Uchumi wa viwanda sawa, ila kuna mahali panahitaji kuwekwa vizuri kwa manufaa yetu wote

mtingi1

JF-Expert Member
Mar 21, 2020
945
923
Awali ya yote, namshukuru Mungu kwa afya njema aliyonijalia, pili nashukuru kuwa mtanzania, pia natumaini Mungu atatuvusha katika janga la Corona.

I mean watanzania hatutakufa kwa Corona wala hatutafikia kiwango cha mitaa yetu kuwa lockdown maana maisha yetu wasaka tonge Mungu anajua.

Niende kwenye point,

Serikali yetu kuwa na lengo la kufikia uchumi wa kati, yaani UCHUMI WA VIWANDA ni jambo jema na la kupongezwa.

Katika hilo, nimeona maeneo mengi hasa katika mkoa wa Pwani VIWANDA vikijengwa kwa kasi kubwa, sisemi uongo, ukizunguka Bagamoyo, Kibaha, Mlandizi, Mkuranga utaelewa ninacho maanisha.

Kitu ambacho kinaniumiza ni kuona vijana wenzangu wa KITANZANIA wakifanya kazi hususani VIBARUA PASIPOKUWA NA KINGA yaani BIMA.

Ikiwa mtu atapata ULEMAVU KAZINI, ndio BASI TENA. Hakuna FUTURE.

JE? HAIWEZEKANI VIBARUA KUWEKEWA MAZINGIRA MAZURI YA KAZI KWA MUJIBU WA SHERIA? I mean mtu akipata kazi katika KAMPUNI ya UJENZI basi, apewe MKATABA WA MUDA MFUPI.

Kwa kuwa ujenzi wa mradi mkubwa Kama kiwanda HAIWEZEKANI kukamilika chini ya muda wa mwezi mmoja.

Mimi sio mtaalamu, ni mtanzania wa kawaida, naomba wajuvi wa mambo wanisaidie katika hili.

Ukifanya utafiti katika maeneo ya UJENZI utaona mengi, ila mimi naona ikiwa sheria ikiwekwa ya KUMLINDA mtanzania aina yetu VIBARUA, tupate MIKATABA, hata Kama ni kazi ya kuanzia mwezi mmoja+

Na wanaozisimamia SHERIA waweke mkazo katika kuwalinda ndugu zao wa hali ya chini.

HII itafanya waajiri watuheshimu.

TANZANIA YA VIWANDA INAWEZEKENA. KILA LA KHERI.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Vipi kwa sasa hivi mnaviwanda vingapi? na idadi ya waajiliwa wako wangapi kwa sasa?
 
Mara kadhaa tunasema viwanda hivyo ni ordinary industry mataifa makubwa wako kwenye technology industrial hivyo haiwalazimu kuhitaji muscle power ya wanadamu wanatumia 🤖 robot kwa asilimia 45%

Sera ya viwanda kwa Tanzania Bado sijaijua ila katika hilo la bima za wafanyakazi nafikiri kuna mifuko kama nssf wanaliwez hili.
 
Mkuu hata hayo mataifa makubwa uliyosema, nadhani kuna mahali walianzia, hata wakadikia hatua ya kutumia robot kwa45% Kama ulivosema.

Kuhusu NSSF, ai inabidi kuwa na MIKATABA ya wafanyakazi?

Mimi nimezungumzia watu wa chini kabisa, VIBARUA ili na wao wapate hizo NSSF.
Mara kadhaa tunasema viwanda hivyo ni ordinary industry mataifa makubwa wako kwenye technology industrial hivyo haiwalazimu kuhitaji muscle power ya wanadamu wanatumia robot kwa asilimia 45%

Sera ya viwanda kwa Tanzania Bado sijaijua ila katika hilo la bima za wafanyakazi nafikiri kuna mifuko kama nssf wanaliwez hili.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Awali ya yote, namshukuru Mungu kwa afya njema aliyonijalia, pili nashukuru kuwa mtanzania, pia natumaini Mungu atatuvusha katika janga la Corona.

