Yoda
JF-Expert Member
- Jul 22, 2018
- 37,298
- 45,579
Tazama listi ya nchi ambazo ni wananunuzi wakubwa wa bidhaa za China na kiasi walichonunua kutoka China mwaka jana.
1. USA - $531 billions
2. Hong Kong- $313 billions
3. Japan- $151 billions
4. Korea Kusini- $135 billions
5. Vietnam- $125billions
6. Ujerumani-$103 billions
7. Netherlands- $92billions
8. India- $88billions
9. Uingereza- $79billions
10.Taiwan- $71 billions
China Uchumi wao umeunganika mno na uchumi wa dunia. Mizozo,vurugu au vita yoyote kubwa na mojawapo ya haya mataifa itakuwa na athari mbaya sana.
Katika washirika wake wakubwa wa kibiashara ni India na Vietnam ambazo zingeweza kusimama naye lakini nazo zina matatizo na pride zao za muda mrefu dhidi ya China jambo ambalo linaifanya China kukosa mshirika mkubwa wa Uhakika katika mgogoro wowote na USA au West.
China imetanguliza busara na maslahi ya uchumi wake mbele zaidi kuliko sifa za kijinga katika mgogoro wake na Taiwan, China ni wazuri sana katika jambo hili.
1. USA - $531 billions
2. Hong Kong- $313 billions
3. Japan- $151 billions
4. Korea Kusini- $135 billions
5. Vietnam- $125billions
6. Ujerumani-$103 billions
7. Netherlands- $92billions
8. India- $88billions
9. Uingereza- $79billions
10.Taiwan- $71 billions
China Uchumi wao umeunganika mno na uchumi wa dunia. Mizozo,vurugu au vita yoyote kubwa na mojawapo ya haya mataifa itakuwa na athari mbaya sana.
Katika washirika wake wakubwa wa kibiashara ni India na Vietnam ambazo zingeweza kusimama naye lakini nazo zina matatizo na pride zao za muda mrefu dhidi ya China jambo ambalo linaifanya China kukosa mshirika mkubwa wa Uhakika katika mgogoro wowote na USA au West.
China imetanguliza busara na maslahi ya uchumi wake mbele zaidi kuliko sifa za kijinga katika mgogoro wake na Taiwan, China ni wazuri sana katika jambo hili.