Uchochezi wa Mohamed Said na dhihaka kwa Wapigania Uhuru wa Tanganyika na Zanzibar

Si kweli! vitendo vyako vipo wazi.
...unatafuta pa kutokea! kwanza ulimdandia mwanasiasa kijana wa chama tawala ili akupe mdahalo, akakushtikia na kukutosa, sasa unaona njia ya kutokea ni kupitia Mohamed Said.

Kama Mohamed Said atakujibu basi itakuwa amekufanyia hisani sana, vizuri kawalete Maaskofu waje hapa na majina yao kamili (kama Mohamed Said anavyojiamini na jina lake kamili) ili waingie mdahalo na Mohamed Said, si wewe Yericko.

Ili uweze kupembuka na kufaidi mang'amuzi ya nera, ni vema ukaangalia kkilichoandikwa kuliko kuniangalia mimi!

Mimi sijamjadili Mohamed Said binafsi, bali nimeyazungumzia maandiko yake, vivyohivyo kaa katika dhana hii!
 
Ili uweze kupembuka na kufaidi mang'amuzi ya nera, ni vema ukaangalia kkilichoandikwa kuliko kuniangalia mimi!

Mimi sijamjadili Mohamed Said binafsi, bali nimeyazungumzia maandiko yake, vivyohivyo kaa katika dhana hii!
Na mimi nimekuhukumu kutokana na matendo yako.

Yericko, tayari tuna mohamed Said hapa JF,je unaweza kutuletea Cardinal Pengo ili naye tumuulize maswali yetu kama anavyoulizwa Mohamed Said?
 
Nimezungumza kama mtanzania yeyote yule anaekereka na uchochezi wa Mohamed Said,

Sijabeba undugu damu katika hili.

Kati ya watu nnaowakubali hapa JF wewe ( Yericko) ni mmojawapo.Lakini sometimes unaegemea sana upande mmoja kaka. Kila mtu ana maoni yake na mtazamo wake.

Wengi wetu tumekwenda shule na wengine bado tupo shule, kuna vitu vingine huitaji elimu ya juu kujua lizungumzwalo ni kweli ama sio kweli. Kama umebahatika kusoma kitabu chake ( M. Said) jaribu kupambanua uone asemayo ni kweli au analeta uchochezi. Hata iweje histori haiwezi futika. Usinielewe vibaya ndgu tunabadikishana mawazo tu


Sent via EyePhone
 
Si kweli! vitendo vyako vipo wazi.
...unatafuta pa kutokea! kwanza ulimdandia mwanasiasa kijana wa chama tawala ili akupe mdahalo, akakushtikia na kukutosa, sasa unaona njia ya kutokea ni kupitia Mohamed Said.

Kama Mohamed Said atakujibu basi itakuwa amekufanyia hisani sana, vizuri kawalete Maaskofu waje hapa na majina yao kamili (kama Mohamed Said anavyojiamini na jina lake kamili) ili waingie mdahalo na Mohamed Said, si wewe Yericko.


kaka mbona unajifedhehesha sana, mjadala unaongelea mohamed said wewe unaleta ya maasikofu vipi mkuu wangu?

Uwezo wako na akili zimeathiliwa na maasikofu, anzisha uzi uupe jina la maasikofu maana wala hujui unajadili kitu gani kaka.

Naishia hapo jitafakali understand the context of the topic don't panic and jump like Ilunga anayetaka wauliwe mapadri kwa kosa la serikali na polisi wake hakuna uhusiano hata kidogo, where are we going? hata kuielewa mada inakuwa tatizo? kwanini waitwe maasikofu hapa ndiyo hoja iliyombele yetu?
 
Mimi baada ya kusoma maandiko ya Muhamed Said niliona nisiwe na akili ya kibubutu ikabidi na mimi nitafute nyaraka pamoja na kutafuta hizo adidu za rejea zake na baadhi ya shajara alizozitumia. ki ukweli anayoeleza ni ukweli kabisa. sema wengi hatupendi changamoto na mawazo mapya. Hii ni sawa na baba yako kuwa jambazi halafu wewe ukampamba kwa kusema alisaidia watu kutunza vitu vyao. wacha aitwe jambazi tu. Tanzania imeficha mengi katika historia ya Uhuru na Tanganyika kwetu Nyerere ndio kawa kila kitu. Mimi nadhubutu kusema tusingekuwa na umasikini huu na kuongea haya kama nyerere angekuwa mtu wa usawa na muelewa.
Kawanyonya waislam na kawaingiza wazanzibar kwenye muungano muda mfupi baada ya mapinduzi sasa hivi hata hiyo article of union inakiukwa.
Nina mengi sana nitarudi tu
 
Mohamed Said,

Kaandika kitabu na kuwaelezea wapigania uhuru wa Tanganyika ambayo wametupwa na historia yetu.

Hakuna sehemu yeyote ambayo Mohamed Said, kawalazimisha watu wakiamini kitabu chake kama utabahatika kukisoma lazima utataka kukimaliza kwa jinsi kilivyokuwa na ukweli.

Sijaona uchochoze wowote inawezekana wewe ndiyo umemuona mchochozi sababu kamkosoa Nyerere.
 
