Tanzania ni nchi moja ambayo uchumi unakuwa kwa kuendeshwa na wageni, wenyeji wako kwenye vilabu vya pombe. Wajanja wachache ndio tunafaidi, wasioona uchumi wa Tanzania ulivyo mwema na fursa zilizokuwepo ni mabongo lala.
Nakuvutia pumzi!
Eti uchumi wa Tanzania umekuwa kwa asilimia 6%..je hizi takwimu zinagusa moja kwa moja maisha ya Mtanzania au ndo for political purposes?
Mhhhh....bi NYAKOMBA umerudi lini?karibu mwaya c tupo!Tanzania ni nchi moja ambayo uchumi unakuwa kwa kuendeshwa na wageni, wenyeji wako kwenye vilabu vya pombe. Wajanja wachache ndio tunafaidi, wasioona uchumi wa Tanzania ulivyo mwema na fursa zilizokuwepo ni mabongo lala.
Uchumi wa Tanzania ni ule unaokua kwenye figures zilizoko kwenye makaratasi,
But kwenye mifuko ya watu,wananchi wa kawaida kama mimi, Uchumi unakua kuelekea chini!!!
Uchumi wa Tz kukua? Hizi zitazkuwa takwimu zimebase kutoka kwa Sinclair na wenzie wanaotuibia madini kila kukicha.
Namshangaa huyo kikongwe Faiza f hapo juu akijisifia upumbavu, eti yeye ni mjanja wakati ni zuzu! Kutwa kucha raslimali za nchi zinaibiwa na akina ff wanatupiwa makombo, wanashangilia na kukenua kama mazuzu. Laana tupu.
Wewe ulitaka ukuwe wapi? tunakokalia?
hata wewe bibi yangu unamatusi
sasa wazee wenye busara tutawapata wap duh!