I mean watanzania hatutakufa kwa Corona wala hatutafikia kiwango cha mitaa yetu kuwa lockdown maana maisha yetu wasaka tonge Mungu anajua.

Niende kwenye point,

Serikali yetu kuwa na lengo la kufikia uchumi wa kati, yaani UCHUMI WA VIWANDA ni jambo jema na la kupongezwa.

Katika hilo, nimeona maeneo mengi hasa katika mkoa wa Pwani VIWANDA vikijengwa kwa kasi kubwa, sisemi uongo, ukizunguka Bagamoyo, Kibaha, Mlandizi, Mkuranga utaelewa ninacho maanisha.

Kitu ambacho kinaniumiza ni kuona vijana wenzangu wa KITANZANIA wakifanya kazi hususani VIBARUA PASIPOKUWA NA KINGA yaani BIMA.

Ikiwa mtu atapata ULEMAVU KAZINI, ndio BASI TENA. Hakuna FUTURE.

JE? HAIWEZEKANI VIBARUA KUWEKEWA MAZINGIRA MAZURI YA KAZI KWA MUJIBU WA SHERIA? I mean mtu akipata kazi katika KAMPUNI ya UJENZI basi, apewe MKATABA WA MUDA MFUPI.

Kwa kuwa ujenzi wa mradi mkubwa Kama kiwanda HAIWEZEKANI kukamilika chini ya muda wa mwezi mmoja.

Mimi sio mtaalamu, ni mtanzania wa kawaida, naomba wajuvi wa mambo wanisaidie katika hili.

Ukifanya utafiti katika maeneo ya UJENZI utaona mengi, ila mimi naona ikiwa sheria ikiwekwa ya KUMLINDA mtanzania aina yetu VIBARUA, tupate MIKATABA, hata Kama ni kazi ya kuanzia mwezi mmoja+

Na wanaozisimamia SHERIA waweke mkazo katika kuwalinda ndugu zao wa hali ya chini.

HII itafanya waajiri watuheshimu.

TANZANIA YA VIWANDA INAWEZEKENA. KILA LA KHERI.

Sent using Jamii Forums mobile app
Fursa 2020 - JamiiForums
 
hapa naona kama marais wote hawakupoteza muda

jk - kilimo uti wa mgongo (wakasahau bar, kilabu, ugonjwa, nyumba nao ulikuwa uti wa mgongo kwa wengine)

mwinyi (ruksa fanya utakavyo ili tujue uti wa mgongo wako)

mkapa (kuplant those inspiration)

jakaya (kilimo kwanza full kununua matrector labda saizi yatakuwa kama VX full services kila week)

magufuli (hapa kazi tu labda watategeneza kazi)

ajaye baibai kwa sabau ya steel mnaharibu
 
hapa naona kama marais wote hawakupoteza muda

jk - kilimo uti wa mgongo (wakasahau bar, kilabu, ugonjwa, nyumba nao ulikuwa uti wa mgongo kwa wengine)

mwinyi (ruksa fanya utakavyo ili tujue uti wa mgongo wako)

mkapa (kuplant those inspiration)

jakaya (kilimo kwanza full kununua matrector labda saizi yatakuwa kama VX full services kila week)

magufuli (hapa kazi tu labda watategeneza kazi)

ajaye baibai kwa sabau ya steel mnaharibu
 
hapa naona kama marais wote hawakupoteza muda

jk - kilimo uti wa mgongo (wakasahau bar, kilabu, ugonjwa, nyumba nao ulikuwa uti wa mgongo kwa wengine)

mwinyi (ruksa fanya utakavyo ili tujue uti wa mgongo wako)

mkapa (kuplant those inspiration)

jakaya (kilimo kwanza full kununua matrector labda saizi yatakuwa kama VX full services kila week)

magufuli (hapa kazi tu labda watategeneza kazi)

ajaye baibai kwa sabau ya steel mnaharibu
 
Back
Top Bottom