Habari zenu wadau!
Jamani hivi meseji zinazotumwa na NACTE kwa waombaji wote ambao majina yao yalipelekwa na vyuo NACTE kwa ajili ya uhakiki wa sifa za kujiunga na vyuo, mbona mimi sijapata siku ya pili sasa toka wametoa taarifa ya matokeo ya uhakiki au inakuwaje wadau?
Jamani hivi meseji zinazotumwa na NACTE kwa waombaji wote ambao majina yao yalipelekwa na vyuo NACTE kwa ajili ya uhakiki wa sifa za kujiunga na vyuo, mbona mimi sijapata siku ya pili sasa toka wametoa taarifa ya matokeo ya uhakiki au inakuwaje wadau?