Elections 2010 Ucheleweshaji matokeo ya uchaguzi 2010 - mkuu wa it afukuzwe

TanzActive

JF-Expert Member
Nov 14, 2007
367
73
Hii system inayotumika , inaleta shida

huyu mkuu wa IT hakufanya kazi yake vizuri

Napendekeza afukuzwe kazi mara moja
 
IT hapo haina kasoro, ni hawa jamaa wanataka kuchakachua sasa wanachelewesha makusudi...Mbona kwenye majimbo wanayojua CCM wanashinda moja kwa moja huko kucheleweshwa hakupo??? Mmesikia sababu za Segerea eti wamechanganya makaratasi ya ku record data, sasa hiyo ni IT au ndio wanataka kuchakachua kijanja???
 
IT hapo haina kasoro, ni hawa jamaa wanataka kuchakachua sasa wanachelewesha makusudi...Mbona kwenye majimbo wanayojua CCM wanashinda moja kwa moja huko kucheleweshwa hakupo??? Mmesikia sababu za Segerea eti wamechanganya makaratasi ya ku record data, sasa hiyo ni IT au ndio wanataka kuchakachua kijanja???

Poor Makongoro Mahanga!
 
Back
Top Bottom