Chakaza
JF-Expert Member
- Mar 10, 2007
- 39,797
- 71,216
Huyu ndio waziri wetu wa fedha was sasa hivi. Je, yuko sahihi zaidi ya Mwasisi wa Taifa Dr Julius Nyerere aliyezungumza haya ndani ya Bunge la Afrika Kusini wakati wa Mandela?
Na kati yao kuna mmoja kazungumza uongo, je ni kwa manufaa ya nani?
Msikilizeni na Dr Julius Nyerere aliyeheshimika duniani kama mwenyekiti wa South South Commission.