KENPAULITE
JF-Expert Member
- Apr 6, 2017
- 3,510
- 3,311
Clearly your education system is the issue hereKenya siyo tu ina Uchumi mkubwa klk TZ yetu bali pia ina purchasing power kuliko TZ tena pengo la purschasing power ni kubwa zaidi na hii ni kwa sababu ya UN.
Nairobi ni Makao makuu ya UN Afrika, UN ina ofisi nne tu Kuu Duniani, Geneva, Nairobi, New York na Vienna, sasa waajiriwa wa UN wanachangia kwa kiasi kikubwa sana purschasing ya Kenya, na imekuwa hivyo tangia miaka ya 60' huko, hivyo hakuna cha ajabu hapo!