Jaman Hebu njooni tujadili kidogo, simmemsikia bwana mkubwa akisema mwenyewe kwenye ule mkutano wa chama? Alisema tumewaburuza.
Sasa Hebu tupeane elimu Jamani, kila kona unayopita watu wanalalama, uchumi mbaya, nimefanya kazi lakini sipati hela huyu jamaa hafai hata kuwa balozi wa kuku... Jamani kama Hivyo ndivyo mbona anawaburuza?
Kuna Nini nyuma ya pazia? Je Ni kweli wananchi wanamkubali au kuna namna?
Na kama kuna namna na si mapenzi ya wananchi Nini kifanyike ili Haki ipatikane?
Sasa Hebu tupeane elimu Jamani, kila kona unayopita watu wanalalama, uchumi mbaya, nimefanya kazi lakini sipati hela huyu jamaa hafai hata kuwa balozi wa kuku... Jamani kama Hivyo ndivyo mbona anawaburuza?
Kuna Nini nyuma ya pazia? Je Ni kweli wananchi wanamkubali au kuna namna?
Na kama kuna namna na si mapenzi ya wananchi Nini kifanyike ili Haki ipatikane?