usser
JF-Expert Member
- Sep 25, 2015
- 13,901
- 13,869
Kama ni material wawe wanatoa update ili watu wajue kuliko kila MTU anakuja na jibu lake Mara lzm ulegeze vyuma ndo upate,nk.
Aiseee at ulegeze nyuna
Kama ni material wawe wanatoa update ili watu wajue kuliko kila MTU anakuja na jibu lake Mara lzm ulegeze vyuma ndo upate,nk.
Labda ni material au ndo mchakato wa kubadili toleo jipya hivo hawawezi agizwa mzigo Mkubwa wa material.Inabidi waweke wazi ifahamike kilichosibu.
Aiseee at ulegeze nyuna
Naaaam, shekhe!Penye udhia penyeza rupiaa
Pole ndugu.....niliacha rasmi mwezi wa November kufuatiliaNimekuwa nafuatilia passport tangu mwezi wa saba mwaka huu, kila siku napigwa kalenda. Passport ilitakiwa kuchukuliwa mwezi wa nane lakini mpaka leo bado.
Ukifuatilia unaambiwa nenda makao makuu, kule napo wana majibu ya rejareja kweli, unaambiwa passport yako bado, bila kuambiwa iko hatua gani au hurudi lini.
Nimejiuliza sana utendaji huu wa serikali ya awamu ya tano, naona bado kazi ni kubwa sana mpaka tufike kule tunapotakiwa kwenda.
Unamaanisha viza?Sio umeanza lini, ila ungekuwa hivyo.
Nisamehe sikuwa na maana ya uhalisia ila ni mawazo tu
Lazima system ibadilike kwa kweli
Kila nchi ina utaratibu wake kuna nchi wanakuambia usitupigie wala kutuandikia baada ya kuomba pasi ila usubiri mpaka mda kadhaa na tarehe unapewa ila ikipitawasiliana nasi.
Believe me ikifika siku hiyo lazima upate hata kama ni miaka miwili
Akuna kutarii wewe baki apa ujenge viwanda! Jioni uangarie tbc 1Hicho kipengele cha barua ya mualiko wangekiwekea option kisiwe ni kikwazo maana kama nakwenda kutalii mwaliko wa nini sasa?
Hiki Ni kilio nchi nzima haswa mikoani walioomba passport za kusafiria kuanzia July 2017 hadi Leo hawajapata.tatizo Ni nini haswa? Na ukiuliza au kufuatilia hupewi majibu ya kutosheleza.ovaNimekuwa nafuatilia passport tangu mwezi wa saba mwaka huu, kila siku napigwa kalenda. Passport ilitakiwa kuchukuliwa mwezi wa nane lakini mpaka leo bado.
Ukifuatilia unaambiwa nenda makao makuu, kule napo wana majibu ya rejareja kweli, unaambiwa passport yako bado, bila kuambiwa iko hatua gani au hurudi lini.
Nimejiuliza sana utendaji huu wa serikali ya awamu ya tano, naona bado kazi ni kubwa sana mpaka tufike kule tunapotakiwa kwenda.
Lazima ualikwe kutalii pia, Hebo!Hicho kipengele cha barua ya mualiko wangekiwekea option kisiwe ni kikwazo maana kama nakwenda kutalii mwaliko wa nini sasa?
Cheche tu hapo. Masharti kibao kama kwa mganga wa kienyeji. Ukiyafuatilia sana, unaweza kuta tumeyarithi kutoka kwa wakoloni wetu au yaliwekwa wakati dunia ipo kwenye vuguvugu la "NAM". Masomo nje ya nchi kabla ya kupata admission letter, wakati wa kuomba mhusika hutakiwa kujaza nambari yake ya Passport na kuambatisha page ya taarifa. Je hapo inakuwaje?Hakuna tatizo lolote uhamiaji, kama kweli utafuata sheria na taratibu za upatikanaji wa passport kwa kuambatanisha vitu hv bac hutokaa miezi km wanavosema wengme
Cheti cha kuzaliwa cha muombaji/hati ya kiapo
Cheti cha kizaliwa cha mzazi kati ya mmoja
Barua ya sheha/kata/kijiji ambayo itathibitisha ukaazi wa eneo husika
Picha za passpor size zenye muonekano unaokubalika
Ushahidi wa safari, na hili ndio linakua kikwazo kwa waombaji wengi hawana ushahid mahsusi wa safar kwa mfano: mfanya biashara awe na leseni halali na hai ya biashara, ambae anaenda kwa shughuli za kimasomo awe na barua ya udahili admission letter, mgonjwa awe na barua kutoka kwa doctor/ hosital ambae anatambulika. N.k
Basi hapa sidhani kama utakosa kwa kufuata vigezo km hv
Hivi vipengengele vinaboa sana, mfano mimi nataka nisafiri niende India kutembea, je nitaanza kukata tiketi kabla ya kuwa na passport..Ushahidi wa safari, na hili ndio linakua kikwazo kwa waombaji wengi hawana ushahid mahsusi wa safar kwa mfano: mfanya biashara awe na leseni halali na hai ya biashara, ambae anaenda kwa shughuli za kimasomo awe na barua ya udahili admission letter, mgonjwa awe na barua kutoka kwa doctor/ hosital ambae anatambulika. N.k
Hapa suala linaloongelewa ni pass ya kusafiriaUnamaanisha viza?
Passport nchi husika uendayo inakujaje?
Mwezi? Mkuu jirani yangu alidamkia pale makao makuu asubuhi saa 2 kuomba passport....karudi kitaa kwenye saa 10 mchana akiwa nayo mkononi. Ila hiyo grease iliyotumika usiulizeKama unaharaka jitahidi utoe pesa upewe pass kwa two or three weeks.
Mnaosema toka mwezi wa saba mnazungushwa kuna mtu kaenda mwezi wa 11 kapewa mwezi huo huo.
Passport haziwezi kutolewa kama kadi za Chadema-hata vichaa wanazo.Passport ni haki ya kila mtu. Sasa kuna sababu gani tena apo nyngne ya kupewa haki yako?
Unajua maana ya hati ya kusafiria?Hivi kupata passport ni lazima uwe unasafiri?
Kwani raia wa kawaida alietimiza vigezo vyote hawezi kufuata taratibu na kupewa passport yake?
Utumiwe mwaliko toka huko unakokwenda, so simple Like that.Me nategemea kufatilia passport yangu mwanzo mwa mwaka huu but kuna baadhi ya vitu vina nicomfuse hususan ushahidi wa safar coz me naenda kusalimia tuu