Uchumi wa Magufuli: Precision Air Yapumulia Machine. Yapunguza Wafanyakazi 136!

Wanabodi,

Makali ya Uchumi wa Magufuli, yanazidi kukaza, leo shirika la ndege la Precision Air, limepunguza wafanyakazi 136 wakiwemo cibin crew 10!.

Najua wengi humu mtasema hali hii imechangiwa na kufuka kwa ATCL na ushindani toka Fast Jet, lakini this is not the case, nimepanda zote, ATCL, Fast Jet, na ATCL, zote hazijai, hivyo purchasing power ya Watanzania kusafiri kwa ndege, imepungua, soon mtashuhudia mashirika mengine yakipunguza frequency na mtashuhudia mabenki yakifungasha na kuondoka.

This is not good at all.

Paskali
Jenerali Ulimwengu alisema nchi imerudi nyuma miaka 50 kidemokrasia .............. isije kuwa na uchumi wetu unaelekea huko huko!!
 
Wanabodi,

Makali ya Uchumi wa Magufuli, yanazidi kukaza, leo shirika la ndege la Precision Air, limepunguza wafanyakazi 136 wakiwemo cibin crew 10!.

Najua wengi humu mtasema hali hii imechangiwa na kufuka kwa ATCL na ushindani toka Fast Jet, lakini this is not the case, nimepanda zote, ATCL, Fast Jet, na ATCL, zote hazijai, hivyo purchasing power ya Watanzania kusafiri kwa ndege, imepungua, soon mtashuhudia mashirika mengine yakipunguza frequency na mtashuhudia mabenki yakifungasha na kuondoka.

This is not good at all.

Paskali
Wewe 'Njaa'' acha unafiki kwa post zako chonganishi. Tatizo unakula kote kote. Acha hii mambo kijana. Just ushauri
 
Wanabodi,

Makali ya Uchumi wa Magufuli, yanazidi kukaza, leo shirika la ndege la Precision Air, limepunguza wafanyakazi 136 wakiwemo cibin crew 10!.

Najua wengi humu mtasema hali hii imechangiwa na kufuka kwa ATCL na ushindani toka Fast Jet, lakini this is not the case, nimepanda zote, ATCL, Fast Jet, na ATCL, zote hazijai, hivyo purchasing power ya Watanzania kusafiri kwa ndege, imepungua, soon mtashuhudia mashirika mengine yakipunguza frequency na mtashuhudia mabenki yakifungasha na kuondoka.

This is not good at all.

Paskali
Mkuu Paskali,

Wengi hawawezi kulielewa hili mpaka liwafike,mfano mdogo tu kwenye kinywaji cha BIA,

1. Kutokana na kupungua kipato kwa mtanzania,uzalishaji umepunguzwa inakopelekea wafanyakazi wapunguzwe!!!
2. Kupunguzwa huko serikali imekosa mapato yatokanayo na PAYE na kodi ya mapato ya viwanda,
3. Baa zimekosa wanywaji kunakopelekea wafanyakazi wa Mabaa na mahoteli kukosa kazi (Umaskini tayari)
4. Wauzaji wa shayiri na ngano soko limekosekana kutokana na kinywaji kukosa wanywaji(Umasikini tayari)
5. Magari yamekosa kazi ya kusafirisha vinywaji na yamepaki(Umasikini tayari)
6. Biashara ya chupa za vinywaji mfano toka Kioo ltd imepungua inabidi Kioo wapunguze wafanyakazi(Umasikini tayari)
7. LIST ni ndefu sana muda si mrefu hata mashule ya private yatafungwa maaana uwezo wa kusomesha watoto utakuwa haupo tutarudi Saint.Kayumba, sijui tunasonga mbele au tunarudi nyuma.

Hivi hii nchi haina wachumi wakaingilia kati hii kitu????????? au wachumi wote ndo dizaini za jamaa yetu wa pale Buguruni
 
Nchi bila ya vichocheo vya UCHUMI ni sawa na Serikali kuendeshwa bila ya wasomi ...

Yaani nikama Muhimbili yoote wakabidhiwe waganga wa kienyeji na mizizi yao pamoja na tunguli zao ...

