monetary ndio nini kwa kiswahiliNi kweli Pascal Mayalla, Monetary policy inafanya kazi yake. Kwa msiofahamu google Monetary Policy ujue maana yake, then linganisha JK Vs JPM
Business restructuring, kulikuwa na hela chafu zisizokuwa na tija mtaani- hizi zimepotea na madhara yake pengine ndiyo haya. Kufungwa kwa biashara zipo sababu nyingi maana hata kipindi kile unachodhani hali ilikuwa salama pia biashara zilikuwa zinafungwa na biashara mpya zinafunguliwa.
Mtaendelea kujifariji kwa vijineno hivi kwa muda mfupi tu,punde hicho kiajira chako kitakapoguswa ndipo utaelewa lugha wanayoitumia wenzako! Maana hata shetani nae alikuwa malaika once upon a time!Business restructuring, kulikuwa na hela chafu zisizokuwa na tija mtaani- hizi zimepotea na madhara yake pengine ndiyo haya. Kufungwa kwa biashara zipo sababu nyingi maana hata kipindi kile unachodhani hali ilikuwa salama pia biashara zilikuwa zinafungwa na biashara mpya zinafunguliwa.
Tulishakuambia sasa bora ujionee mwenyewe.Wanabodi
Kasi ya kukua kwa uchumi wa Tanzania ya Magufuli, ambayo umekuwa ukikua kwa asilimia zaidi ya asilimia 7% kwa mwaka, sasa kasi hiyo imeanza kuporomoka ambapo sekta binafsi ndio mhanga mkuu kwa Ku suffer.
Ku suffer huko kulianzia kufungwa kwa maduka makubwa ya bidhaa na supermarkets.
Yakafuata baadhi ya mashirika na makampuni kufilisika hivyo kupunguza wafanyakazi, sasa kibano hicho kimeigusa sekta ya Media ambapo media kubwa kabisa nchini zimeanza kutikisika.
Kwenye media ilianza Star TV, kati ya wafanyakazi 400, ililazimika kupunguza wafanyakazi 200!.
Leo kumepatikana taarifa ya wafanyakazi wa gazeti kubwa la the Guardian, hawajalipwa mishahara kwa miezi 3, hivyo kitakachofuata ni kupunguza wafanyakazi.
Japo familia ya the Citizen Mwananchi, hawajaniingizia kibano, lakini kama hii ndio hali halisi ya uchumi wa Tanzania ya Magufuli, then hata Citizens, litakuwa halina jinsi, lazima nalo soon litatangaza kupunguza wafanyakazi.
Mimi mwenyewe, Kampuni yangu ya PPR, mwanzo tulikuwa na wafanyakazi 20, tukipangisha jengo la NHC pale Mtaa wa Mkwepu Kwa kodi ya pango kwa mwezi, ya zaidi ya mshahara wa DC, sasa hakuna tena tenders za serikali, mwaka huu pia tenda zangu za kutangaza Maonyesho ya Saba Saba na Nane Nane zimefutwa, hivyo tumepunguza wafanyakazi 15!, tumebaki 5!. Na Mtaa wa Mkwepu tumehama, tumehamia jengo la Posta House!.
Wito kwa waandishi wenzangu, kwa hali hii ya uchumi wa Tanzania ya Magufuli, usisubiri kupunguzwa kazi, bali sasa kwa sisi wanaume tufuge kuku (kazi ya kujiajiri) na njiwa (kazi ya kuajiriwa), ili njiwa akiruka, ubaki na kuku.
Kwa waandishi wa kike, kwenye kazi ya kuteka maji, teka maji kwenye ndoo (kazi ya kudumu) na kudumu (kujiajiri), ili maji ya kwenye ndoo yakimwagika, ubaki na kidumu.
Kiukweli kabisa Media tuna hali ngumu!.
Mungu saidia.
Mungu Ibariki Tanzania,
Mungu Mbariki Magufuli aweze.
Jumatano Njema.
Paskali
Watu wa media tukiacha unafiki wa mapambio kwa jiwe tunaweza kuokoa taifa kwa sera mbovu za kiimla zilizosheheni uhumanless kwa ulaghai wa kutumia neno ambalo nalichukia km shetani eti "Wanaolalamika walikua wapiga dili "huku wafuasi wake wakipanua midomo yenye shibe kuimba pambio la hili la kikatili.Wanabodi
Kasi ya kukua kwa uchumi wa Tanzania ya Magufuli, ambayo umekuwa ukikua kwa asilimia zaidi ya asilimia 7% kwa mwaka, sasa kasi hiyo imeanza kuporomoka ambapo sekta binafsi ndio mhanga mkuu kwa Ku suffer.
