Bitcoinbase
JF-Expert Member
- Jul 17, 2016
- 315
- 284
Maisha ya mahusiano ya siku hizi
1. Jipende , jithamini , jali afya kula vizuri , pendeza.
2. Piga kazi ,, tafuta pesa ,, weka malengo .
3. Katika yote hayo mtangulize Mungu ,,,usisahau sala kila uingiapo na kutoka .
Nawe utakuwa mwenye furaha mengine ni ziada.
PENDA KUJIBEBA HAKUNA WAKUKULETEA FURAHA ...
Mke mwema atakuja tu kwa wakati wake ukifika ,,, usiseme nachelewa au mbona wenzangu tayri wameolewa au wameshaoa.
To be single , doesn't mean that , you are not good enough to fit with some one .. In fact you are great that , you cant just give your dignity and love to anyone around the streets.
Calm down ,,, remember even Abraham was blessed at his very old age.
Live peacefully and do good deeds.
Sent using Jamii Forums mobile app