Uchifu - Ni kitu kizuri Rais kuenzi utamaduni wa Mwafrika

James Martin

JF-Expert Member
Apr 2, 2016
1,206
1,509
Afrika kabla ya kutawaliwa tulikuwa na mila na desturi zetu. Wakati huo hatukuwa na dini kama vile uislam na ukrito lakini tulikuwa na njia zetu wenyewe za kuomba kitu fulani kitokee au kujiepusha na janga.

Haya mafundisho ya dini kubwa za leo yaliletwa na mabeberu. Na unajua baada ya kutuletea hivyo "vitabu vitakatifu" walitufanya nini? Walitufanyia mambo yote yanayokatazwa na hivyo vitabu vyao kama kututesa na kutudhalilisha.

Binafsi nimezaliwa na kukuzwa katika moja ya hizi dini za mabeberu. Hata hivyo sasa hivi nimekua nafuata hiyo dini kama utamaduni tu niliokuwa nao. Kwa maana nyingine ni kama mfumo tu wa jinsi ya kufanya vitu. Kwa mfano, kama mtu akitangulia mbele ya haki basi mwili wake husitiriwa kwa namna fulani. Au mtu akioa, pia kunakuwa na taratibu zake za kuwatambulisha mume na mke kwa ndugu na marafiki.

Kwasababu Watanzania wengi tumekulia kwenye mazingira ya Uislam na Ukrito, kwa maoni yangu hakuna madhara tukiendelea kufuata tamaduni zake. Bado tunaweza kuendelea kufuata tamaduni za Uislam au Ukristo kwenye mambo kama vile maadili, misiba na harusi lakini haina maana tusahau mila zetu.
 
Huwezi kupewa uchief au kuwa chief kama wewe sio gwiji kwenye ndumba
 
Nimemsikia leo akiwashukuru Machifu kwa kurekebisha hali ya hewa uwanjani.
 
Mojawapo ya mila za kiafrika ilikuwa ukeketaji na kuoa wake wengi hata 10
Afrika kabla ya kutawaliwa tulikuwa na mila na desturi zetu. Wakati huo hatukuwa na dini kama vile uislam na ukrito lakini tulikuwa na njia zetu wenyewe za kuomba kitu fulani kitokee au kujiepusha na janga.

Haya mafundisho ya dini kubwa za leo yaliletwa na mabeberu. Na unajua baada ya kutuletea hivyo "vitabu vitakatifu" walitufanya nini? Walitufanyia mambo yote yanayokatazwa na hivyo vitabu vyao kama kututesa na kutudhalilisha.

Binafsi nimezaliwa na kukuzwa katika moja ya hizi dini za mabeberu. Hata hivyo sasa hivi nimekua nafuata hiyo dini kama utamaduni tu niliokuwa nao. Kwa maana nyingine ni kama mfumo tu wa jinsi ya kufanya vitu. Kwa mfano, kama mtu akitangulia mbele ya haki basi mwili wake husitiriwa kwa namna fulani. Au mtu akioa, pia kunakuwa na taratibu zake za kuwatambulisha mume na mke kwa ndugu na marafiki.

Kwasababu Watanzania wengi tumekulia kwenye mazingira ya Uislam na Ukrito, kwa maoni yangu hakuna madhara tukiendelea kufuata tamaduni zake. Bado tunaweza kuendelea kufuata tamaduni za Uislam au Ukristo kwenye mambo kama vile maadili, misiba na harusi lakini haina maana tusahau mila zetu.
 
Afrika kabla ya kutawaliwa tulikuwa na mila na desturi zetu. Wakati huo hatukuwa na dini kama vile uislam na ukrito lakini tulikuwa na njia zetu wenyewe za kuomba kitu fulani kitokee au kujiepusha na janga.

Haya mafundisho ya dini kubwa za leo yaliletwa na mabeberu. Na unajua baada ya kutuletea hivyo "vitabu vitakatifu" walitufanya nini? Walitufanyia mambo yote yanayokatazwa na hivyo vitabu vyao kama kututesa na kutudhalilisha.

Binafsi nimezaliwa na kukuzwa katika moja ya hizi dini za mabeberu. Hata hivyo sasa hivi nimekua nafuata hiyo dini kama utamaduni tu niliokuwa nao. Kwa maana nyingine ni kama mfumo tu wa jinsi ya kufanya vitu. Kwa mfano, kama mtu akitangulia mbele ya haki basi mwili wake husitiriwa kwa namna fulani. Au mtu akioa, pia kunakuwa na taratibu zake za kuwatambulisha mume na mke kwa ndugu na marafiki.

Kwasababu Watanzania wengi tumekulia kwenye mazingira ya Uislam na Ukrito, kwa maoni yangu hakuna madhara tukiendelea kufuata tamaduni zake. Bado tunaweza kuendelea kufuata tamaduni za Uislam au Ukristo kwenye mambo kama vile maadili, misiba na harusi lakini haina maana tusahau mila zetu.
Pumba tupu. Uchifu wa kikabila hauna nafasi kwenye taifa letu. Enzi kabla ya ukoloni, kila kabila lilikuwa taifa autonomous likiwa na chifu kama kiongozi mkuu pamoja na jeshi lake, mahakama yake na ardhi yake. N makabia mawili yalipokosana, yalipigana vita. Ukoloni ulipoingia ukaondoa kabisa autonomy ya machifu, na kuunda koloni moja, ila wakawatumia machifu ili kujenga utengano baina ya makabila ili kuweza kuwatawala vizuri. Baada ya Uhuru tumekuwa na taifa moja autonomous lenye jeshi lake, Bunge lake, na mahakama yake pamoja na serikali za mitaa. Hawa machifu wanaletwa kwa muundo gani? Yaani ardhi yote igawanywe kimakabila, na serikali za mitaa zivunje kusudi kila kabila lipewe ardhi yake chini ya chifu wao wajitawale wenyewe? Uganda wana machifu kwa vile ardhi huko ni ya makabila, na Museveni alirudisha uchifu kusudi agawanye makabalia ili aendelee kutawala milele. Sikuwahi kufikiria kuwa Tanzania tutaanza kurudi nyuma tena kwenye divide nd rule baada ya juhudi hizi zilizofanywa na wasisi wetu kutuunganisha kama taifa moja. Mama anawez kudhani anajisogeza kwa makabalia mbalimbali anapovikwa migololo na kutawaza kuwa chifu kwa kutetea uchifu, ila atashangaa taifa linamvunjika vipande vipane mikononi mwake. Sherehe za viongozi wa kiserikali kusimikwa kuwa machifu wa makabali mbalimbali zimekuwa zinafanyika siku zote, lakini sherehe hizo huwa zinaishia hapo hapo jukwaani, huwa haziendelezwi kuwa sera ya serikali kama inavyofanyika sasa.
 
Back
Top Bottom