Mohamed Said
JF-Expert Member
- Nov 2, 2008
- 20,903
- 30,243
Umeshindwa kuonyesha kwamba Marekani si magaidi kutokana na definition yako ya ugaidi. Kitabu chako chote kinakuwa hakina maana kama wewe mwenyewe umeshindwa kunyambua tu definition yako ya ugaidi na kuhalalisha kwa nini Marekani sio magaidi? Mimi ningekushauri utafute kazi nyingine ya kufanya yenye manufaa kwako na familia yako. Hii ya kuandika kuhusu vita ya Wamarekani dhidi ya ugaidi itakudhalilisha tu na kukupotezea muda wako.
Zali la Mentali,
Huyu kijana anafanya mzaha katika mambo mambo mazito.
Asome haya hapa chini maneno niliyowaeleza Waamerika katika mkutano Chuo Kikuu cha Ibadan
mwaka 2006:
Whereas the people in Cambodia, Laos and Vietnam never pursued the United States outside their own national boundaries for revenge; this new foe opened a war front wherever he could strike against his target.
The targets are chosen randomly with no established pattern.
The bomb attack of Trade Centre in New York (1993), Khobar Towers in Saudi Arabia (1996) and that of the United States Embassies in Nairobi and Dar es Salaam (1998) was a manifestation of that struggle.
On the 9[SUP]th[/SUP] of September 2001 hijacked planes hit the Twin Towers in New York and the Pentagon in Washington.
The war was taken inside American territory. Overtime the hunter became the hunted. Whereas the United States had vast experience in warfare it had not experienced anything close to the tragedy of 9/11.
The Kamikaze attacks by the Japanese during WWII in the Pacific were an enemy the United States could see and even predict hence counter attack in the war zone.
But the suicide bomber was not usually operating in a war zone or in a conflict theatre; he was unpredictable as he was determined.
Whereas ‘Desert Storm' reports in the electronic media showing ‘high precision bombings' of Iraq by the United States forces and its allies became a sort of entertainment on TV screens, the 9/11 attack on the Twin Towers was a horror movie alien to Americans.
For the first time in history the American public realised that they too like the people of Afghanistan, Iraq and Palestine were also vulnerable to enemy bomb attacks although from a different setting.
Hii inatoka katika mada niliyowasilisha Chuo Kikuu Cha Ibadan mwaka 2006 likiwa jibu kwa Balozi wa Marekani Robert Royall kutokana na mada yake aliyowasilisha Bungeni Dodoma.
Huenda maneno hayo hapo juu yakamsaidia kuelewa tatizo la ugaidi kwa mapana yake.