Ku suffer huko kulianzia kufungwa kwa maduka makubwa ya bidhaa na supermarkets.
Yakafuata baadhi ya mashirika na makampuni kufilisika hivyo kupunguza wafanyakazi, sasa kibano hicho kimeigusa sekta ya Media ambapo media kubwa kabisa nchini zimeanza kutikisika.
Kwenye media ilianza Star TV, kati ya wafanyakazi 400, ililazimika kupunguza wafanyakazi 200!.
Leo kumepatikana taarifa ya wafanyakazi wa gazeti kubwa la the Guardian, hawajalipwa mishahara kwa miezi 3, hivyo kitakachofuata ni kupunguza wafanyakazi.
Japo familia ya the Citizen Mwananchi, hawajaniingizia kibano, lakini kama hii ndio hali halisi ya uchumi wa Tanzania ya Magufuli, then hata Citizens, litakuwa halina jinsi, lazima nalo soon litatangaza kupunguza wafanyakazi.
Mimi mwenyewe, Kampuni yangu ya PPR, mwanzo tulikuwa na wafanyakazi 20, tukipangisha jengo la NHC pale Mtaa wa Mkwepu Kwa kodi ya pango kwa mwezi, ya zaidi ya mshahara wa DC, sasa hakuna tena tenders za serikali, mwaka huu pia tenda zangu za kutangaza Maonyesho ya Saba Saba na Nane Nane zimefutwa, hivyo tumepunguza wafanyakazi 15!, tumebaki 5!. Na Mtaa wa Mkwepu tumehama, tumehamia jengo la Posta House!.
Wito kwa waandishi wenzangu, kwa hali hii ya uchumi wa Tanzania ya Magufuli, usisubiri kupunguzwa kazi, bali sasa kwa sisi wanaume tufuge kuku (kazi ya kujiajiri) na njiwa (kazi ya kuajiriwa), ili njiwa akiruka, ubaki na kuku.
Kwa waandishi wa kike, kwenye kazi ya kuteka maji, teka maji kwenye ndoo (kazi ya kudumu) na kudumu (kujiajiri), ili maji ya kwenye ndoo yakimwagika, ubaki na kidumu.
Kiukweli kabisa Media tuna hali ngumu!.
Mungu saidia.
Mungu Ibariki Tanzania,
Mungu Mbariki Magufuli aweze.
Jumatano Njema.
Paskali
Uko karibu na ukweli japo wengi hawataki. Media anayozungumzia Pascal Mayalla ni kweli iko kwenye hali mbaya lakini hapa mimi sioni ni kwa nini tulaumu utawala.Niliambiwa biashara zinazokufa ni za ujanja ujanja.
Naunga mkono hoja!Wanabodi
Kasi ya kukua kwa uchumi wa Tanzania ya Magufuli, ambayo umekuwa ukikua kwa asilimia zaidi ya asilimia 7% kwa mwaka, sasa kasi hiyo imeanza kuporomoka ambapo sekta binafsi ndio mhanga mkuu kwa Ku suffer.
Ku suffer huko kulianzia kufungwa kwa maduka makubwa ya bidhaa na supermarkets.
Yakafuata baadhi ya mashirika na makampuni kufilisika hivyo kupunguza wafanyakazi, sasa kibano hicho kimeigusa sekta ya Media ambapo media kubwa kabisa nchini zimeanza kutikisika.
Kwenye media ilianza Star TV, kati ya wafanyakazi 400, ililazimika kupunguza wafanyakazi 200!.
Leo kumepatikana taarifa ya wafanyakazi wa gazeti kubwa la the Guardian, hawajalipwa mishahara kwa miezi 3, hivyo kitakachofuata ni kupunguza wafanyakazi.
Japo familia ya the Citizen Mwananchi, hawajaniingizia kibano, lakini kama hii ndio hali halisi ya uchumi wa Tanzania ya Magufuli, then hata Citizens, litakuwa halina jinsi, lazima nalo soon litatangaza kupunguza wafanyakazi.
Mimi mwenyewe, Kampuni yangu ya PPR, mwanzo tulikuwa na wafanyakazi 20, tukipangisha jengo la NHC pale Mtaa wa Mkwepu Kwa kodi ya pango kwa mwezi, ya zaidi ya mshahara wa DC, sasa hakuna tena tenders za serikali, mwaka huu pia tenda zangu za kutangaza Maonyesho ya Saba Saba na Nane Nane zimefutwa, hivyo tumepunguza wafanyakazi 15!, tumebaki 5!. Na Mtaa wa Mkwepu tumehama, tumehamia jengo la Posta House!.
