Tunataka tume huru,ambaya itachunguza tuhuma za kupigwa kwa ulimboka.,tofauti ya hapo mtakachokipata baada ya uchunguzi wenu pelekeni kwenye vikao vya nec ya ccm...nasi tutachunguza upya upigwaji wa ulmboka baada ya 2015,,
Tunataka tume huru,ambaya itachunguza tuhuma za kupigwa kwa ulimboka.,tofauti ya hapo mtakachokipata baada ya uchunguzi wenu pelekeni kwenye vikao vya nec ya ccm...nasi tutachunguza upya upigwaji wa ulmboka baada ya 2015,,
Uchunguzi independent uanze sasa kwa kuwatumia wataalamu wetu wazalendo na taarifa itolewe kwa umma wa watanzania wanaoendelea kuteseka chini ya serikali hii dhalimu, ili hatua zichukuliwe haraka.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.