Stoudemire
JF-Expert Member
- Mar 24, 2012
- 839
- 207
Wanandugu,
Mimi huwa naenda pale Uchumi siku za weekend kununua mahitaji kadha wa kadha. Lakini kuna katabia pale ambacho huwa kinanikera sana. Mara nyingi wale cashier wao hawana chenji ndogo ndogo. Yani kila nikienda naacha sh 50, 100 au 200 kwa kudai eti hawana chenji. Na hii inanikuta kila siku nipitapo pale.
Sasa najiuliza ni uongozi umeamua usiwape chenji makusudi ili iwe ni sababu ya wao kupata "TIPS" au ni wao wenyewe wanaficha chenji ili wale fedha zetu sisi wavuja jasho?
Nawasilisha!
Mimi huwa naenda pale Uchumi siku za weekend kununua mahitaji kadha wa kadha. Lakini kuna katabia pale ambacho huwa kinanikera sana. Mara nyingi wale cashier wao hawana chenji ndogo ndogo. Yani kila nikienda naacha sh 50, 100 au 200 kwa kudai eti hawana chenji. Na hii inanikuta kila siku nipitapo pale.
Sasa najiuliza ni uongozi umeamua usiwape chenji makusudi ili iwe ni sababu ya wao kupata "TIPS" au ni wao wenyewe wanaficha chenji ili wale fedha zetu sisi wavuja jasho?
Nawasilisha!