MVUA GAMBA
Senior Member
- Apr 13, 2011
- 102
- 63
Wana JF mnajua hii kampuni ya Simon Group nyuma yake yupo nani? Fanyeni uchunguzi mtajua why 51pc ya shares zimeuzwa kwa kiasi hicho na jeuri ya huyo kwanza kwa kuvunja mkataba?na kufanya alofanya.Hivi UDA ilianzishwa na nani na kwa nini? Ni masalio ya serikali ya Mkoloni?..