Uchochezi wa Mohamed Said na dhihaka kwa Wapigania Uhuru wa Tanganyika na Zanzibar

Mkuu, wewe ni mtu wa Data. Mie nipo huku SIKONGE na siwezi kuja hazina. Nenda hazina na wakupe Data kwa mwaka jana Sikonge Hospital wamepokea fedha kiasi gani. Halafu nenda angalia Data ambazo Serikali na Hospital walikubaliana na njoo SIKONGE Hospital uone kama tunabagua kutibu mtu yeyote. Tunatibu kwa hasara tupu na wewe unasema kuwa tunafaidi? Kufaidi nini? Kutibu Waislaam ambao kesho ndugu zao wanatutukana?

Mie sitaki mnyamaze ila MSEME UKWELI. And the truth will set you free.
Hivyo unatutaka Waislamu tunyamaze ili tuzidi 'kupata misaada' na tusidai haki ya kujisaidia wenyewe ili baadae kuwe na Takwimu zinazoonyesha Waislamu wachache wananufaika na msamaha mkubwa uliolenga upande mmoja?
 
Kaka dua la kuku siku zote halimpati mwewe.

Mchakato wa MOU ya waislam umefikia wapi?

Kuku na nguruwe wako tofauti. Baada ya kuelewa kuwa kuna ukweli kwa aliyoandika Muhamed Said bali ni suwala la Kuku na nguruwe, Wasallam!
 
Mie natoka katika zile familia zilizokuwa zinapendelewa enzi hizo na Wakoloni. Ila walikuwa wanachagua kwenye familia nzima, wanachukua ukoo mmoja tu. Wakaja kuchagua ukoo wa Waislaam kwenye familia yetu (mie kwa mama na kwa baba kote kuna Waislaam zaidi) na mwanzo kabisa akachaguliwa Baba Mdogo (RIP) ambaye nasikia alikuwa mzuri sana darasani na mchezaji mpira. Jamaa akiwa ndani ya gari akipelekwa Tabora mjini shuleni, aliruka na kukimbia na kurudi nyumbani ambako aliishia kuwa Mkulima hadi alipofariki.

Wazee wa namna hiyo, lilikuwa kosa la nani? Unafikiri huo ni mfano mmoja?
Naona unaendelea kutowa exceptions badala ya kutowa takwimu za usawa. Kwako ni kuwa kuwa kundi fulani ambalo likipewa msaada linaweza likafanya maajabu. Huu ni mtizamo tuliokuwa tukitizamwa Waafrika na weupe!
 
Watu wananjia nyingi za kujipatia pesa. Mzushi huyo kauza kitabu!!!!!!!!!!!!

Kweli ndugu yangu unaamini kitabu changu ni uzushi?
Hao wote niliowataja hawakuwapo na kufanya hayo walofanya?

Hebu soma kipande hiki hapo chini kisha tafakari:

...chama cha TANU kama vuguvugu la siasa kilikuwa katika fikra za Abdulwahid kwa miaka mingi na alijitahidi sana kufanya bidii kuona kuwa TANU inaundwa. Chama ambacho kitawaunganisha wananchi wote bila ya kujali kabila au dini sasa kilikuwa hakizuiliki tena. Abdulwahid na uongozi wa TAA ndiyo waliopanda mbegu ya umoja. Ikiwa umoja huu ulikuja kuvunjwa mara tu baada ya uhuru wazalendo hawa waasisi hawana lawama.

Mkutano wa uzinduzi wa TANU ulifanyika Ukumbi wa Arnatouglo na ulihudhuriwa na kikundi kidogo cha takriban watu 20 miongoni mwao Julius Nyerere, Abdulwahid na Ally Sykes, Dossa Aziz, John Rupia, Mshume Kiyate, Makisi Mbwana, Jumbe Tambaza, Juma Waziri, Clement Mtamila, Rajabu Diwani, Schneider Abdillah Plantan, Marsha Bilali, Rashid Ally Meli, Frederick Njiliwa, Iddi Faiz Mafongo, Iddi Tulio, Denis Phombeah na wengineo...

(Kutoka ''Maisha na Nyakati za Abdulwahid Sykes...'')
 
