Lait noir
Member
- Aug 23, 2012
- 96
- 49
Hivi huyo anaemtetea Mboma kumuita mzalendo tu sababu alikuwa mkuu wa majeshi nadhani akapimwe akili, excuse ya kusema eti vijana hawana adabu na si utamaduni wa nchi yetu ndio umetufikisha hapa, hivi anajua Mboma alivyokuwa CDF alichuma mali kiasi gani? anajua Mboma alijenga mahekalu kiasi gani au alinunua plots na mashamba kiasi gani?
Uzalendo anaosemea ni uzalendo gani huo?
Mboma ni pilot sasa weledi wa masuala ya umeme anaupata wapi?
Uzalendo anaosemea ni uzalendo gani huo?
Mboma ni pilot sasa weledi wa masuala ya umeme anaupata wapi?