Ritz
JF-Expert Member
- Jan 1, 2011
- 46,882
- 32,281
Wasamehe hawajui watendalo!
Kina nani sasa hawajuhi watendalo ambao wanatakiwa kuomba msamaha kama siyo wewe, baada ya kuona mipango yako imekwama unawalazimisha Mods waufunge huu uzi kwa nini?
Huu uzi utakawa fundisho kwa wale matapeli wote wanaotumia majina ya watu kufanyia utapeli wao.
Aliyetakiwa kulalamika uzi huu ufungwe ni Mohamed Said, ambaye jina lake linahusishwa na uchochezi siyo wewe.
Haya maandishi yanasomwa kwingi ulivyojinasibisha na Kambarage mpaka Mohamed Said, anakuita mtoto wa Kambarage na wewe kimya wala haukanushi mtu akihoji tu unakimbilia kwa Mods.
Mods hata kama mnaufunga huu uzi upigieni mstari lakini ubaki hapa ulipo kuna vizazi vijavyo vitapata kujifunza.
Last edited by a moderator: