Blandes
JF-Expert Member
- Sep 17, 2011
- 401
- 228
Nam nimewakimbia hawafaiNdio maana nimewahama voda, vifurushi vyao beiiii
Nam nimewakimbia hawafaiNdio maana nimewahama voda, vifurushi vyao beiiii
Wale wote waliosherekea bakhresa kuzamisha billion 225,Hahahaha...kuna mtu hapo juu anataka tumpe miundo mbinu yote ss tukusanye kodi ili siku akipandisha gharama turudi humu kulialia...
Vodacom has never been a competitor to Azam hadi Azam amfukuze, Nature ya business yao ni tofauti kabisa. They can co exist kwenye udhamini wa mpira bila shida yoyote maana sio washindani...vodacom, Azam, sportpesa & SBL they can co exist maana sio washindani wa kibiashara.ilikuwa lazima wajitoe , wa kurusha matangazo atoe bonas ya 500m ...just bonus nahisi azam aliamua kumfukuza voda mapema na voda kaona isiwe tabu , make ilikuwa lazima wapande dau utatoaje milion 80 alafu aongezewe bonus ya 500m
Kwa kweli tutoke VPL na kwenda APLAzam watadhamini hakuna namna
SawaKwa kweli tutoke VPL na kwenda APL
Umeongea pointilikuwa lazima wajitoe , wa kurusha matangazo atoe bonas ya 500m ...just bonus nahisi azam aliamua kumfukuza voda mapema na voda kaona isiwe tabu , make ilikuwa lazima wapande dau utatoaje milion 80 alafu aongezewe bonus ya 500m
Mbona kuna watu walikuwa wanasema jamaa anapiga hela kumbe kupiga hela hadi apandishe vifurushiWale wote waliosherekea bakhresa kuzamisha billion 225,
Wajiandae na msiba wa vifurushi,
JAMAA keshaanza tayari,
Lazima atafute namna ya kurudisha ile pesa yake.
Hiki ulichoandika kuna watz hawakijui, tunaraia wagumu mnoVodacom has never been a competitor to Azam hadi Azam amfukuze, Nature ya business yao ni tofauti kabisa. They can co exist kwenye udhamini wa mpira bila shida yoyote maana sio washindani...vodacom, Azam, sportpesa & SBL they can co exist maana sio washindani wa kibiashara.
vodacom kajitoa kwakua as a company ana make loss now, then why kuendelea kua na mradi kwenye portfolio yako unao dry ht ile faida kidogo unayopata?
mbona serengeti wanadhamini Taifa Stars na hakuna huo uzio.Azam wapo kibiashara hawana hizo mambo mkuu.Bia na Bakhressa wapi na wapi?..
Ngoma inaweza kuwa ngumu..kuna fununu tbl walitaka kuingia ila Azam akaleta uzio..
Hii ni biashara ni ushindani... ni akili kubwa tu inaweza kung'amuaKampuni ya Mawasiliano Vodacom imelitaarifu Shirikisho la Mpira wa miguu Tanzania Kuwa haina nia ya kuendelea kuidhamini ligi kuu Tanzania Bara maarufu kama Vodacom Premier League ikitoa sababu ya mwenendo mbaya wa Biashara.
Ni uchumi? Bwana Bakhresa kayatoa kwenye uchumi upi mabilioni atakayoyaweka kwenye Mpira?
Nimewaza kwa sautiUmeongea point
Mkuu nahisi wewe umewaza kiphd zaidi wala naunga mkono hoja yako ila naipinga kwa mjia moja ama myingine, azam nahisi anaitamani sana hii ligi yetu iwee juu zaidi ndo maana mm azam kutoa zile bonus kwa washindi ulitegemea mdhamini mkuu akae kinyonge? kama mfuko wake hauruhusu ndo maana kaamua kujiweka pembeniVodacom has never been a competitor to Azam hadi Azam amfukuze, Nature ya business yao ni tofauti kabisa. They can co exist kwenye udhamini wa mpira bila shida yoyote maana sio washindani...vodacom, Azam, sportpesa & SBL they can co exist maana sio washindani wa kibiashara.
vodacom kajitoa kwakua as a company ana make loss now, then why kuendelea kua na mradi kwenye portfolio yako unao dry ht ile faida kidogo unayopata?
Jjiulize tu swali moja, nani aliyeipandisha ligi yetu na kukua hapa ilipofika kama sio Azam mwenyewe?TFF inaendeshwa kipumb.v sana..
Azam wamelipa haki za kuonesha mpira kwa miaka kumi in lumpsum bila kujal kuwa league yetu inakuwa kila mwaka..
Alaf Voda com ndio wajipendekeze na kutoa hela za bure huku Azam wakilamba hela za matangazo na subscription fee.. League jinga hiyo
Kampuni ya Mawasiliano Vodacom imelitaarifu Shirikisho la Mpira wa miguu Tanzania Kuwa haina nia ya kuendelea kuidhamini ligi kuu Tanzania Bara maarufu kama Vodacom Premier League ikitoa sababu ya mwenendo mbaya wa Biashara.
Ni uchumi? Bwana Bakhresa kayatoa kwenye uchumi upi mabilioni atakayoyaweka kwenye Mpira?
ni azamJjiulize tu swali moja, nani aliyeipandisha ligi yetu na kukua hapa ilipofika kama sio Azam mwenyewe?
Mechi za Taifa stars zinaonyeshwaga na Azam?..yaani Tff ana mkataba wa kudumu na Azam wa kuonyesha games na other contents za Taifa Stars??..mbona serengeti wanadhamini Taifa Stars na hakuna huo uzio.Azam wapo kibiashara hawana hizo mambo mkuu.
ata gawio siku hizi hatupativodacom wamepata hasra nadhan 14B mwaka huu alone
Kampuni ya Mawasiliano Vodacom imelitaarifu Shirikisho la Mpira wa miguu Tanzania Kuwa haina nia ya kuendelea kuidhamini ligi kuu Tanzania Bara maarufu kama Vodacom Premier League ikitoa sababu ya mwenendo mbaya wa Biashara.
Ni uchumi? Bwana Bakhresa kayatoa kwenye uchumi upi mabilioni atakayoyaweka kwenye Mpira?
ata gawio siku hizi hatupati