Uchi wa moto....!!!

donlucchese

JF-Expert Member
Mar 23, 2011
17,031
21,499
Salaam wakuu,
Nipo huku kawe ukwamani kuna mama mmoja anaitwa mama upinde hua jioni anauza uji mmoja wa ngano aisee ni matata sana ukiunywa huachi. Sasa nipo kwenye benchi na wazee fulani hapa sasa kuna jamaa amekuja ametuchekesha wote. Jamaa ana accent kama ya watu wa kule nyanda za juu amekaa kwenye benchi akasema,"mama upinde naomba uchi wa moto. Mama upinde acha aanze kummind jamaa anamdhalilisha kumbe jamaa matamshi ya J, G kwake yanampa shida kabisa hadi mzee mmoja ndio akamuamulia. Anyways, mi ndio namalizia kikombe changu cha tatu hapa nianze mdogo mdogo kwenda home. Jioni njema jamani!
 
Salaam wakuu,
Nipo huku kawe ukwamani kuna mama mmoja anaitwa mama upinde hua jioni anauza uji mmoja wa ngano aisee ni matata sana ukiunywa huachi. Sasa nipo kwenye benchi na wazee fulani hapa sasa kuna jamaa amekuja ametuchekesha wote. Jamaa ana accent kama ya watu wa kule nyanda za juu amekaa kwenye benchi akasema,"mama upinde naomba uchi wa moto. Mama upinde acha aanze kummind jamaa anamdhalilisha kumbe jamaa matamshi ya J, G kwake yanampa shida kabisa hadi mzee mmoja ndio akamuamulia. Anyways, mi ndio namalizia kikombe changu cha tatu hapa nianze mdogo mdogo kwenda home. Jioni njema jamani!

Na mwingine alikuwa anapendelea sana kunywa uji mama mmoja maarufu kwa kuuza uji. Sasa siku moja akashindwa kujizuia ikabidi asifie biashara ya mama yule. Akaanza kumwaga sera asijue siku hyo mumewe naye yupo kijiweni. Akaropoka, "Uchi wa mama Asha mtamu sana"
Mwenye mke akaona jamaa tyr ameshaingia kisimani.
Watu walipoteana pale kijiweni
 
Utani na sisi mura..!? angaria sana fita hafina macho mura..
 
Na mwingine alikuwa anapendelea sana kunywa uji mama mmoja maarufu kwa kuuza uji. Sasa siku moja akashindwa kujizuia ikabidi asifie biashara ya mama yule. Akaanza kumwaga sera asijue siku hyo mumewe naye yupo kijiweni. Akaropoka, "Uchi wa mama Asha mtamu sana"
Mwenye mke akaona jamaa tyr ameshaingia kisimani.
Watu walipoteana pale kijiweni

Hahaha ni shida!
 
1 Reactions
Reply
Back
Top Bottom