Mnyanyembe wa Mboka, umenichekesha sana.

Nimejaribu ku-imagine kuwa niko Muhimbili halafu Ofisi za Madaktari zimejaa vigagula wenye tunguli, hirizi na ngoma za kufukuza majini.........Uwiii sina mbavu!!!! Hapo ndipo Tanzania tumefika au tunaelekea. Ni mahoka kwa kwenda mbele..!!
Sijonze anafikiri akijenga ukuta Simanjiro utasaidia kuinua Uchumi wa Tanzanite. Hakika ni wazo fulani very 'amazing" na linachekesha sana!!. Hivi nchi wenzetu kama Botswana, Nambia, Ghana au South Afrika wamejenga kuta kuzunguka maeneo yao ya migodi ya madini au Mafuta..????
Kujenga ukuta ni kuonyesha mtu kafikia mwisho wa kufikiri......!! Mbona ukuta ni sawa tu kama ilivyo mipaka ya nchi yetu? Kama huna sera nzuri za raslimali, huna ulinzi imara kwenye mipaka, huna mikataba yenye tija, huna Watumishi waaminifu na huwalipi vizuri, ni kupoteza muda na fedha za walipa kodi kujenga Ukuta usio na faida...!!!

Migodi yote huko ACACIA, GGM na WILLIAMSON DIAMOND kuna kuta na ulinzi wa kufa mtu. Mbona tunaibiwa???
Kweli nchi imeshikwa na Malimbukeni....!!!
 
Mkuu Paskali,

Wengi hawawezi kulielewa hili mpaka liwafike,mfano mdogo tu kwenye kinywaji cha BIA,

1. Kutokana na kupungua kipato kwa mtanzania,uzalishaji umepunguzwa inakopelekea wafanyakazi wapunguzwe!!!
2. Kupunguzwa huko serikali imekosa mapato yatokanayo na PAYE na kodi ya mapato ya viwanda,
3. Baa zimekosa wanywaji kunakopelekea wafanyakazi wa Mabaa na mahoteli kukosa kazi (Umaskini tayari)
4. Wauzaji wa shayiri na ngano soko limekosekana kutokana na kinywaji kukosa wanywaji(Umasikini tayari)
5. Magari yamekosa kazi ya kusafirisha vinywaji na yamepaki(Umasikini tayari)
6. Biashara ya chupa za vinywaji mfano toka Kioo ltd imepungua inabidi Kioo wapunguze wafanyakazi(Umasikini tayari)
7. LIST ni ndefu sana muda si mrefu hata mashule ya private yatafungwa maaana uwezo wa kusomesha watoto utakuwa haupo tutarudi Saint.Kayumba,

Hivi hii nchi haina wachumi wakaingilia kati hii kitu????????? au wachumi wote ndo dizaini za jamaa yetu wa pale Buguruni
Hili tayari mkuu!
 
Sio sababu! Ongeza kuchimba usisikie juu juu Baba!
Wanabodi,

Makali ya Uchumi wa Magufuli, yanazidi kukaza, leo shirika la ndege la Precision Air, limepunguza wafanyakazi 136 wakiwemo cibin crew 10!.

Najua wengi humu mtasema hali hii imechangiwa na kufuka kwa ATCL na ushindani toka Fast Jet, lakini this is not the case, nimepanda zote, ATCL, Fast Jet, na ATCL, zote hazijai, hivyo purchasing power ya Watanzania kusafiri kwa ndege, imepungua, soon mtashuhudia mashirika mengine yakipunguza frequency na mtashuhudia mabenki yakifungasha na kuondoka.

This is not good at all.

Paskali
 
Pascal walikuwa wanategemea semina na mikutano kaka, Wameenda sana nje lakini hawajaleta impact kwa taifa, Wanatujazia makaratasi tu kwenye library zetu utekelezaji hakuna, Sasa walipanda Papai wanavuna Michongoma, Kikubwa hizi ndege abiria wake wengi walikuwa watu wa Semina na warsha
Kwani wao kutokwenda nje mpaka sasa nini kimefanyika?
Tulitegemeaa mambo yawe mazuri kwa kuzuia hayo, lkn ndio kwanza kila kitu kina kufa.
 
Back
Top Bottom