GreenStone
Senior Member
- Apr 27, 2015
- 157
- 86
habari zenu wana jamwi,
mimi ni mchimbaji mdogo ninayechimba dhahabu katika mkoa wa Geita, nimefanikiwa kupata vitalu sita (6) vya uchimbaji wa dhahabu vyenye ukubwa wa jumla ya heka 147.
nimepungukiwa vifaa vya uchimbaji ambavyo ni
1. excavator
2. bulldozer
3.air compressor( for blasting)
4. waterpump
vifaa vingine vya sehemu ya kuchenjulia dhahabu ninavyo,
hivyo basi nahitaji mtu au kampuni ambayo nitaingia nayo ubia wa kufanya kazi pamoja.
Ndugu wana jf kwa yeyote ambaye ana vifaa hivi au anaweza kuvipata vifaa hivi, tuwasiliane.
NB: Documents za uthibitisho nitaweza kuziweka wazi kwa yule atakayekuwa na utayari wa kufanya kazi na mimi. na tutaweka mkataba wa kisheria kuhakikisha usalama wa uwekezaji wake.
mimi ni mchimbaji mdogo ninayechimba dhahabu katika mkoa wa Geita, nimefanikiwa kupata vitalu sita (6) vya uchimbaji wa dhahabu vyenye ukubwa wa jumla ya heka 147.
nimepungukiwa vifaa vya uchimbaji ambavyo ni
1. excavator
2. bulldozer
3.air compressor( for blasting)
4. waterpump
vifaa vingine vya sehemu ya kuchenjulia dhahabu ninavyo,
hivyo basi nahitaji mtu au kampuni ambayo nitaingia nayo ubia wa kufanya kazi pamoja.
Ndugu wana jf kwa yeyote ambaye ana vifaa hivi au anaweza kuvipata vifaa hivi, tuwasiliane.
NB: Documents za uthibitisho nitaweza kuziweka wazi kwa yule atakayekuwa na utayari wa kufanya kazi na mimi. na tutaweka mkataba wa kisheria kuhakikisha usalama wa uwekezaji wake.