt;
<br />
<br />
Una uhakika na unachokinena?vipi kuhusu wale fisi,simba,mbweha,kalungulyeye,nyati pamoja na chui?unadhani ni rahisi,sisi ni wamoja mkuu,tushirikiane.
 
Afu C ya sua inaanzia 50,ukienda kulala utagraduate mwaka wa kwanza kudadek.
 
asante kwa kunipa moyo but ninahitaji kuongea nawe privately kama upo SUA,naomba unielekeze njia ya kupata contacts zako
 
asante kwa kunipa moyo but ninahitaji kuongea nawe privately kama upo SUA,naomba unielekeze njia ya kupata contacts zako
<br />
<br />
me cko sua ila naweza nkakuungansha na raia wa pale.
 
Rattus rattus pia!:)
&lt;br /&gt;<br />
&lt;br /&gt;<br />
Una uhakika na unachokinena?vipi kuhusu wale fisi,simba,mbweha,kalungulyeye,nyati pamoja na chui?unadhani ni rahisi,sisi ni wamoja mkuu,tushirikiane.
<br />
<br />
 
0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom