zomba
JF-Expert Member
- Nov 27, 2007
- 17,240
- 3,910
The Big Show, Ritz, Zomba na wengine,
Naona hilo suala la mimi ni mtoto wa nani linawasumbua sana!
Sijajua tatizo kwenu nini hasa, kinachowakera ama kuwafurahisha!
Tangu tuanze mjadala huu sija KANUSHA wala KUKUBALi kile mnachokihoji na ambacho mngependa nyinyi niseme,
Kwabahati mbaya au nzuri wengi mmeninukuu pale niliposema, "mimi Mwalimu Nyerere kama Baba yangu mzazi"
Lakini nitarudia tena kusema wapigania uhuru wote kwangu ni wazazi wangu, tena ni wazazi hasaaa!
Nisingependa kuenda ndani zaidi kwakuwa hili ni suala binafsi na linatutoa nje ya mjadala huu!
hii lugha ya slave masters ni ngumu,itabidi unisamehe
Kwani ilikuwa inaelekea wapi ........pangekuwa JF ni studio....ingebidi mpangwe halafu mfunguliwe kwa pamoja kila mmoja arapa kwa fujo aondoke ili akajifurahishe kuwa na yeye ni msanii.Mnaingia wengi sana halafu mnakuwa junks tupu.....
Narudia mnajidanganya sana kupeana vyeti na maitihani kihuni..mwisho wasiku mnabasi kuwa club ya mapumbavu..shid aiktokea kil anayekuja anataka solve kwa njiaile aliyonshindwa mwingine.
Hivi hiyo 83/17 haijabadilika na kuwa 75/25? Just asking.83 /17 Kama kawaida aliyoiacha Nyerere. Tutafika!
ILM imeathiri ubongo wako,avatar ni my daughter,anyway as per mila zenu,yule mwanao ushamcheza ngoma????Lady Alaska,
Wewe ni mwanaume au Mwanamke? Unatuchanganya kama mwanaume kwa nini unatumia Avatar ya KIKE unatupa wasiwasi.
ILM imeathiri ubongo wako,avatar ni my daughter,anyway as per mila zenu,yule mwanao ushamcheza ngoma????
Zomba
Soma shukrani zangu za Muago wa ushiriki wenu katika uzi huu,
Nimeeleza kwakini kuwa Yericko Nyerere ni nani?
Wanalichukia jina Nyerere sana,kila mahali wakiliona wanatamani kulilipua.Wanasahau majina yana njia nyingi kuwa sehemu nyingi na tofauti. Kuna Jesus wengi sana ktk latin countries, kuna majina muhamad dunia nzima, kuna Lee kila mahali..hawajawahi washwa nalo..ila hili wasilolitaka ktk Uhuru wa nchi ni issue.Si hawa hawa wanawashwa sana na mchakato wa kanisa katoliki kumtangaza kuwa mtakatifu.As if nao ni wakatoliki.
Mkuu Yeri', tuwekee Weka #, sisi wengine hasira zetu zi karibu na tu wepesi wa kuwa provocked hivyo tunachagua post za kusoma na hatusomi zote! haswa kwa kuzingatia, hii ndio top of the toppest threads kuchangiwa kuliko thread nyingine yoyote tangu jf kuanzishwa, ile 2006!, na hapa soon it hit 20,000 posts with 1000 pages!. You have "the powers!" na pia naomba nikiri Maalim Mzee Mohammed Said, "has the powers!"Zomba
Soma shukrani zangu za Muago wa ushiriki wenu katika uzi huu,
Nimeeleza kwakini kuwa Yericko Nyerere ni nani?
Hivi hiyo 83/17 haijabadilika na kuwa 75/25? Just asking.
Mkuu Yeri', tuwekee Weka #, sisi wengine hasira zetu zi karibu na tu wepesi wa kuwa provocked hivyo tunachagua post za kusoma na hatusomi zote! haswa kwa kuzingatia, hii ndio top of the toppest threads kuchangiwa kuliko thread nyingine yoyote tangu jf kuanzishwa, ile 2006!, na hapa soon it hit 20,000 posts with 1000 pages!. You have "the powers!" na pia naomba nikiri Maalim Mzee Mohammed Said, "has the powers!"
P.
Wanalichukia jina Nyerere sana,kila mahali wakiliona wanatamani kulilipua.Wanasahau majina yana njia nyingi kuwa sehemu nyingi na tofauti. Kuna Jesus wengi sana ktk latin countries, kuna majina muhamad dunia nzima, kuna Lee kila mahali..hawajawahi washwa nalo..ila hili wasilolitaka ktk Uhuru wa nchi ni issue.Si hawa hawa wanawashwa sana na mchakato wa kanisa katoliki kumtangaza kuwa mtakatifu.As if nao ni wakatoliki.
Zomba
Soma shukrani zangu za Muago wa ushiriki wenu katika uzi huu,
Nimeeleza kwakini kuwa Yericko Nyerere ni nani?
Mkuu Yeri', tuwekee Weka #, sisi wengine hasira zetu zi karibu na tu wepesi wa kuwa provocked hivyo tunachagua post za kusoma na hatusomi zote! haswa kwa kuzingatia, hii ndio top of the toppest threads kuchangiwa kuliko thread nyingine yoyote tangu jf kuanzishwa, ile 2006!, na hapa soon it hit 20,000 posts with 1000 pages!. You have "the powers!" na pia naomba nikiri Maalim Mzee Mohammed Said, "has the powers!"
P.
Umejipachika jina, Andrew Nyerere alishakuja akakukana humu, alisema kuwa kauliza Msasani hawakujui na sasa Butiama hawakujui.
Kujipachika nasaba usiyo nayo ni ujinga na utumwa wa kimawazo. Hususan inapokuja kujipachika jina la dikteta.
Sasa ulivyokuwa ananitisha eti nisihoji mahusiano yako na Nyerere takuwa natangaza vita na mods kisa wewe ni Verified User ulikuwa na maana gani.
Na kwa nini uliwadanganya wanaukumbi muda wote huo mpaka wengine wamekutetea kuwa wewe ni mtoto Julius Kambarage watu kama Ngongo, WildCard, wataweka wapi sura zao kwa jinsi walivyokuwa na uhakika kuwa Kambarage ni baba yako.
Na kwa nini ulikuwa unataka kuwafumba midomo watu kuwa wasiliongelee tena hili swala mtalimaliza kifamilia na Mzee Butiku.
Mods: Paw, Buchanan, na Invisible, huyu mtu anatakiwa hawaombe radhi nyie pamoja na wanaukumbi kuna watu mliwapiga ban kwa sababu ya kuhoji nasaba yake na Mwalimu Julius Kambarage, na kawapa usumbufu mkubwa sana, kaka yangu Jasusi, kwa hili taendelea kukupa lawama kwa ukimya wako mpaka kina mama Maria mzee Butiku wamepata usumbufu mkubwa, pamoja na watoto wengine wa Kambarage, wengine wametukanwa humu.
Ki ufupi huyu jamaa ni tapeli.
hata mimi hii kitu imenichanganya sana, najaribu kuunganisha dot lakini nashindwa...
Hapo umejaribu ku reasoning lakini naona logic kabisa kwenye hayo maswali yako...
Hapo kweli ni confusion.