Last edited by a moderator:
Ndugu yangu Yericko Nyerere achana na porojo za ustadh mohamedi Said na wapambe wake.
Unapoteza muda wako adhimu bure tu. Mimi nilishiri mjadala wa makala zake za miaka 50 ya uhuru wa Tanganyika mwaka 2011 najua sanaanavyoeneza sumu ya udini kwa watanzania.
Unapomuuliza maswali ya msingi ili kunyoosha mjadala lazima akimbie ama adivert mjadala kwa kuleta nukuu za vitabu ambazo hazijibu hoja/swali.
Na muhimu zaidi zingatia kwamba amefuzu katika kuwasingizia na kuwasemea marehemu ukimtaka apate ushahidi wa uchochezi wake kwa watu walio hai hakubali kamwe kwakuwa anajua watamuumbua.
 
Last edited by a moderator:
Ndugu yangu Yericko Nyerere achana na porojo za ustadh mohamedi Said na wapambe wake.
Unapoteza muda wako adhimu bure tu. Mimi nilishiri mjadala wa makala zake za miaka 50 ya uhuru wa Tanganyika mwaka 2011 najua sanaanavyoeneza sumu ya udini kwa watanzania.
Unapomuuliza maswali ya msingi ili kunyoosha mjadala lazima akimbie ama adivert mjadala kwa kuleta nukuu za vitabu ambazo hazijibu hoja/swali.
Na muhimu zaidi zingatia kwamba amefuzu katika kuwasingizia na kuwasemea marehemu ukimtaka apate ushahidi wa uchochezi wake kwa watu walio hai hakubali kamwe kwakuwa anajua watamuumbua.

haya ni mawazo yako lakini ukweli utabaki palepale
 
Ndugu yangu Yericko Nyerere achana na porojo za ustadh mohamedi Said na wapambe wake.
Unapoteza muda wako adhimu bure tu. Mimi nilishiri mjadala wa makala zake za miaka 50 ya uhuru wa Tanganyika mwaka 2011 najua sanaanavyoeneza sumu ya udini kwa watanzania.
Unapomuuliza maswali ya msingi ili kunyoosha mjadala lazima akimbie ama adivert mjadala kwa kuleta nukuu za vitabu ambazo hazijibu hoja/swali.
Na muhimu zaidi zingatia kwamba amefuzu katika kuwasingizia na kuwasemea marehemu ukimtaka apate ushahidi wa uchochezi wake kwa watu walio hai hakubali kamwe kwakuwa anajua watamuumbua.

Ni kweli kabisa mkuu, aina za ushiriki wa mijadala ya wazi kwa Mohamed Said hasa kwa anaoona wanaijua historia ya nchi hii huwa anaikwepa sana!
 
Last edited by a moderator:
Umeelewa Mada hii na umeshasoma maandiko ya Mohamed Saidi?

Kamanda mie naamini kuwa si vitabu vyote vinaongelea ukweli!!
Viko vingi tu ukivisoma ni uongo mtupu!! hata vya dini tena dini kubwakubwa ukisoma kwa makini huku ukitafakari unagundua kuwa vimejaa uongo mtupu!! cha kusikitisha watu wanaviamini, na wako tayari kufa kwavyo!
Ningewezakukutajia vitabu fevya dini na ushahidi ningekupa....lakini nimekuwa nikifanya hivyo huko nyuma napigwa ban...eti uchochezi wa kidini!!
 
Nimezungumza kama mtanzania yeyote yule anaekereka na uchochezi wa Mohamed Said,

Sijabeba undugu damu katika hili.

Unataka kumdanganya nani wewe Yericko? Damu yako iko kwenye mfumo ule ule anaoupigia kelele Mohamed Said.

Rejeaa mabandiko yako JF kuhusu dini, hakuna hata moja ulilotoa hoja kinzani dhidi ya damu yako. Kweli damu ni nzito kuliko maji, kubali yaishe, unawakilisha interest za dini yako sio za watanzania.
 
Yericko, hii ishu muda huu ni kama lava ya volcano. Ungeipumzisha tu.

Udhaifu wa serikali hii umehalalisha mambo ambayo si tu kwamba ni ya hatari sana bali pia imeendelea kuyanyamazia matendo yenye kukinzana na dhana nzima ya Utaifa, Uhuru, Ukweli, Haki na Utu (hasa pale isipostahili/kuvumilika).
 
Ili uweze kupembuka na kufaidi mang'amuzi ya nera, ni vema ukaangalia kkilichoandikwa kuliko kuniangalia mimi!

Mimi sijamjadili Mohamed Said binafsi, bali nimeyazungumzia maandiko yake, vivyohivyo kaa katika dhana hii!

Mjadala huu kwako ni mkubwa mno, hoja za Mohamed Said zimekuwapo kwa miaka hata huyo Mwalimu alikuwa hai hakuweza kuzijibu. Kwakuwa unaoneshwa kuguswa nenda kawalete watu wenye size na Mohamed Said hasa maaskofu waje wajadiliane na wewe uchukue note book uandike nondo.
 
Back
Top Bottom