Kuku na nguruwe wako tofauti. Baada ya kuelewa kuwa kuna ukweli kwa aliyoandika Muhamed Said bali ni suwala la Kuku na nguruwe, Wasallam!

Nikweli kikwete kakuvueni nguo na hapa hamna pakujitetea.

Umeelewa kwamba MOU ni haki kwa kila mmoja wetu, mwambie malenga Mohamedi mmefikia wapi ? tupatie habari kaka mpo wapi?

Kikwete kawaambia hadharani mpeleke MOU yenu je mmepeleka? hayo ndiyo malenga ya ushairi haramu wa Mohamedi kudanganya. Peleken MOU yenu ilinanyinyi mfaidi lakin wapi sikio lakufa haskii dawa kaka.

kaka tuambie japo tufuatilia tujue kwamba fursa mlopewa mmeitumia, MOU ya waislam iliserikali iwape msaada kaka mmefikia wapi?
 
mohamed said ni mdini endelevu

''Hivi sasa kuna vitabu viwili vilivyoandikwa na Wakristo wenyewe vinavyothibitisha kuwa Wakristo wametumia nyadhifa zao katika serikali kuuhujumu Uislam na Waislam.

Jan P van Bergen katika kitabu chake, ''Development and Religion in Tanzania,'' (1981) ametoboa siri kuhusu uadui aliokuwa nao Rais Mstaafu, Nyerere dhidi ya Uislam na Waislam.

Kitabu kinaeleza kwa ufasaha jinsi Nyerere wakati alipokuwa madarakani alivyokuwa akifanya mikutano ya siri na viongozi wa Kanisa kuweka mikakati ya kuupa nguvu Ukristo.

Katika mikutano hiyo Nyerere aliwahakikishia viongozi wa Kanisa kuwa anaaunga mkono Ukristo. Kitabu hicho kinaeleza jinsi Nyerere alivyotimiza ahadi yake hiyo kwa Kanisa kwa kuhakikisha kuwa anawapa Wakristo nafasi za juu katika serikali na chama.

Kitabu hiki kilikuwa kinauzwa Catholic Bookshop, Dar es Salaam. Lakini ilipokuja kudhihirikia Kanisa kuwa kitabu hiki kilikuwa kinatoa habari nyeti na siri za Kanisa kuhusu njama dhidi ya Waislam, kwa haraka sana kikaacha kuuzwa. Hadi hivi sasa kitabu hicho ni marufuku kuletwa tena Tanzania.


Kitabu cha pili ni cha Dr John C. Sivalon, ''Kanisa Katoliki na Siasa ya Tanzania Bara 1953 Hadi 1985'' (1992).

Kitabu hiki kinaeleza njama ndani ya serikali kuuhujumu Uislam. Sivalon anafichua kuwa kuanzia mwaka 1961 baada ya Tanganyika kupata uhuru, Kanisa lilikuwa na hofu mbili.

Hofu ya kwanza ilikuwa umoja wa madhehebu za Kiislam kati ya Sunni, Bohora, Ismailia na Ithnasheri. Hofu ya pili ilikuwa kuhamishwa kwa makao makuu ya EAMWS kutoka Mombasa kuja Dar es Salaam.

Kanisa lilikuwa linahofu kuwa mali walizokuwanazo Waasia Waislam zikitiwa katika harakati za Waislam ambao walikuwa na nguvu kubwa katika uwanja wa siasa zitaathiri maslahi ya Ukristo katika Afrika ya Mashariki. Kwa ajili hii Kanisa likatanganza kuwa Uislam ni adui wake na likaanza mikakati ya hujma dhidi ya Uislam ili kuudhoofisha.

Kuna kazi mbili zilizoandikwa na Waislam kuhusu uhusiano baina ya serikali na Waislam. Kazi ya kwanza ni tasnifu ya Kiwanuka, ''The Politics of Islam in Bukoba District'' (1973); kazi ya pili ni makala ya utafiti ''Islam and Politics in Tanzania'' (1989) iliyoandikwana mwandishi huyu.

