Utafiti usio rasmi Unaonyesha kuwa maambukizi ya virusi vya Ukimwi yanaongezeka kwa kasi sana katika visiwa vya znz, sababu haswa ninii?!
Ni vyema tahadhri ichukuliwe lkn pia Elimu inahitajika sana ili kuepusha au kupunguza mambukizi katika jmii, mbaya zaidi walioathirika na maambukizi ni vijaana na wasichana kati ya umri wa miaka 18 hadi 28.
Chukueni tahadhari, Ukimwi bado ni ugonjwa hatari duniani.
Ni vyema tahadhri ichukuliwe lkn pia Elimu inahitajika sana ili kuepusha au kupunguza mambukizi katika jmii, mbaya zaidi walioathirika na maambukizi ni vijaana na wasichana kati ya umri wa miaka 18 hadi 28.
Chukueni tahadhari, Ukimwi bado ni ugonjwa hatari duniani.