Uchumi unapaa kuliko nchi zote Afrika, Safaricom ya Kenya wana faida ya Tril 1.2; TZ jumlisha mabenki na simu hatufikii

"Middle class" ndio wenye "Purchasing Power",Tanzania "middle class" ilikuwa inakuwa wakati wa utawala wa JK,Utawala huu kila kitu kimevurugika, "Middle class" imeanza kunyea (Shrink),.wenye maduka manafunga,wenye makampuni wanahamisha biashara zao nchi jirani..

Wakenya anajitambua sera yao ni "capitalism",juhudi zako ndio zitakazokutoa kimaisha,Tanzania wana sera za kila kitu kiwe kinamilikiwa na serikali,Wakenya wanazungumzia kuitawala anga,juzi tu wamerusha "satellite" angani,Tanzania bado wanaongelea hakuna madawati shuleni..,tukubali tu hawa watu wametupita..

Unaongelea Kenya ipi? Kama ni ile ambayo watu wake ZAIDI ya 4million wanataka kufa kwa njaa, basi tuliza upya mawazo YAKO.
 
Hatuwapati wakenya kwa maendeleo,wenzetu wako mbali,hata USA nchi tajiri kuliko zote duniani kuna omba omba mitaani

Tofautisha welfare na GDP. Marekani uchumi mkubwa lkn welfare of the citizens haiwezi zifikia Scandinavian countries. Kwa hiyo uchumi ni kitu kimoja welfare ni kitu kingine.
Mfano GDP za Nigeria na India, ni KUBWA lkn ustawi wa watu wake uko chini.
 
Tofautisha welfare na GDP. Marekani uchumi mkubwa lkn welfare of the citizens haiwezi zifikia Scandinavian countries. Kwa hiyo uchumi ni kitu kimoja welfare ni kitu kingine.
Mfano GDP za Nigeria na India, ni KUBWA lkn ustawi wa watu wake uko chini.
Mkuu,kuna sehemu yoyote niliyozungumzia kuhusu welfare...
 
Hauna akili kama wenzako, cha ajabu ni kipi hapo? Kenya ina uchumi mkubwa kuliko TZ yetu na Dunia yote inalijua hilo, ina maana wana purchasing power kubwa kuliko TZ yetu au watu wenye uwezo wa kutumia fedha Kenya kununua bidhaa ni wengi zaidi ya TZ sasa hiyo aibu inatokea wapi?

Kwa hyo kuna na uchumi mdogo unsona sifa kama babako anavyoona sifa kujiita rais wa wanyonge kumbe ni umaskini wa akili
 
Hakuna kitu TZ tungefanya kwani Ofisi za UN Kenya zililetwa na Wazungu wakati wa Ukoloni, hivyo ni juhudi za Waingereza kupeleka Ofisi kwenye Koloni lao kwa sababu walizozijua wao wenyewe, na Uingereza ni moja kati ya nchi zinazotoa maamuzi huko UN, siyo kwamba Wakenya wenyewe kwa jihudi zao ndiyo walioleta UN Nairobi hapana, zilikuja kabla ya Uhuru!



We jamaa bwana mbona unaleta hoja zisizo na mashiko, tukueleweje au ndio uwezo wako wa kuchanganua mambo ulipo ishia?

Kenya wametuzidi pato la taifa around TZS trilioni arobaini hivi halafu unaaongea kuwa Ofisi zilizofunguliwa na wazungu huko Kenya ndio sababu?!!
 
MKuu mboa kwenye GDP inaonekana bado kidogo tu tuwapate ?

wapo number 6 sisi tupo 8 na tofuti ndogo sana nikingalia hapo, tatizo nini sasa ?

Kenya - $88.27 billion
Kenya holds on to the sixth position with a total GDP of $88.27 billion. The country is generally perceived as Eastern and central Africa's hub for Financial, Communication and Transportation services.

Ethiopia - $85.66 billion
Standing tall at the seventh position with $85.66 billion is Ethiopia. The country leads Tanzania with a total of $26 billion. Ethiopia’s economy is concentrated in the services and agriculture sectors.

Tanzania - $56.66 billion
Tanzania holds the eight position with a total of $56.66 billion as the country’s GDP. Tanzania is largely dependent on agriculture for employment, accounting for about half of the employed workforce.


Chuki zinawapa upofu wabongo, Gap la USD 30 Billioni kusini mwa jangwa la Sahara unasema tunakaribia kuwapata?
 
"Middle class" ndio wenye "Purchasing Power",Tanzania "middle class" ilikuwa inakuwa wakati wa utawala wa JK,Utawala huu kila kitu kimevurugika, "Middle class" imeanza kunyea (Shrink),.wenye maduka manafunga,wenye makampuni wanahamisha biashara zao nchi jirani..

Wakenya anajitambua sera yao ni "capitalism",juhudi zako ndio zitakazokutoa kimaisha,Tanzania wana sera za kila kitu kiwe kinamilikiwa na serikali,Wakenya wanazungumzia kuitawala anga,juzi tu wamerusha "satellite" angani,Tanzania bado wanaongelea hakuna madawati shuleni..,tukubali tu hawa watu wametupita..
Point noted, uongozi wa sasa una wivu na matajiri na baada ya kufungua milango kwa watu binafsi inaweka nguvu nyingi kwenye vyombo vya kiserikali ambavyo haviwezi kuendelea vyote havitakuwa tofauti na Tanesco, mifano hai ni TTCL, Reli, suma jkt nk, Huu ni ukosefu wa upeo wa jiwe, atiachia nchi madeni, lack of democratic institutions na lack of proper innovative education, hatuendi mbele tunarudi nyuma tukiwa hai
 
Point noted, uongozi wa sasa una wivu na matajiri na baada ya kufungua milango kwa watu binafsi inaweka nguvu nyingi kwenye vyombo vya kiserikali ambavyo haviwezi kuendelea vyote havitakuwa tofauti na Tanesco, mifano hai ni TTCL, Reli, suma jkt nk, Huu ni ukosefu wa upeo wa jiwe, atiachia nchi madeni, lack of democratic institutions na lack of proper innovative education, hatuendi mbele tunarudi nyuma tukiwa hai
wanarejea yale yale makosa yaliyofanywa na Nyerere,Mashirika ya umma yote yamekufa,!!!!serikali kama inataka sera za kijamaa bora wangeliiga ujamaa wa Scandinavia,au wangelifanya mfumo wa mashirika aya umma yawe na ubia na mashirika au na makampuni binafsi..,Hivi wanavyotaka kafanya wao kuwa kila kitu kiwe cha serikali hata China wameshindwa..
 
Back
Top Bottom