mzee wa inshu
Member
- Jan 25, 2011
- 49
- 0
Serikali kuchelewesha mishahara ya watumishi wake mwezi huu Tatizo liko wapi?
Mbona wahusika wamekuwa bubu?
Enway, tunafahamu kuwa wao hawaishi kwa kutegemea mshahara katika nchi hii ya kifisad
i
kwani wao hujichotea kodi za walala hoi na kujaza matumbo yao bila kujali taabu za watu
wanao kamuliwa kodi hizo.
Serikali tumieni akili , au mpaka maandamano? Mbona malipo ya DOWANS mnakazania kulipa fasta? Je, DOWANS ni muhimu kuliko wananchi ambao ndo waajiri wenu?
Mbona wahusika wamekuwa bubu?
Enway, tunafahamu kuwa wao hawaishi kwa kutegemea mshahara katika nchi hii ya kifisad
i
kwani wao hujichotea kodi za walala hoi na kujaza matumbo yao bila kujali taabu za watu
wanao kamuliwa kodi hizo.
Serikali tumieni akili , au mpaka maandamano? Mbona malipo ya DOWANS mnakazania kulipa fasta? Je, DOWANS ni muhimu kuliko wananchi ambao ndo waajiri wenu?