Ilikuwa baada ya kusoma tasnifu ya Kiwanuka na kuona jinsi ukweli wa kuvunjwa kwa EAMWS kulivyopoteshwa ndipo kama Muislam na kama ada ya Uislam inavyodai kuwa pande mbili za mgogoro zote lazima zisikilizwe, ndipo nilipoamua kufanya utafiti na kuandika tatizo lile kwa mtazamo wa Waislam. Ukweli ambao kwa miongo miwili ulizuiwa usifahamike kwa Waislam.''

Je ndugu yangu huamini kama haya yametokea?
Bado una msimamo kwa mimi kuyaeleza haya nimegeuka mdini?
 
Nikweli kikwete kakuvueni nguo na hapa hamna pakujitetea.

Umeelewa kwamba MOU ni haki kwa kila mmoja wetu, mwambie malenga Mohamedi mmefikia wapi ? tupatie habari kaka mpo wapi?

Kikwete kawaambia hadharani mpeleke MOU yenu je mmepeleka? hayo ndiyo malenga ya ushairi haramu wa Mohamedi kudanganya. Peleken MOU yenu ilinanyinyi mfaidi lakin wapi sikio lakufa haskii dawa kaka.

kaka tuambie japo tufuatilia tujue kwamba fursa mlopewa mmeitumia, MOU ya waislam iliserikali iwape msaada kaka mmefikia wapi?

Jee hili nalo limo ndani ya kitabu cha Mohamed Said! Kiasi tushughudie migomo isiyo na kichwa kama wahusika ni ......
 
Mohamed Said,

Serikali inawapendelea wakristu kwa kodi za watanzania wote, ile fursa alotoa kikwete mpeleke MOU ya waislam ili serikali iwafaidishe, mchakato umefikia wapi, mmeshapeleka hiyo mou?
 
Last edited by a moderator:
WAGALA naona leo wametoka full force...amazing JF ya 2013 imekuwa so bold....mpaka mwenye najiuliza ikifika 2015 itakuwaje?
 
Jee hili nalo limo ndani ya kitabu cha Mohamed Said! Kiasi tushughudie migomo isiyo na kichwa kama wahusika ni ......

kaka unaweza kuwa mkubwa kwangu kiumri, uelewa wako unanipa mashaka
moja ya malalamiko ya mohamedi said ni kodi za watanzania kupewa wakristu kupitia mou, lakini siyo yeye tu hata wewe pia maudhui ya majadala kaka yanabeba maana moja tu dhulma dhidi ya waislam unapinga hoja hii? ukipinga nitakushangaa sana.

Sasa ilikuondoa utata na malalamiko kikwete alito fursa mpeleke MOU mpate hizo fedha mmesha andika proposal walau na mpo hatua gani kaka ? usilalamike tu wakati mnapewa fursa hamzitumii wenzenu wakisikia hivyo wanakesha kuandaa majalada na kutinga ikulu fasta sio kulalama.

MOU kaka pelekeni kikwete atawasaidia naamini wala stanii lakini chelewa yenu mwisho mambo yatabadilika. mmefikia wapi kaka?
 
DAIMA udini huendekezwa na watu wenye mawazo ya kimaskini, watu hawataki kwenda shule, tazama matokeo ya form 2 shule za kiislam zilivyofeli mawka huu, sasa hawa ndo wakija kukua wanaanza kusema nyerere mchawi kawaonea, hivi mmeona shule za wakatoliki wameshika kumi bora kwa 50% pia mmeona na majina ya watoto hao kumi bora ni ya KIKRISTU. Hii inaakisi kwamba hata form 4, 6 na elimu ya juu, itakuwa hivyohivyo, mtalaumu nyerer weeee na umaskini wa MALI na maazo vitawatafuna mpaka KABURINI

ndio maana tuna waambia huo ni mfumo ambao upo! Wakuonekana shule zote, ama maeneo yote ( mikoa ) ya waislam ufaulu wao ni mdogo! Kwakua sehem zote nyeti kanisa lime weka mawakala wa mfumo kristo kuakikisha waisla hatuendelei kielim. Na muhasisi wa mpango huo ni nyerere!
 
