Swali bado linabakia vile vile kuwa bila wawekezaji kutoka nje(kama JK anavyoamini) tunaweza kweli kuendelea? Tutaweza vipi? isije kuwa tunajaribu kukataa kitu ambacho kina ushahidi waukweli wake.
Mwanakijiji,
Naona hii ndiyo mindset na imani ya Kikwete. Umemsikia UN akiwaomba marafiki zetu watusaidie kuunda ajira ya vijana wetu. Hata ajira sasa ni jukumu la wafadhili.