Ucheleweshwaji wa mishaha

mzee wa inshu

Member
Jan 25, 2011
49
0
Serikali kuchelewesha mishahara ya watumishi wake mwezi huu Tatizo liko wapi?

Mbona wahusika wamekuwa bubu?

Enway, tunafahamu kuwa wao hawaishi kwa kutegemea mshahara katika nchi hii ya kifisad
i
kwani wao hujichotea kodi za walala hoi na kujaza matumbo yao bila kujali taabu za watu

wanao kamuliwa kodi hizo.



Serikali tumieni akili , au mpaka maandamano? Mbona malipo ya DOWANS mnakazania kulipa fasta? Je, DOWANS ni muhimu kuliko wananchi ambao ndo waajiri wenu?
 
Serikali kuchelewesha mishahara ya watumishi wake mwezi huu Tatizo liko wapi?

Mbona wahusika wamekuwa bubu?

Enway, tunafahamu kuwa wao hawaishi kwa kutegemea mshahara katika nchi hii ya kifisad
i
kwani wao hujichotea kodi za walala hoi na kujaza matumbo yao bila kujali taabu za watu

wanao kamuliwa kodi hizo.



Serikali tumieni akili , au mpaka maandamano? Mbona malipo ya DOWANS mnakazania kulipa fasta? Je, DOWANS ni muhimu kuliko wananchi ambao ndo waajiri wenu?

Hebu tujuze zaidi ni idara gani hamjalipwa mshahara?
 
Serikali kuchelewesha mishahara ya watumishi wake mwezi huu Tatizo liko wapi?

Mbona wahusika wamekuwa bubu?

Enway, tunafahamu kuwa wao hawaishi kwa kutegemea mshahara katika nchi hii ya kifisad
i
kwani wao hujichotea kodi za walala hoi na kujaza matumbo yao bila kujali taabu za watu

wanao kamuliwa kodi hizo.



Serikali tumieni akili , au mpaka maandamano? Mbona malipo ya DOWANS mnakazania kulipa fasta? Je, DOWANS ni muhimu kuliko wananchi ambao ndo waajiri wenu?

hivi ni kweli mwezi huu mishahara imechelewa?, mbona wengine imeshaingia?, umeuliza kitengo cha mishahara(ktk eneo lako la kazi) na wakakuambia kuwa mishahara ya nchi nzima itachelewa?
 
Back
Top Bottom