Yericko Nyerere,

IMEKUWAJE UMEHAMA KWENYE ILE POST YA AWALI UMEFUNGUA NYINGINE KWA SOMO HILI HILI?
Wanaukumbi rudini kwenye post ile ya ''Maaskofu...'' nimeweka postings huenda mkafaidika Insha Allah.

Nimekupa majibu ya maswali yako kwenye ile post ya mwanzoni.
Hata hivyo nakuwekea majibu yangu hapa chini:

1) Nimeathirika kwa kuona wazee wangu hawamo katika historia kwa hiyo hawatakuwamo katika kumbukumbu kama mashujaa wazalendo waliopigana kuung'oa ukoloni Tanganyika.

2) (Hilo la taifa sina haki ya kulijibu watajibu wenyewe wenye mamlaka mimi nitawajibia Waislam). Kizazi kijacho hakitajua ushujaa wa Waislam katika kupinga dhulma kama moja ya mafunzo ya Allah. Pili hawatajua nguvu iliyokuwapo katika Uislam Tanganyika katika karne ya 20 nguvu iliyopelekea kupigana na Wajerumani katika vita vya Maji Maji 1905.

3) Babu yangu Salum Abdallah alikuwa katika African Association na TANU na aliongoza mgomo (general strike) ya 1947 Tabora na 1953 yeye na wenzake walifanya mkutano wa mwisho na wa siri wa TAA kutayarisha mjumbe Germano Pacha kuhudhuria kuasisiwa kwa TANU Dar es Salaam 7 Julai 1954. Juu ya haya alikuwa mmoja wa wafadhili wa chama. 1955 aliasisi Tanganyika Railway African Union (TRAU) akiwa mwenyekiti wa kwanza. 1960 aliongoza mgomo wa Railway uliodumu siku 82. Huu hadi leo umebaki mgomo wa kihistoria hawajaweza wafanyakazi kugoma kwa miezi 3.

4) Nilitegemea Nyerere angeliwaadhimisha katika uhai wake angalau kwa kuwataja au kuwapa heshima zao stahiki lakini akawa anakebehi juhudi za TAA na kufikia kusema kuwa hakumbuki Abdulwahid Sykes alikuwa na nafasi gani katika chama yeye alipoingia TAA Dar es Salaam mwaka 1953. (Nikawa na taarifa nyingine kuwa hakuwa anapenda Waislam wahisishwe na juhudi za kuikomba Tangnayika au yeye binafsi kuhusishwa na Abdu Sykes, Kiyate Mshumi, Sheikh Hassan bin Amir, Sheikh Suleiman Takadir na wengine wengi.) Kabla ya kustaafu alitoa medali 3, 979 kuwaadhimisha Watanzania walioifanyia makubwa nchi yetu. Hata mmoja katika wale waliopigania uhuru wa Tanganyika alikuwa katika ile orodha.

5) (Sijalielewa swali labda unifafanulie).

6) Najua mengi kiasi changu katika historia ya Uislam duniani lakini kitabu changu ni kuhusu Waislam wa Tanganyika.

7) Nilichoandika ni historia ya uhuru wa Tanganyika na mchango wa Waislam katika vita ile. Jina la kitabu linajieleza.

8) Huwezi kulazimisha watu sina uwezo huo nilichoandika ni historia ya wazee wangu wakati wa kupigania uhuru. Halikadhalika sina uwezo wa kulazimisha vyuo vinialike. Naalikwa kwa kuwa wameona watanufaika na elimu yangu katika somo hilo.

9) Nawatambua wote 17 na najua hadi historia zao. Kuna wengine walistahili wawepo katika ile orodha ya waasisi wa TANU lakini hakuwapo kwa kuwa mkutano usingeweza kuhudhuriwa na kila mtu. Mfano Sheikh Hassan bin Amir, Dk. Michael Lugazia, Ali Migeyo, Hamza Mwapachu na wengine wengi.
 
Last edited by a moderator:
ndio maana tuna waambia huo ni mfumo ambao upo! Wakuonekana shule zote, ama maeneo yote ( mikoa ) ya waislam ufaulu wao ni mdogo! Kwakua sehem zote nyeti kanisa lime weka mawakala wa mfumo kristo kuakikisha waisla hatuendelei kielim. Na muhasisi wa mpango huo ni nyerere!