Wito kwa waandishi wenzangu, kwa hali hii ya uchumi wa Tanzania ya Magufuli, usisubiri kupunguzwa kazi, bali sasa kwa sisi wanaume tufuge kuku (kazi ya kujiajiri) na njiwa (kazi ya kuajiriwa), ili njiwa akiruka, ubaki na kuku.
Kwa waandishi wa kike, kwenye kazi ya kuteka maji, teka maji kwenye ndoo (kazi ya kudumu) na kudumu (kujiajiri), ili maji ya kwenye ndoo yakimwagika, ubaki na kidumu.
Kiukweli kabisa Media tuna hali ngumu!.
Mungu saidia.
Mungu Ibariki Tanzania,
Mungu Mbariki Magufuli aweze.
Jumatano Njema.
Paskali
Ni kweli Pascal Mayalla, Monetary policy inafanya kazi yake. Kwa msiofahamu google Monetary Policy ujue maana yake, then linganisha JK Vs JPM
#KazinaBata 2020Write your reply...hapa kazi tu
Mtaokoteza vimaneno vya kujifariji huku na kule lakini ukweli munauona na unawagusa hata nyie,mulichobaki nacho ni mahaba tu ila mifukoni hamna kitu! Kama Manji anatoka mbio je wewe ni nani hadi ujifanye huioni hatari inayotukabili?Ni kweli Pascal Mayalla, Monetary policy inafanya kazi yake. Kwa msiofahamu google Monetary Policy ujue maana yake, then linganisha JK Vs JPM
bingo!!Wanabodi
Kasi ya kukua kwa uchumi wa Tanzania ya Magufuli, ambayo umekuwa ukikua kwa asilimia zaidi ya asilimia 7% kwa mwaka, sasa kasi hiyo imeanza kuporomoka ambapo sekta binafsi ndio mhanga mkuu kwa Ku suffer.
Ku suffer huko kulianzia kufungwa kwa maduka makubwa ya bidhaa na supermarkets.
Yakafuata baadhi ya mashirika na makampuni kufilisika hivyo kupunguza wafanyakazi, sasa kibano hicho kimeigusa sekta ya Media ambapo media kubwa kabisa nchini zimeanza kutikisika.
Kwenye media ilianza Star TV, kati ya wafanyakazi 400, ililazimika kupunguza wafanyakazi 200!.
Leo kumepatikana taarifa ya wafanyakazi wa gazeti kubwa la the Guardian, hawajalipwa mishahara kwa miezi 3, hivyo kitakachofuata ni kupunguza wafanyakazi.
Japo familia ya the Citizen Mwananchi, hawajaniingizia kibano, lakini kama hii ndio hali halisi ya uchumi wa Tanzania ya Magufuli, then hata Citizens, litakuwa halina jinsi, lazima nalo soon litatangaza kupunguza wafanyakazi.
Mimi mwenyewe, Kampuni yangu ya PPR, mwanzo tulikuwa na wafanyakazi 20, tukipangisha jengo la NHC pale Mtaa wa Mkwepu Kwa kodi ya pango kwa mwezi, ya zaidi ya mshahara wa DC, sasa hakuna tena tenders za serikali, mwaka huu pia tenda zangu za kutangaza Maonyesho ya Saba Saba na Nane Nane zimefutwa, hivyo tumepunguza wafanyakazi 15!, tumebaki 5!. Na Mtaa wa Mkwepu tumehama, tumehamia jengo la Posta House!.
Wito kwa waandishi wenzangu, kwa hali hii ya uchumi wa Tanzania ya Magufuli, usisubiri kupunguzwa kazi, bali sasa kwa sisi wanaume tufuge kuku (kazi ya kujiajiri) na njiwa (kazi ya kuajiriwa), ili njiwa akiruka, ubaki na kuku.
Kwa waandishi wa kike, kwenye kazi ya kuteka maji, teka maji kwenye ndoo (kazi ya kudumu) na kudumu (kujiajiri), ili maji ya kwenye ndoo yakimwagika, ubaki na kidumu.
Kiukweli kabisa Media tuna hali ngumu!.
Mungu saidia.
Mungu Ibariki Tanzania,
Mungu Mbariki Magufuli aweze.
Jumatano Njema.
Paskali
Mtaokoteza vimaneno vya kujifariji huku na kule lakini ukweli munauona na unawagusa hata nyie,mulichobaki nacho ni mahaba tu ila mifukoni hamna kitu! Kama Manji anatoka mbio je wewe ni nani hadi ujifanye huioni hatari inayotukabili?