Uchomaji moto misitu

Mhache

JF-Expert Member
Jun 20, 2008
345
24
Misitu ni muhimu sana kwa maisha yetu. Nilisikiliza kwenye vyombo vya habari juzi kuhusiana na Msitu wa Shengene uliopo Same/Mwanga Kilimanjaro. Watu wanakata miti na kuchimba madini kwenye vyanzo vya maji. Hii ni hatari sana. Kwani ni sawa na kuuwa watu. Iwapo hali hiyo itaendelea ina maana baada ya muda fulani watu watakufa kwa kukosa maji.

Serikali na wananchi wanatakiwa kujua madini hayo yatawapa faida ya muda mfupi kwani yatakapoisha wananchi wataendelea kupata wapi maji. Juhudi ya ziada inatakiwa ili kuwaelewesha wananchi umuhimu wa maji na adhari za faida za haraka.

Je serikali inafanya nini kutatua matatizo kama hayo? Sheria zipo? Na kama zipo zinasemaje kuhusiana na matatizo ya uharibifu wa mzingirA hasa misitu.
 
Misitu ni muhimu sana kwa maisha yetu. Nilisikiliza kwenye vyombo vya habari juzi kuhusiana na Msitu wa Shengene uliopo Same/Mwanga Kilimanjaro. Watu wanakata miti na kuchimba madini kwenye vyanzo vya maji. Hii ni hatari sana. Kwani ni sawa na kuuwa watu. Iwapo hali hiyo itaendelea ina maana baada ya muda fulani watu watakufa kwa kukosa maji.

Serikali na wananchi wanatakiwa kujua madini hayo yatawapa faida ya muda mfupi kwani yatakapoisha wananchi wataendelea kupata wapi maji. Juhudi ya ziada inatakiwa ili kuwaelewesha wananchi umuhimu wa maji na adhari za faida za haraka.

Je serikali inafanya nini kutatua matatizo kama hayo? Sheria zipo? Na kama zipo zinasemaje kuhusiana na matatizo ya uharibifu wa mzingirA hasa misitu.

sheria zipo na zinasema atakayeharibu mazingira achukuliwe hatua kuna sheria tatu kuhusu mazingira sheria ya makosa ya jinai (section 321),sheria ya misitu na EMA(environmental management act,2004).

Lakini kama serikali inausika bado tunajiuliza kitu "sheria ipo kwa masilahi ya nani?" tunarudi kwa Karl Marx"the law is their to safeguard the interest of the ruling class" and law imposes sanctions to the ruled in case of non compliance"

Ndo maana mi kwa upande wangu naamini kuwa "morals" imposed to the people through education from childhood is the best rather than these laws of the imposed to safeguard interest of ruling class.

Chonde chonde ndugu yangu kwa kuwa huwa hausomi makala tunazoandika kwenye forum pole sana nilishasema hata anayejua sheria ya mazingira "ni mchafuzi wa kwanza" nikatoa mfano wa mtu aliyesoma "B.A geography and environmental studies"
 
Last edited:
Back
Top Bottom