mrangi
JF-Expert Member
- Feb 19, 2014
- 80,818
- 106,000
Kweli,Nlikuwa sehemu moja Morogoro panaitwa unyinywe kuna dhahabu sana,watu wanapata grm 1 Mpk 4 laiti wangwrzeshwa jamaa wangekuwa wanatoa gold ya kufa mtu huko....alafu dhahabu ya huko ina 98% mazeeWengi wenye maeneo ya machimbo hawana hela
Ova