state agent
JF-Expert Member
- Jul 1, 2019
- 1,764
- 2,511
Walikwenda huko kutoa mihadhara mbalimbali wakieneza dini ya haki nchini msumbiji lakini serkal ya msumbiji imewakamta kwa kosa la uchochezi.
Serkali ya msumbiji kwa sasa inakabiliana na tatizo la ugaidi hasa maeneo ya mpakani na Tanzania ambapo mwezi October kulikuwa na mkutano baina ya IGP wa Tanzania na yule wa msumbiji kuhusu hali tete katika mpaka huo ambapo baadhi ya vyombo vya habari vya msumbiji viliandika kuwa wanaoendesha ugaidi nchini humo ni wageni wanaotoka kusini na pwani ya Tanzania.
Mwezi November mkuu wa majeshi wa Tanzania Tanzania pia alilitembelea eneo hilo na kuwahakikishia usalama wananchi wanaoishi maeneo hayo.
Serakali ya msumbiji na Tanzania ipo katoka hali ya taadhari eneo hilo ambapo watu kadhaa wameuwa na baadhi kushikiriwa
Katika page ya Facebook ya shekhe Twarib swahaba ametaja kupotea kwa mashekhe wenzake wanadaiwa kuwa msumbiji kikazi na kuomba serkali ya Tanzania kumsaidia warudishwe hapa nchini
State agent
Serkali ya msumbiji kwa sasa inakabiliana na tatizo la ugaidi hasa maeneo ya mpakani na Tanzania ambapo mwezi October kulikuwa na mkutano baina ya IGP wa Tanzania na yule wa msumbiji kuhusu hali tete katika mpaka huo ambapo baadhi ya vyombo vya habari vya msumbiji viliandika kuwa wanaoendesha ugaidi nchini humo ni wageni wanaotoka kusini na pwani ya Tanzania.
Mwezi November mkuu wa majeshi wa Tanzania Tanzania pia alilitembelea eneo hilo na kuwahakikishia usalama wananchi wanaoishi maeneo hayo.
Serakali ya msumbiji na Tanzania ipo katoka hali ya taadhari eneo hilo ambapo watu kadhaa wameuwa na baadhi kushikiriwa
Katika page ya Facebook ya shekhe Twarib swahaba ametaja kupotea kwa mashekhe wenzake wanadaiwa kuwa msumbiji kikazi na kuomba serkali ya Tanzania kumsaidia warudishwe hapa nchini
State agent