Hii si Tanzania yetu!Utakuwa umetumwa na mabeberu wewe, madarasa mbona yapo tena ya viwango vya uchumi wa kati?
View attachment 1501406
Hii si Tanzania yetu!Utakuwa umetumwa na mabeberu wewe, madarasa mbona yapo tena ya viwango vya uchumi wa kati?
View attachment 1501406
Ni Kyadema jhope jifwile.Uchumi wa kati soko la mpunga wenu wa Talatala hakuna ! hivi wazee wetu wanapataje hela huko ? umpunga gufwile , imikoko gyope gifwile , Fidahusein na Mo bhabhopile , Kyecu jope jifwile !
ulintungulu ! linga jifwile kena mukhojitila fijo ?Ni Kyadema jhope jifwile.
Kali tubhopele kughu bhamyitu!
Mwl anachostahili toka kwa Watanzania ni lawama tuu kwa kutuletea hizi adha na karaha.Ndiyo maana huwa nashangaa mnaomshangilia Nyerere eti alileta uhuru. We were a protectorate, not a colony! Tulikuwa tunallewa tukue, tuwe na akili tujiendeshee mambo yetu wenyewe/tujitawale. Mkaharakisha sasa mmeshindwa kuwahudumia watu wenu. Mnauana... rubish all the way!
Wabunge sio lazima wote waudhurie kikao, hata hivyo Chadema si walitusaidia kukaa nyumbani.Acha utahahira wewe mbona bunge jalikufanyikia nje watanzania sio wapunbavu