Mung Chris
JF-Expert Member
- Sep 12, 2017
- 3,367
- 3,778
Mwenye majibu ya haya atujuze maana tumeambiwa uchumi wa kati ni maisha kuboreka, maendeleo makubwa na maskini kupungua kwa idadi. Sasa haya ya upandaji wa bidhaa kama Mafuta, Sabuni, Unga wa ngano, sukari kwa sasa sh. 2,800 ndio majibu ya uchumi wa kati?
Kuna Wilaya imeanza kutumika kama sampuli ya kuweka kodi kwa wapiga picha, washereheshaji, ma MC, Ongezeko la kodi kweye magari ya kubebea maiti. Wilaya hii ikifanikiwa bila malalamiko basi mikoa yote itaanza pia kutoza kodi hizo.
Nauliza tena huu ndio uchumi wa Kati? Sikatai kutoza kodi hapana nakubali ila swali ni je, huu ndio uchumi wa kati au ni ile miaka 5 tuliyoambiwa inayokuja?
Kuna Wilaya imeanza kutumika kama sampuli ya kuweka kodi kwa wapiga picha, washereheshaji, ma MC, Ongezeko la kodi kweye magari ya kubebea maiti. Wilaya hii ikifanikiwa bila malalamiko basi mikoa yote itaanza pia kutoza kodi hizo.
Nauliza tena huu ndio uchumi wa Kati? Sikatai kutoza kodi hapana nakubali ila swali ni je, huu ndio uchumi wa kati au ni ile miaka 5 tuliyoambiwa inayokuja?