acha upuuzi na kuonge mambo usioyajua umeme wa kutosha upo bali serikali inafany marekebisho kwenye miondombinu ya umeme ili kukidji sera ya uchumi wa viwanda kufikia 15 dec swala la umeme kukatika litakuwa historia
Nimeshakusikia... Asante kwa taarifaacha upuuzi na kuonge mambo usioyajua umeme wa kutosha upo bali serikali inafany marekebisho kwenye miondombinu ya umeme ili kukidji sera ya uchumi wa viwanda kufikia 15 dec swala la umeme kukatika litakuwa historia
Endelea kusubiri Meli Tazaraacha upuuzi na kuonge mambo usioyajua umeme wa kutosha upo bali serikali inafany marekebisho kwenye miondombinu ya umeme ili kukidji sera ya uchumi wa viwanda kufikia 15 dec swala la umeme kukatika litakuwa historia
acha upuuzi na kuonge mambo usioyajua umeme wa kutosha upo bali serikali inafany marekebisho kwenye miondombinu ya umeme ili kukidji sera ya uchumi wa viwanda kufikia 15 dec swala la umeme kukatika litakuwa historia
Ile ya south america au ingine? Kama ni ile basi kutakuwa na walakini.El Salvador ni nchi ya viwanda. CIP index yake ni 0.034 (UNIDO Statistics, 2017). El Salvador inazalisha umeme wa MW 1350 na Tanzania inazalisha umeme wa MW 1750 na ina CIP index 0.009.
Manufacturing Value Added ya El Salvador ni 5.1 Bil. $ (World Bank, 2016) na Manufacturing Value Added ya Tanzania ni 2.6Bil $.
Population ya El Salvador ni 6.35mil (world Bank, 2015) na population ya Tanzania ni 55million.
Sababu ni sisi wenyewe siyo wazalishaji na hatujiamini.
Ni ile.Ile ya south america au ingine? Kama ni ile basi kutakuwa na walakini.