Uchochezi kwenye ndoa

Da Sophy

JF-Expert Member
May 12, 2010
388
162
Hii ni zaidi ya uchochezi. Nimewaza nikaona kumbe bora ukabaki na mwanaume kama hawara tu maana ukifunga ndoa anakufanyia yaleyale ya kwenye ndoa ya kuzarauliana. Hivi kweli unawezaje kusevu namba ya mke wako kwenye simu yako kwa jina la Dulla Mbabe? Yeye akikusevu kama Faru John utajisikiaje?
 
Labda Bujibuji ndo mnyonge. Mi sijawahi kuwa mnyonge hata siku moja na ananijua vizuri
 
Hahahaaa hivi vituko vya ndoa vinatoa ahueni kwa wale ambao hawajabahatika kuolewa.
 
Ni kweli hajawahi nishinda kitu chochote lakini hiyo siyo sababu ya kuitana majina ya kipuuzi. Heshima muhimu.
 
Kwa hiyo Dulla mbabe yule bondia???? Ina maana hilo jina linasadifu tabia ya huyo bondia....??
 
7 Reactions
Reply
Back
Top Bottom