Uchumi wa jimbo moja la MAREKANI Ni MKUBWA kuliko GDP za nchi kama SAUDI ARABIA, RUSSIA, UK. Marekani itadumu kuwa Superpower?

Mkuu na fanya correction, uchumi wa USA ni $20trIllion madeni ni$ 16 trillion China inawadai $5Trillion madeni ya ndani ni $11Trillion.....uchumi wa Tz ni $19bn madeni hatuyajui ila mda wowote tutakua donner country kwa nchi za wazungu
Mbna hujataja deni la china
 
Lkn wewe siyo Muzungu, na wala siyo Mmarekani, hayo unayoyasema walipaswa Muzungu mwenyewe Mmarekani na Mrusi, Muingereza au Saudi ndo wayaseme lkn siyo wewe, wewe kwako ni Afrika mbona haujaiweka hapo?
Acha umburura ww Kwa izo data si wamendika wenye
 
USA anaipenda Saudia kinafiki siku mafuta yakiisha utaona watakavyompa mgongo, USA akikohoa tu Saudia anatoa mpunga, siraha ananunua kwenda kuwapiga waarabu wenzake na uwezo wenyewe wa kupigana anao mdogo tu waasi kule Yemen wanamhenyesha.
undefinedsaudi ndio anamtumikisha marekani,undefinedhuna habari wale wanajeshi wa marekani syria,saudi ndoa anatoa hela wawepo pale,Trump alitoka kutoa majeshi,saudi akakataa na kumwambia watamlipa,undefinedsaudi wana jeuri ya pesa sio mchezo,marais wa marekani kwa saud huwa wanakuwa wadogo sana
 
USA anaipenda Saudia kinafiki siku mafuta yakiisha utaona watakavyompa mgongo, USA akikohoa tu Saudia anatoa mpunga, siraha ananunua kwenda kuwapiga waarabu wenzake na uwezo wenyewe wa kupigana anao mdogo tu waasi kule Yemen wanamhenyesha.
undefinedsaudi ndio anamtumikisha marekani,undefinedhuna habari wale wanajeshi wa marekani syria,saudi ndoa anatoa hela wawepo pale,Trump alitoka kutoa majeshi,saudi akakataa na kumwambia watamlipa,undefinedsaudi wana jeuri ya pesa sio mchezo,marais wa marekani kwa saud huwa wanakuwa wadogo sana
 
Nchi zote za Africa ikiwemo south Africa na Nigeria..uchumi wake haufiki $ 2 trillion. Wakati USA yenyewe peke yake uchumi wake ni zaidi $16.trillion. Halafu hapo Jiwe anasema Tanzania ni nchi tajiri sana...na haitahitaji msaada.
Huo uchumi wa Afrika zaidi ya asilimia 60 uko Nigeria, South Africa, Angola na Egypt. Ukiweka asilimia za nchi za kiarabu unagundua hii jeuri ya wanasiasa wetu hapa danganya toto. Hatuna nafasi kwenye uwanja wa dunia.
 
Nikuhulize unafahamu ukubwa wa hayo majimbo
Na unajua kuwa hizo ni states zilizoungana?
Au umejisahulisha?
Your assertion is too irrelevant and irrational to warrant any meaningful discussion.
If geographical size was something to talk about, then Russia could have been the richest and not USA.

And if for the sake of Union, then United Republic of Tanzania could have been richer than Kenya which has never been united with any country to form a sovereignty. So you need to reset your comment.
 
China wanamaarifa tangu yesu hata hajazaliwa, sisi maarifa yetu walikuja kuharibiwa na elimu ya kikoloni, unajua kuwa kuna dola kama kushi kule Ethiopia walikuwa wanafua chuma? Kule dola ya Fulani ilikuwa tajiri sana na ilifanya biashara hadi Afrika kaskazini je leo viwanda hivyo vya chuma vipo? Na kwann vilikufa? Jibu ni moja tu tuliwaamini wazungu na hadi leo akili zetu zimelala
Wewe ndugu. Mbona unakuja na hoja mfu? Pale Liganga si nasikia kuna chuma sasa mzungu gani amekuzuia usichimbe hata Tanzanite pia tumefanya ujinga ujinga wee na wengine ndio wanafaidi.

Tukiendekeza hii tabia ya kuwalaumu wazungu kwa huu umasikini tuliyojiletea wenyewe, hakika tutaendelea kubaki "The World's Laughing Stock" mpaka mwisho wa dahari na mbaya zaidi eti mtu mwenye Mentality kama yako hiyo ndio awe kiongozi,,,,What a hell.
 
Eti! Tumeibiwa. Tuliwahi Kulala Usiku Kesho Yake Tukakuta Ghafla Mashimo Kwenye Migodi, Au Wazungu Wametorosha Dhahabu Na Gesi Usiku Tulipokuwa Tumelala.
Leo Hii Anatokea Mtu Na Kutudanganya Kwamba Tumeibiwa Wakati Ndio Haohao Politicians Waliotufikisha Hapa! Poor Africa, Poor TZ.
 
Nchi zote za Africa ikiwemo south Africa na Nigeria..uchumi wake haufiki $ 2 trillion. Wakati USA yenyewe peke yake uchumi wake ni zaidi $16.trillion. Halafu hapo Jiwe anasema Tanzania ni nchi tajiri sana...na haitahitaji msaada.
Hatofautiani kiakili na wale jamaa waliokutana na hela za korosho wakaanza kuwanywesha mbuzi "beberu" bia eti wawapandishe ashki majinuni!!!!
 
Back
Top Bottom