Kumbe hata kikwete, kawambwa, bilali, said mwema, husen mwinyi nk, nao ni wakala, hii inaweza kuwa maajabu ya mwaka kwa watanzania. kwakweli akutukanae hakuchagulii tu ewala kaka kama hata maalhaji ni mawakala wa mfumo kristo! inshallah kaka.
 
kaka unaweza kuwa mkubwa kwangu kiumri, uelewa wako unanipa mashaka
moja ya malalamiko ya mohamedi said ni kodi za watanzania kupewa wakristu kupitia mou, lakini siyo yeye tu hata wewe pia maudhui ya majadala kaka yanabeba maana moja tu dhulma dhidi ya waislam unapinga hoja hii? ukipinga nitakushangaa sana.

Sasa ilikuondoa utata na malalamiko kikwete alito fursa mpeleke MOU mpate hizo fedha mmesha andika proposal walau na mpo hatua gani kaka ? usilalamike tu wakati mnapewa fursa hamzitumii wenzenu wakisikia hivyo wanakesha kuandaa majalada na kutinga ikulu fasta sio kulalama.

MOU kaka pelekeni kikwete atawasaidia naamini wala stanii lakini chelewa yenu mwisho mambo yatabadilika. mmefikia wapi kaka?

Ndugu yangu kuwa makini katika maandishi yako.

MoU wako wataalamu wa somo hilo mimi huwa silizungumzii.

Mimi eneo langu ni historia ya uhuru wa Tanganyika na yaliyotokea.
 
kaka mbona unajifedhehesha sana, mjadala unaongelea mohamed said wewe unaleta ya maasikofu vipi mkuu wangu?

Uwezo wako na akili zimeathiliwa na maasikofu, anzisha uzi uupe jina la maasikofu maana wala hujui unajadili kitu gani kaka.

Naishia hapo jitafakali understand the context of the topic don't panic and jump like Ilunga anayetaka wauliwe mapadri kwa kosa la serikali na polisi wake hakuna uhusiano hata kidogo, where are we going? hata kuielewa mada inakuwa tatizo? kwanini waitwe maasikofu hapa ndiyo hoja iliyombele yetu?

mzee! Leo ume vuta cha wapi Arusha au Moro
 
Na mimi nimekuhukumu kutokana na matendo yako.

Yericko, tayari tuna mohamed Said hapa JF,je unaweza kutuletea Cardinal Pengo ili naye tumuulize maswali yetu kama anavyoulizwa Mohamed Said?

Hujui hata unachokiandika kwa hakika..Unalinganisha kichuguu na Mlima Kilimanjaro? Ratiba yake iko full kwa 2013 fanya booking kuanzia septemba 2014.
 
mzee! Leo ume vuta cha wapi Arusha au Moro

Wewe kaka huwa unauza cha arusha nakuachaga tu kukusemea kwa kamanda Andengenye, hii haiwezi kuwa makuluhu ni najisi kwangu nasitumiagi, endelea na wateja wako.
 
Nimezungumza kama mtanzania yeyote yule anaekereka na uchochezi wa Mohamed Said,

Sijabeba undugu damu katika hili.

Waeleze ukweli mkuu ..... Wanajazana ujinga kwa references za hao waislam wachache wachochezi wamaojidai wamesoma kumbe si kweli......muislam aliyesoma, kasoma seminary ..... Kwa kifupi hiyo issue ya elimu naona serikali ije na policy ya kuchagua mtu kwa ufaulu na uwezo mpaka makazini tuone hao waislam wanaosemea watatoka wapi ..... Wao wanachotaka ni upendeleo na kuvuna wasichopanda!

Angalia matokeo ya form two yaliyotolewa.....top ten students ni nani, bottom schools ni zipi! .... Mpaka serikali inatifautisha ranks kwa shule za binafsi na serikali ili kuficha aibu bana ..... Waislamu someni, acheni uchochezi usiowasaidia..... Hakuna nchi inayofuata mfumo wa kiislam imeendelea dunia hii ...... Hata wairan wao hawataki kujiita waislam!
 
Back
Top Bottom